David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia



Haka kajamaa bado kako india tu. Kanajitahidi lakini kaangalie kasije lete Richmond ingine. Kahakikishe hakuna Richmond kabisa.
 
PPP ni kula kwa urefu wa kamba. Maelezo mazuri ni chorus.
 
Ni Adani huyu huyu anayetuhumiwa kwa ufisadi Kenya?
 
Mheshimiwa Kafulila ni Mzalendo na mtu muadilifu sana .hana makuu wala tamaa ya pesa
CCM si wote wako hivyo. Kafulila tunamjua hapendi ufisadi lakini wengine walioko serikali ya ccm siyo watu wema. Mpaka rais kasema pesa inakusanywa nyingi lakini inaishia mifukoni. Generally, mtu yeyote anafanya kazi serikalini ni wa ccm, kwa sababu ccm ndiyo yenye serikali.
 
Waliosema gesi itamaliza kero zote za bajeti wako wapi,walisema mgao wa madini utamaliza kero za bajeti wako wapi wakasema sasa nchi imeingia uchumi wa kati wako wapi.
Matapeli ya mjini hao yakishapata ten percent yanaingia mitini halafunbaadaue yakizee unakikuta kizee kikongwe kimepigwa na Mungu viboko Barabara utasikia nimeshauriwa na daktari nisile vyakula vyenye mafuta,chumvi,sukari nyama choma nk vitamu vyote Mungu anamnyima na mabioioni yote ya mapesa aliyokwimba

Kubwa yuko kwenye dose ba vikapu vya dawa pressure yake ,kisukari chake,ukimwi wake na nagonjwa kibao

Maskini wasioiba cha mtu Mungu anawaacha wanakula vitamu vyote sugar yao,chumvi yao ,vyakula vyenye mafuta vyao ,choma zao nk na hakuna pressure,kisukari wala nini..

Hiyo mipesa wengi mwisho wa siku Inawatokea puani hata wasipokamatwa kushitakiwa Mungu anashughulika nao perpendicularly
 
Hi
Hizi mada ndio zinafaa kusemwa mkuu,Sasa umeanza kujua kijana,sio kila siku mapambio!
 
Hakuna anayeweza kukubali ujinga wa Namna hiyo chini ya uongozi wa mzalendo wetu wa kweli Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Tatizo lako wewe unaleta Propaganda tu badala ya kujikita kwenye discussion.


Kwamba una majibu ya kila kitu?

Unapuuza kwa makusudi kabisa maswali ambayo Watanzania wanauliza. Yaani Unajiondoa ufahamu.

Hatahivyo, ni vizuri unatambua kuwa ni "Ujinga" kuleta Wawekezaji.

... na Kwamba ujinga huo unatokea sana katika nchi kama yetu, zinazotaka kujikwamua kiuchumi na kuondokana na makucha ya "walowezi" na Utegemezi.

....Haswa pale ambapo tumeshatumia kiasi cha $3 Bilion kuwekeza katika miuondombinu ya Umeme. Sasa hawa wawekezaji wanakuja kuwekeza kwenye nini wakati kila kitu kipo?


We can be self sufficient and Independent. It is just a matter of Mindset.

Ati? Mama Samia ni Mzalendo.
Uzalendo wake ni nini?
 
Kuna Jimbo la wakatoliki wahuni walipiga pesa ya white elephant projects,dadeki wezi wanawaibia kila kukicha,akinunua TV kubwa wasela wanabeba,akinunua tenda hapati anaishia kujipa matumaini,wakijenga nyumba ya kupangisha ndani ya miezi mitatu wateja wanajenga zao na waacha nyumbaa bila wateja,mtu akikuibia mwachie Mungu amchape kila fimbo ni zake.
 
Hakuna watu wanawaamini matapeli wa kizungu kama bibi yule,hata wakisema maji ya Kizmkazi ni dhahabu ya Tanzania breweries atawaamini na kuwapigia magoti kumbe Wazee wa Bandari wanasepa na kijiji.
Kwanza kabisa mzungu sio rafiki.mzungu ni mwizi kupitia.utakatishaji wa Dola,wanachapisha dola then wanazitakatisha kwa kofia ya misaada kumbe ni deni.
Mzungu huyu wa dawa feki na Pdidy ndani yake akuletee.maendelea wakati hakuna watu wanatuombea njaa kama wazungu,hebu Lumumba amkeni mnaoigwa na kitu kizito.
 
Halafu yuko India huko na anayazungumza hayo.

Hivi ndivyo serikali inavyofanya kazi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…