David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

Nimependa hapo alivyokiri baadhi ya wakopeshaji awamini serikali maana wala rushwa wengi sana.

Kafulila angesema ukweli serikali haiaminiki.
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Ila Mpina amechanganyikiwa, Trilioni 7 bila kupitia hazina? Hayo ni makusanyo ya miezi mingapi. Jamaa ni mwongo
 
Hili jibu la kutudhalilisha kama Taifa. Yaani mtu anatukopesha kama nchi alafu aseme kuwa haniamini namna ninavyosimamia pesa, kweli??? Black people 🤣🤣🤣🤣 Yaani nchi za Africa unaweza kuomba viongozi wooote wajiuzulu
Hahahahaha ! Kisha wanakuja wa aina ile ile iliyojiuzulu au even worst ???!!
Hahahahaha !

Labda wakishajiuzulu waje Madikiteta Wakali kweli kweli na waadilifu sana !
Kisha iwe hakuna Uchaguzi wa Rais mpaka baada ya miaka 30 ila ubunge ufanyike kama kawaida kila baada ya miaka mitano ! 😳 !
 
Back
Top Bottom