David Kafulila anakumbukwa na wakulima wa Simiyu kwa kupaisha bei ya Pamba kufikia Tsh. 2200 kwa kilo katika historia ya Taifa letu alipokuwa RC

Hii ya Leo siyo kununua tu watu bali kajiandikia kabisa mwenyewe hii article. Huyu Lucas Mwashambwa ni spika tu.
 
Akili za kibwege kabisa hizi.... Kafulila hakupandisha bei ..bei ilipanda kutokana na nchi nyingi kujifungia Kwa corona na Pamba ikawa chache sokoni...ficheni ujinga wako....kwanza unajua bei ya Pamba inavyopangwa na mgawanyo wake Kwa Wadau wote!??...
 
Naona umepaniki mpaka kuanza kutukana matusi kama mgonjwa.
 
Naona umepaniki mpaka kuanza kutukana matusi kama mgonjwa.
 
Unajua mamlaka aliyonayo Mkuu wa Mkoa?
Mkuu wa Mkoa ni Rais wa Mkoa,
Sasa kama Pamba ilitoka kuuzwa TZS 800 hadi 2,200 na Leo hayupo bei ni 1,000 why tusiamini Kuna uhuni kule wakulima wanafanyiwa?
Hana uwezo wa kuzuia ..... Hivi mnafahamu utaratibu wa MAZAO ya kimkakati Pamba, kahawa, korosho, n.k a au mnaropoka tu!?
 
Naona umepaniki mpaka kuanza kutukana matusi kama mgonjwa.
Nakwambia Tena akili za kibwege hizo .... Acha ... Mkuu wa Mkoa hapangi bei na hana Mamlaka katika maamuzi ya MAZAO ya kimkakati yenye bodi husika ...Bodi na Wadau wakipanga bei ndio imetoka hiyo ..Kwa MAZAO yanayouzwa Kwa MnadaMtandao (Tanzania Merchantile Exchange) kama korosho na kahawa inawekwa bei dira wanashindania kwenye mnada....Sasa unakuja unafikiri watu hawafahamu.... Ficha ujinga wako
 
Endelea kuweweseka na kutapatapa wakati mzalendo wa kweli na mchapakazi akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania.
Now you see?! Huu ndo mwandiko wako, inakuwaga blaa blaa. Sijui jemadari gani kabubujisha machozi ya furaha wasafwa gani huko Mbozi, leo Kafulila amekwepa blaa blaa zako kaamua kujiandikia mwenyewe
 
Huko unakosema wanamlilia huyo kafulila ndo home.Huko mtaje Antony mtaka wanabubujika na machozi maana yule jamaa ni mtu na nusu harafu yuko fiti yule jamaaa hadi raha.
Mnabubujikwa na machozi,

Huku Pamba mnauza 800,

Mnabubujikwa na machozi huku watu wanawalangua wakulima Pamba zao.

Mnabubujikwa na machozi huku CHICCO wanatengeneza barabara ya udongo badala lami,

Nyie mnabubujikwa na machozi tu duuuh.

Simiyu mmetisha.

Endeleeni kububujikwa na machozi mama atamrudisha naamini.
 
🀣🀣🀣
 

Kwanini unadhalilisha watu wewe,

Kusugua makalio ndio nini?

Kama mliweza kumfanyia fitna mtu aliyeleta neema kwa wakulima kisa maslahi yenu basi shame on you.

Najua Mama hatakuja kurudia kosa kama hilo kwa Kafulila.

Najua Mama anasoma sana humu Jf namtahadharisha kuna baadhi ya watu kazi kwao ni uongo na fitina tu Wala hakuna kazi wanafanya.

Mtu kama Kafulila anasaidia hata Rais atawale kwa raha kwani ni mtu anajua kuzikabili hoja zote toka ndani na nje ya Serikali,

Lakini pia ni mtu ukimpatia elfu 5 itafika kwenye mradi elfu 5 kama ilivyo.

Vijana tuache kufitiniana sio sawa na Mungu hakubaliani na mtu Mwongo na Mchawi.


Kwa hiyo PPP bajeti yake inaombwaje na kuidhinishwa bungeni?
Nani anaiombea? Kafulila?!
PPP iko chini ya Idara ya Fedha ila inajitegemea kama ilivyo TRA.


 
Soma huu mzigo wote itakusaidia
 
Labda anafikiria wakulima ni wajinga kama yeye kwamba wanapenda sana kuuza pamba zao kwa bei ya chini.
 
Kafulila ni mwizi tu.
Kafulila angeacha kuendekeza tumbo huenda angefika mbali na kuheshimiwa, lakini pale ni tumbo tu linamtesa. Kajamaa ni kajinga halafu kana tamaa balaa.
 
Kafulila hana doa zaidi ya kuhama Upinzani kuja CCM ila ni kijana mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…