Jesusie
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 1,466
- 766
Uongo uongo.....Ukiona hivyo ujue kuna mahala wamekubaliwa kukopa! So sad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo uongo.....Ukiona hivyo ujue kuna mahala wamekubaliwa kukopa! So sad.
FactWachina hawajawahi kuwa watu wazuri kwa Africa
Kabarikiwa sana KafulilaHuyu jamaa ni kichwa sana kila anachoongea ni point
Jamaa arudi Bungeni naamini atasaidia sanaKabarikiwa sana Kafulila
Kwani Rais akimtaka hawezi kuchukua?Jamaa arudi Bungeni naamini atasaidia sana
Yaani tuko 60m halafu tusiongezeke?Itungwe sheria ya kuzuia ongezeko la watanzania. Hiyo ndio muarobaini wa kukuza uchumi na kuondoa masikini.
Kuendelea kuziba masikio na kuendelea kufanya mipango yenu hiyo ya kuongeza kipato ni kiini macho kwa raia maana wafaidika kwa mtindo huo ni Kafulila na familia yake ndugu marafiki na taasisi inayompa ulaji.
Watanzania wanamkubali sana walio wengiHuyu jamaa ni kichwa sana kila anachoongea ni point
Kama tumbili hajui akae kimyaMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila amenukuliwa akisema " Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu"
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani hapa
View attachment 3226930
China imeweza kugeuza population growth kuwa nguvukazi watu wakati sisi tuna population ya watu walio wengi tegemezi wasiozalisha mali.Yaani tuko 60m halafu tusiongezeke?
China wako 2bn
Kwanini sisi nasi tunashindwa?China imeweza kugeuza population growth kuwa nguvukazi watu wakati sisi tuna population ya watu walio wengi tegemezi wasiozalisha mali.
Hiyo ndio tofauti ya 2bn ya China na 60mn ya Tanzania.
Tunashindwa kwa sababu tuna tafsiri tofauti na mtazamo wa maisha. Tunaamini kwamba tupo Duniani ili tuongezeke,tuzaane na kuijaza Dunia bila kuzingatia ukuaji wa vipato vyetu ambavyo ni duni kwa kuwa hatujishughulishi sana kubuni vingine wala kuongeza vingine.Kwanini sisi nasi tunashindwa?
Tufanye nini basi??Tunashindwa kwa sababu tuna tafsiri tofauti na mtazamo wa maisha. Tunaamini kwamba tupo Duniani ili tuongezeke,tuzaane na kuijaza Dunia bila kuzingatia ukuaji wa vipato vyetu ambavyo ni duni kwa kuwa hatujishughulishi sana kubuni vingine wala kuongeza vingine.
Mopokeo ya dini pia yanaathiri sana mipango yetu ya maisha na hapa Serikali isiyokuwa na mipango thabiti ya kustawisha watu wake ni mojawapo kati ya vikwazo vinavyoturudisha nyuma.
Tunatakiwa kuwa na elimu ya ustawi wa jamii na kuwa na uelewa wa pamoja juu ya kanuni za utajirisho ambazo zinamtaka mtu kuhakikisha kuwa kipato cha mtu au vyanzo vya mapato ya mtu ndio viamue idadi ya walaji au wanufaika.Tufanye nini basi??
Huyu namkubali tangu yupo SimiyuHuyu jamaa ni kichwa sana kila anachoongea ni point
Niuhakika ama tunaingizwa kingi kama ilivyo ada kwa wanasii hasa kuwaingiza kingi mbumbumbu wao?Huyu jamaa ni kichwa sana kila anachoongea ni point
Kafanyaje? Kafulila anaonesha uzalendo wake kwa nchi yakeUtani utani Kafulila
Kafulila akili zipoMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila amenukuliwa akisema " Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu"
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani hapa
View attachment 3226930
Sawa muhaHuyu Muha Yuko Smart sana nafuatilia sana mijadala yake na nimejifunza vitu vingi