David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

Na nani analipa certificates, nani anakagua kazi nani ana audit discrepancies za malipo; kama mkandarasi ana deal na donors,

How is that is even possible in practice.

Kiwango chako cha ujinga kinakutosha wewe mwenyewe, please spare us your nonsense.
Lengo kuu ni kuifanya kizimkazi kuwa kama Nyuyoku
 
Nani kasema Wizara haijui wewe box ???!!
Rudia kusoma hayo majibu ya Kafulila utaelewa ,


Hoja hapa ni TZS 7T haziku-hit kwenye akaunti ya hazina ila zimefanya matumizi kama kawaida
Nani anaingia mkataba na mkandarasi?

Unajua mkandarasi ana sub contractors wangapi?

Unataka kusema Tanzania mkandarasi ndio mwenye jukumu la kutafutia tenders sub contractors kwa mikataba ya Tanzania na kuwalips yeye.

CAG anakazi gani kama contractors na wakopeshaji wana deal moja kwa moja kwenye ukaguzi. Achana na certificates, Iła kwenye ukaguzi wa value for money on project quality.

Nani responsible kwenye project dispute? Kama mlipaji, mkaguzi na mwenye mradi ni watu tofauti.
 
Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
Majibu ya kafulila hàyafanyi mwenye àkili awe hana akili. Kama huna akili huna tuu, huyu ni chawa wa màma na huwa mara nyingi ànajifanya ndo msemàji mkuu wa serikali.
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Hivi Kafulila ni msemaji wa serikali? Maana kila siku Kafulila hivi, Kafulila vile.
 
Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
wewe ndio utakuwa Kilaza maana una mahaba na Tumbili mpaka unakunwa kwani Luhanga Mpina katika maongezi yake ya hizo Trilioni alikuambia kuwa baadhi ya hizo fedha alizoziorodhesha ni zawakopeshaji ambao wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina ?

Acha utumbili wewe.
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Nimewaambia mara nyingi kwamba Mpina ni mzushi na ndio sababu hakuna mission yake yeyote iliyowahi faulu Toka aanze uzushi.

Alifanimiwa kumtikisa Bashe kidogo ila Kwa Nchemba ameshindwa vibaya.

Kwa namna yeyote Ile haiwezekani Waziri akakoa hela yote hiyo bila maelezo.
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Anajibu Kafulila ??!
😳🙄!
 
Back
Top Bottom