David Kafulila kasema asiyetaka kulipia barabara aende kwenye za bure kupambana na foleni

David Kafulila kasema asiyetaka kulipia barabara aende kwenye za bure kupambana na foleni

Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Ni mfumo sahihi na tumechelewa sana "A road toll system is a way to charge a fee for the use of a public or private road, also known as a tollway or turnpike. Tolls are typically used to help pay for the construction and maintenance of roads"
 
Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Kafulila kagombee Ubunge utanishukuru
 
Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Kauli inayoashiria serikali haina mpango wa kuboresha huduma za jamii ila ina mpango wa kupigia debe huduma za wawekezaji
 
Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Mabasi yote ya abiria kwenda mikoani yatahamia huko.
 
Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Kafulila anajua sana kushawishi watu
 
Ajabu sana,Yaani barabara itekelezwe ka kodi zetu halafu tulipie.
Serikali haina hela inawaalika wenye hela wajenge barabara za ziada za kulipia. Hii itapunguza gharama kwa serikali ili iweze kupeleka hela zaido TANROAD na TARURA. Wazo ni zuri kama likisimamiwa vema!!
Mimi namuunga mkono TAL uwenyekiti!!
 
Back
Top Bottom