David Kafulila kasema asiyetaka kulipia barabara aende kwenye za bure kupambana na foleni

David Kafulila kasema asiyetaka kulipia barabara aende kwenye za bure kupambana na foleni

Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Huwa natamani Rais ampe Kafulila nafasi zaidi Kwenye Serikali yake kwani anabidii sana huyu kaka.
 
Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.
View attachment 3198525
Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Kaongea vizuri sana huyu Bwana
 
Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.

Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam
Hizi barabara zijengwe tunazihitaji sana
 
Mimi nimekulia katika familia yenye ''kadi ya kijani'' hata baba alikuwa kiongoz daraja la kati katika hii jamii ya kijani na njano, but sikuwahi enjoy kabisa maisha inside of it, ok turudi kwenye hoja... kuanzishwa kwa hii barabara ni ubaguzi kwa wananchi kwa xababu ya tofauti za kiuchumi na ikizingatiwa 100% ya watanzania ni maskini., kingine ni kwamba kwakuwa wabunge wamekosa weledi katika kuwakilisha wanachi wao pale kwenye round about yenye koki, ni bora upatikane mfumo wa maoni toka kwa raia mmojammoja katika majimbo ili kinacholetwa na serikali kiweze kujadiliwa na wananchi kwanza mana hawa ma MP wetu wanakubaliana na ajenda kibao kwa ajili ya storage zao. why nasema hvo? hakuna mwanachi wa kukubaliana and this kind of stupids kabisa. Hebu tujaribuni kuangalia tiba. SO SAD!!
 
Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua kulingana na mahitaji yake.

“Barabara za kulipia ni za express. Ukihitaji kufika haraka, utalipa ili kutumia barabara hiyo. Lakini, kama huna haraka, unaweza kutumia barabara ya bure. Hakuna anayelazimishwa kutumia barabara za kulipia, kwani kutakuwa na njia mbadala za bure,” alieleza Kafulila.

Mtakumbuka katika hotuba yake ya kufunga mwaka wa 2024 na kuukaribisha mwaka 2025 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliahidi mwaka 2025 zitajengwa barabara za kulipia kutoka Bagamoyo Chalinze -Morogoro mpaka Dodoma kwa mfumo wa Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi PPP.

Soma: David Kafulila: Barabara za kulipia zitapunguza foleni Dar Es Salaam

Labda tujue kwanza bei kabla hamjaanza kujenga
 
Mimi nimekulia katika familia yenye ''kadi ya kijani'' hata baba alikuwa kiongoz daraja la kati katika hii jamii ya kijani na njano, but sikuwahi enjoy kabisa maisha inside of it, ok turudi kwenye hoja... kuanzishwa kwa hii barabara ni ubaguzi kwa wananchi kwa xababu ya tofauti za kiuchumi na ikizingatiwa 100% ya watanzania ni maskini., kingine ni kwamba kwakuwa wabunge wamekosa weledi katika kuwakilisha wanachi wao pale kwenye round about yenye koki, ni bora upatikane mfumo wa maoni toka kwa raia mmojammoja katika majimbo ili kinacholetwa na serikali kiweze kujadiliwa na wananchi kwanza mana hawa ma MP wetu wanakubaliana na ajenda kibao kwa ajili ya storage zao. why nasema hvo? hakuna mwanachi wa kukubaliana and this kind of stupids kabisa. Hebu tujaribuni kuangalia tiba. SO SAD!!
Kwani mwananchi ndio hataki kusafiri kwa haraka?
 
Viongozi wetu wengi ni akili kisoda, tanzania kuwa na uchumi mzuri, maendeleo, elimu bure, afya bure inawezekana, kama tu viongozi watakuwa smart kichwani na kuacha ubinafsi, viongozi wetu wanajijali sana wao pia ni waroho sana, wanapiga sana bila kujali taifa litapata nini, mungu anaweza kutuletea bahari ya dhahabu lakini kwa mwenendo wa viongozi wetu na bado hali ya taifa ikawa mbovu kupitiliza.
 
Kupenda makubwa wakati baadhi ya miradi inasuasua bado na haijakaa sawa.

SGR mara inakwama watu wanabebwa na mabasi. Mwendokasi mbagala bado mabasi.
 
Back
Top Bottom