David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia

David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia

Siyo kweli.haya mambo ni ya wazi na siyo siri .na ndio maana hapo kila kitu kipo wazi hadi kiasi cha pesa .hata hivyo ningependa kukwambia kuwa Mheshimiwa kafulia ni mtu muadilifu na Mzalendo asiyetiliwa mashaka na mtanzania yeyote yule .Au umesahau mambo makubwa aliyosimamia katika Taifa hili? Umesahau misimamo yake ya kizalendo na yenye maslahi kwa Taifa letu?
Wewe ni goon
 
Kafulila Amekua vocal sana!wanamwandaa Kwa lipi!

Halafu kumbe ana KADI ya nccr mageuzi kama hayati jpm!

The state mnatuandalia mtu tokea kule magharibi !!?

Tutampokea!
 
Mlipotengeneza bwawa la Rufiji mkasema umeme tutauza hadi nje mnachanganya sana wananchi 🤣🤣🤣
 
Hii ni Kampeni ya kuzidi kumuumiza mtanzania na kuendelea kujipinga wao wenyewe na serikali Yao.
Wakati mama Yao kina Mwashambwa anapiga kelele kuhusu matumizi ya Nishati safi Kwa ajili ya utunzaji wa mazingira na afya za watu wa bara la Africa, Kafulila anakuja kupunguza watumiaji wa umeme ambao ni nishati safi.

Ndio anapunguza kwa kujenga mazingira umeme uonekane ni anasa kwa sababu ukiacha mapendekezo ya January ya Kuomba 1Tri. Kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu pamoja na kuwapa tenda wahindi. Sasa Kafulila amekuja kutoa mapendekezo kwa mabepari wengine kuhusu suala la usambazaji. Ccm inajinasibu kwamba imesambaza umeme vijijini kwa asilimia kubwa sana kuliko wakati wowote (availability)
Kinachokuja kutokea ni kuongeza gharama za umeme kwa mlaji Ili kifidia hizo gharama za kiuwekezaji anazoweka mwekezaji. Subsequently umeme unakua tena sio huduma kwa wananchi bali anasa. Angalia kutoka 5000 unit 17 mpaka sasa unit 4 . Kutokana na utitiri wa Kodi na tozo. Tanzania is a fallen states where politicians seeks personal benefits and popularity.
Well articulated. Katika mateso ambayo yapo kwa sasa ni kwa watu wenye uelewa. Ni torture mbaya sana things zinaenda kama headless chicken.
 
Hujitambui kabisa wewe.
Kama una ushawishi mkubwa adani mpeni chuma atengeneze yale high voltage extension machuma pia kiwanda cha nyaya na vifaa vya umeme. Chuma tunayo. Sio eye kuja kuweka nguzo za Mufindi. Eti wale jamaa wanaotukana aanze kuwaangalia. Transforma ikibuma mara saba si ataacha lindo au atatupiga mpaka tulie.
 
Huwezi kujifunza nje ya experience,hakuna kitu mwafrika atamshika maskio mzungu labda Husein Bolt pekee katika mbio fupi na kwa spidi.
Kwa sasa PPP ipo mikononi mwa kijana mzalendo,muadilifu na mwenye upendo wa dhati kwa Taifa letu Mheshimiwa David Kafulila
 
Kafulila Amelia vocal sana!wanamwandaa Kwa lipi!

Halafu kumbe ana KADI ya nccr mageuzi kama hayati jpm!

The state mnatuandalia mtu tokea kule magharibi !!?

Tutampokea!
Embu acha maneno ya kizushi na uongo uongo tu yenye lengo ya kumchafua Mwamba wa Kigoma Mheshimiwa David Kafulila
 
Mheshimiwa Kafulila alishatoa ufafanuzi sana na kueleza sana juu ya faida na umuhimu wa kufanya miradi kwa mfumo wa ubia.kwa sababu mfumo huu unaipunguzia mzigo wa gharama serikali kwa kukomba pesa zote za walipa kodi.Mfumo huu wa ubia unasaidia kuipunguzia gharama serikali na kuipa uhuru wa kufanya mambo mengine mbalimbali ya kimaendeleo kuliko kama ingetoa pesa zote mabilioni kwa mabilioni na kuweka eneo moja tu.
Em toa ujinga wako, bwawa limegharim t. 5.6, hatukuleta mwekezaji why distribution? Kwani tumeweza bwawa tushindwe distrbution? Mnataka mtuuzie unit moja kwa shngp? Mmeona mje kupigia kwenye kuuza umeme?
 
Serikali ya kijani inawezaga nini nchini? Wanatuvutia kasi tuu, na kituo kinachofuata ni SGR...
Yaani kwa akili zao wanafikiria Adani atafanya kazi kwa ufanisi kuliko REA!?! hawa viongozi sijui wana nn tu!??
 
Em toa ujinga wako, bwawa limegharim t. 5.6, hatukuleta mwekezaji why distribution? Kwani tumeweza bwawa tushindwe distrbution? Mnataka mtuuzie unit moja kwa shngp? Mmeona mje kupigia kwenye kuuza umeme?
Hapo yatakuja na mahesabu ya kijingajinga ilimradi tu yapate pesa kutoka kwenye mifuko ya watanzania! Kodi italipwa mara mbili, kutakuwa na tozo ya jengo na tozo za umeme!
 
Uchawi wa nini tena.soma andiko uone ufafanuzi mzuri uliotolewa na Mheshimiwa David Kafulila.
Hujaelewa maana ya hayo maneno. Serikali hailazimiki kuita kampuni nyingine kuleta maombi ya kufanya hilo jambo, kama hakuna ushindani ni hasara kwa wananchi
 
Back
Top Bottom