Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hata Wakorea wana utaratibu huo.Wewe ndio taahira wa kiwango Cha lami,
Kutwa kupinga kila kitu chema Cha Serikali,
Sasa mbona ulichokisema ndicho alichosema Kafulila?
Mpina anapotosha Umma kwa masilahi yake mwenyewe,
Sio pesa zote za Mkopo zinazoingizwa kwenye akaunti ya hazina ili liko wazi,
Hata WB na IMF mara nyingi wanalipa Mkandarasi directly,
Maana yake hizo pesa hazitapita hazina na ndicho anachokisema Mpina,
Ila Watanzania wajue hakuna Senti moja ya Mkopo imeliwa na mtu binafsi kwa matumizi binafsi
a mwingine alituambia Watanzania msiogope madeni hakuna mtu atafuatwa nyumbani kwake kudaiwa 😳🙄Huyu jamaa ni taahira kuna hela ya mkopo inaweza kuingizwa serikalini bila ya kuwa registered kwenye ‘debt management office’ (DMO) iliyo wizara ya fedha.
Na kuna mkopo unaoweza ingia nchini wenye dhamana ya serikali bila ya idhini ya waziri wa fedha.
Utaahira wa huyu jamaa is beyond me, kutwa kujianzishia mada humu; na ma ID yake kujisifia ujinga wakati kichwani ni kiazi.
Hajui hata how government works ukimsikiliza ni ujinga mtupu; sema ndio hivyo tena uchawa unalipa hata kwa vichwa viazi kama Kafulila (just rubbish).
Kwenye kichwa chake kaandika vitu vya maana, wakati hajui hata taratibu za kurekodi madeni serikalini.
Ni shida.N
a mwingine alituambia Watanzania msiogope madeni hakuna mtu atafuatwa nyumbani kwake kudaiwa 😳🙄
Sijaelewa hapa swala ni Wizara kutokujua ama fedha kutokuingia kwenye account zake ?How stupid are you?
Go google majukumu ya DMO na kwanini kila wizara ya fedha duniani ina hiko kitengo duniani hata kwa nchi zilizoendelea.
Yaani uingize hela nchini, ziwe kwenye hesabu za deni la deni la taifa wizara aijui.
You must be very stupid
Hatari sana !!Ni shida.
Shida zaidi ni hawa chawa wanaoandika mambo ambayo hata taratibu nyepesi awazielewi lakini wamekomaa kuwatetea wapuuzi wanaowapa hela ya kupata chai asubuhi.
Ukimgea wewe mimi huwa sipingi maana mimi nimeamua kuwa chawa wako hapa JF..Huyu jamaa ni taahira kuna hela ya mkopo inaweza kuingizwa serikalini bila ya kuwa registered kwenye ‘debt management office’ (DMO) iliyo wizara ya fedha.
Na kuna mkopo unaoweza ingia nchini wenye dhamana ya serikali bila ya idhini ya waziri wa fedha.
Utaahira wa huyu jamaa is beyond me, kutwa kujianzishia mada humu; na ma ID yake kujisifia ujinga wakati kichwani ni kiazi.
Hajui hata how government works ukimsikiliza ni ujinga mtupu; sema ndio hivyo tena uchawa unalipa hata kwa vichwa viazi kama Kafulila (just rubbish).
Kwenye kichwa chake kaandika vitu vya maana, wakati hajui hata taratibu za kurekodi madeni serikalini.
CCM walitaka kuizika CHADEMA ikashindikana.Kumbe yale makaburi mawili yalijaa maji bila kuzikwa wafu wake😭😭😭😂😂😂
What’s mutual condition? (.uwezi kujiandikia terminologies).Sijaelewa hapa swala ni Wizara kutokujua ama fedha kutokuingia kwenye account zake au ni mutually conditional ?
Kafulila ni kichwa kwenye Taifa lilo jaaa wapumbavu kama weweKitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
Kiongozi humu atuhitaji machawa, we are all equal. Isipokuwa hawa njaa wanaopost kwa malipo ya watu ndio kero.Ukimgea wewe mimi huwa sipingi maana mimi nimeamua kuwa chawa wako hapa JF..
Kambi? Funguka mkuu!!Ila Mpina anaelewa kila kitu sema naona kama amesaliti kambi hivi
Waambie hao hawajui.huyu kafulila amesahau yaliyomkuta bashe kuhusu sukari..mwenzie bashe alibishaga hivi hivi ila baada ya mpina kumwaga ushahidi tena kwa facts..sasa huyu nae anajitia kimbelembele wanataka kuvuliwa nguo sio..huyu mpina mpaka anasema hayo yaTrillion 7 ya mikopo haijaingia hazina imeliwa na wajanja labda mpina tayari ana ushahidi wake ilikopelekwa hiyo trillion 7 au labda iliingizwa akaunti binafsi ya mtu atakuwa anazo data zote za hiyo trilion 7..mpina haongei vitu nyeti kama hivyo bila kuwa na ushahidi au vielelezo pembeni ni suala la wahusika kujichanganya tu kutibua zigo la nyuki tufunuliwe yaliyo sirini..
Sasa wamejikuta wanajizika kwenye kaburi la CHADEMA.😂😂😂CCM walitaka kuizika CHADEMA ikashindikana.
Wakajikuta wanajichimbia kaburi lao!!
Sasa wamejikuta wanajizika kwenye kaburi la CHADEMA.
Wasira ndo anawazika zaidi
Facts ndio zitamuokoaImagine. Anajibu kirejareja watu wanaingia mkenge.
Wewe ni mpina?? Bure kabisaAtutajie hao wahisani
Miradi waliyofadhili na kiasi cha pesa walichotoa
Huyu nae majibu yake sio ya uhakika. Ukaguzi ufanyike tujue hela ipi ilipita wapi na nyingine ilipita wapi.Mwigullu PhD na Prof Kitila wamezidiwa uwezo na Kafulila 😀
Yeye mwenyewe Kafulila ni dalali/Middle man/3rd part.View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,
Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.
" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"
Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Huwezi kuichukia rushwa ukiwa ndani ya mfumo wa serikali ya ccm. Hujitambui wewe. Viongozi na watendaji wote wa taasisi za umma ni wala rushwa. Ndiyo maana hata watumishi wa chini wote kwenye taasisi za umma wanapokea rushwa kwa kwenda mbele. Kafulila yeye ni nani? Au ni Malaika? Nchi zote duniani zilizofanikiwa kutokomeza au kwa kuipunguza rushwa to an acceptable level walitunga sheria kali ikiwemo na kifo kabisa. Rushwa haikemewi kwa matamko kama ya kina Samia na chawa wake, it's the process of judiciary reform and other government instruments.Wewe dada kuwa makini unaweza kufuatilia hii ID vizuri sio kukenua tu hapa, Kafulila anahoja lazima tuseme ukweli,
Kafulila anakataa upotoshaji na Uongo kama huu wa Mpina
Kafulila ni mtu anachukia rushwa sana hawezi kuitetea ila pia hataki mtu aonewe.
Mimi ni CHADEMA damu ila Kafulila namkubali sana