David Kafulila: Mahitaji ya binadamu ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali kuyafikia kwa kutegemea kodi na mikopo pekee

Yaani tuko 60m halafu tusiongezeke?
China wako 2bn
 
Kama tumbili hajui akae kimya
 
Yaani tuko 60m halafu tusiongezeke?
China wako 2bn
China imeweza kugeuza population growth kuwa nguvukazi watu wakati sisi tuna population ya watu walio wengi tegemezi wasiozalisha mali.
Hiyo ndio tofauti ya 2bn ya China na 60mn ya Tanzania.
 
China imeweza kugeuza population growth kuwa nguvukazi watu wakati sisi tuna population ya watu walio wengi tegemezi wasiozalisha mali.
Hiyo ndio tofauti ya 2bn ya China na 60mn ya Tanzania.
Kwanini sisi nasi tunashindwa?
 
Kwanini sisi nasi tunashindwa?
Tunashindwa kwa sababu tuna tafsiri tofauti na mtazamo wa maisha. Tunaamini kwamba tupo Duniani ili tuongezeke,tuzaane na kuijaza Dunia bila kuzingatia ukuaji wa vipato vyetu ambavyo ni duni kwa kuwa hatujishughulishi sana kubuni vingine wala kuongeza vingine.
Mopokeo ya dini pia yanaathiri sana mipango yetu ya maisha na hapa Serikali isiyokuwa na mipango thabiti ya kustawisha watu wake ni mojawapo kati ya vikwazo vinavyoturudisha nyuma.
 
Tufanye nini basi??
 
Tufanye nini basi??
Tunatakiwa kuwa na elimu ya ustawi wa jamii na kuwa na uelewa wa pamoja juu ya kanuni za utajirisho ambazo zinamtaka mtu kuhakikisha kuwa kipato cha mtu au vyanzo vya mapato ya mtu ndio viamue idadi ya walaji au wanufaika.
Wingi wa walaji uende sambamba na uwezo wa kujikimu na hasa uzalishaji. Hakuna sababu ya kuwa na watu wengi kwenye jamii wasiozalisha.
 
Kafulila akili zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…