Wewe ni goonSiyo kweli.haya mambo ni ya wazi na siyo siri .na ndio maana hapo kila kitu kipo wazi hadi kiasi cha pesa .hata hivyo ningependa kukwambia kuwa Mheshimiwa kafulia ni mtu muadilifu na Mzalendo asiyetiliwa mashaka na mtanzania yeyote yule .Au umesahau mambo makubwa aliyosimamia katika Taifa hili? Umesahau misimamo yake ya kizalendo na yenye maslahi kwa Taifa letu?
Usiwe na wasiwasi ndugu yangu mtanzaniaTuna historia mbaya sana kutoka Netgroup Solution enzi hizo unalima huko kwenu sitimbi
tumbili kageuka na kuwa dalali ya Mali za taifa.Kafulila ni Yeye au tusubiri mwingine?
Huwezi kujifunza nje ya experience,hakuna kitu mwafrika atamshika maskio mzungu labda Husein Bolt pekee katika mbio fupi na kwa spidi.Unaelewa maana ya Ubia?
Well articulated. Katika mateso ambayo yapo kwa sasa ni kwa watu wenye uelewa. Ni torture mbaya sana things zinaenda kama headless chicken.Hii ni Kampeni ya kuzidi kumuumiza mtanzania na kuendelea kujipinga wao wenyewe na serikali Yao.
Wakati mama Yao kina Mwashambwa anapiga kelele kuhusu matumizi ya Nishati safi Kwa ajili ya utunzaji wa mazingira na afya za watu wa bara la Africa, Kafulila anakuja kupunguza watumiaji wa umeme ambao ni nishati safi.
Ndio anapunguza kwa kujenga mazingira umeme uonekane ni anasa kwa sababu ukiacha mapendekezo ya January ya Kuomba 1Tri. Kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu pamoja na kuwapa tenda wahindi. Sasa Kafulila amekuja kutoa mapendekezo kwa mabepari wengine kuhusu suala la usambazaji. Ccm inajinasibu kwamba imesambaza umeme vijijini kwa asilimia kubwa sana kuliko wakati wowote (availability)
Kinachokuja kutokea ni kuongeza gharama za umeme kwa mlaji Ili kifidia hizo gharama za kiuwekezaji anazoweka mwekezaji. Subsequently umeme unakua tena sio huduma kwa wananchi bali anasa. Angalia kutoka 5000 unit 17 mpaka sasa unit 4 . Kutokana na utitiri wa Kodi na tozo. Tanzania is a fallen states where politicians seeks personal benefits and popularity.
Kama una ushawishi mkubwa adani mpeni chuma atengeneze yale high voltage extension machuma pia kiwanda cha nyaya na vifaa vya umeme. Chuma tunayo. Sio eye kuja kuweka nguzo za Mufindi. Eti wale jamaa wanaotukana aanze kuwaangalia. Transforma ikibuma mara saba si ataacha lindo au atatupiga mpaka tulie.Hujitambui kabisa wewe.
Kwa sasa PPP ipo mikononi mwa kijana mzalendo,muadilifu na mwenye upendo wa dhati kwa Taifa letu Mheshimiwa David KafulilaHuwezi kujifunza nje ya experience,hakuna kitu mwafrika atamshika maskio mzungu labda Husein Bolt pekee katika mbio fupi na kwa spidi.
Embu acha maneno ya kizushi na uongo uongo tu yenye lengo ya kumchafua Mwamba wa Kigoma Mheshimiwa David KafulilaKafulila Amelia vocal sana!wanamwandaa Kwa lipi!
Halafu kumbe ana KADI ya nccr mageuzi kama hayati jpm!
The state mnatuandalia mtu tokea kule magharibi !!?
Tutampokea!
Hapa ndio kuna uchawi... Inaweza, sio inalazimikaserikali inaweza kuamua kuitangaza miradi hiyo kwa kampuni zingine kushindana
Uchawi wa nini tena.soma andiko uone ufafanuzi mzuri uliotolewa na Mheshimiwa David Kafulila.Hapa ndio kuna uchawi... Inaweza, sio inalazimika
Kuna kitu gani Khajibahi anakuja kukifanya ambacho REA hawajakifanya!??Na mimi najiuliza pia. Maana sijui exactly nini wanachokifanya kina Kafulila na team yake kwenye huo uwekezaji.
Em toa ujinga wako, bwawa limegharim t. 5.6, hatukuleta mwekezaji why distribution? Kwani tumeweza bwawa tushindwe distrbution? Mnataka mtuuzie unit moja kwa shngp? Mmeona mje kupigia kwenye kuuza umeme?Mheshimiwa Kafulila alishatoa ufafanuzi sana na kueleza sana juu ya faida na umuhimu wa kufanya miradi kwa mfumo wa ubia.kwa sababu mfumo huu unaipunguzia mzigo wa gharama serikali kwa kukomba pesa zote za walipa kodi.Mfumo huu wa ubia unasaidia kuipunguzia gharama serikali na kuipa uhuru wa kufanya mambo mengine mbalimbali ya kimaendeleo kuliko kama ingetoa pesa zote mabilioni kwa mabilioni na kuweka eneo moja tu.
Serikali ya kijani inawezaga nini nchini? Wanatuvutia kasi tuu, na kituo kinachofuata ni SGR...Kuna kitu gani Khajibahi anakuja kukifanya ambacho REA hawajakifanya!??
Yaani kwa akili zao wanafikiria Adani atafanya kazi kwa ufanisi kuliko REA!?! hawa viongozi sijui wana nn tu!??Serikali ya kijani inawezaga nini nchini? Wanatuvutia kasi tuu, na kituo kinachofuata ni SGR...
Hayo ma vyuo wanayosoma ndo yale majalala...Yaani kwa akili zao wanafikiria Adani atafanya kazi kwa ufaniki kuliko REA!?! hawa viongozi sijui wana nn tu!??
Hapo yatakuja na mahesabu ya kijingajinga ilimradi tu yapate pesa kutoka kwenye mifuko ya watanzania! Kodi italipwa mara mbili, kutakuwa na tozo ya jengo na tozo za umeme!Em toa ujinga wako, bwawa limegharim t. 5.6, hatukuleta mwekezaji why distribution? Kwani tumeweza bwawa tushindwe distrbution? Mnataka mtuuzie unit moja kwa shngp? Mmeona mje kupigia kwenye kuuza umeme?
Hujaelewa maana ya hayo maneno. Serikali hailazimiki kuita kampuni nyingine kuleta maombi ya kufanya hilo jambo, kama hakuna ushindani ni hasara kwa wananchiUchawi wa nini tena.soma andiko uone ufafanuzi mzuri uliotolewa na Mheshimiwa David Kafulila.