Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ndiye ChoiceVariable wa hapa JF😁Kafulila anaongea sana vitu havionekani
Ni mfumo sahihi na tumechelewa sana "A road toll system is a way to charge a fee for the use of a public or private road, also known as a tollway or turnpike. Tolls are typically used to help pay for the construction and maintenance of roads"Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Kafulila kagombee Ubunge utanishukuruKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Tulia wewe, serikali yenu nyie wanyonge imeshapita, Sasa hivi ni zama za ku-enjoy sisi elite class, serikali iliyopo madarakani ipo Kwa ajili yetu kwanza nyie ni baadae.Serikali tengenezeni barabara zetu achaneni na uhuni. Nyerere alikataa haya mambo ya watu kuishi kwa madaraja
Hii kweli kabisa, SEMA huku kwingine tutabaki na msongamano WA boda boda na bajaji...Hakutakuwa na foleni tena...mkilipia mkaenda kwenye hizo barabara za kulipia huku kwingine automatically magari yatapungua na hakutakuwa na foleni!!
Kauli inayoashiria serikali haina mpango wa kuboresha huduma za jamii ila ina mpango wa kupigia debe huduma za wawekezajiKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Sasa wewe kwa akili zako, mpaka dunia ya leo tuendelee kuishi kwa sera za nyerere?Serikali tengenezeni barabara zetu achaneni na uhuni. Nyerere alikataa haya mambo ya watu kuishi kwa madaraja
Mabasi yote ya abiria kwenda mikoani yatahamia huko.Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Kafulila anajua sana kushawishi watuKuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.
“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.
Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Serikali haina hela inawaalika wenye hela wajenge barabara za ziada za kulipia. Hii itapunguza gharama kwa serikali ili iweze kupeleka hela zaido TANROAD na TARURA. Wazo ni zuri kama likisimamiwa vema!!Ajabu sana,Yaani barabara itekelezwe ka kodi zetu halafu tulipie.