David Kafulila: Miaka 25 ijayo Serikali itajenga Uchumi wa $700bn. Pato la kila mmoja wetu litafikia TZS 20M

David Kafulila: Miaka 25 ijayo Serikali itajenga Uchumi wa $700bn. Pato la kila mmoja wetu litafikia TZS 20M

Are you talking about UAE economy au Dubai ?

Dubai ni Nchi ndogo sana Kwa size hiyo ya Uchumi kwao ni maendeleo makubwa sana na waliya plan hivyo wakati Kwa Tanzania ni sawa na tone la maji tuu.

Tatu Kwa Rasilimali zilizopo na Mahitaji ya Nchi na watu wake ,tunahitani Uchumi mkubwa zaidi ambayo ndio huo uliokadiriwa kwenye Dira,sio rahisi ila ni achievable ndani ya mda huo huo.Mifano ya Nchi zilizokuza uchumi Kwa Ukubwa huo Kwa mda mfupi ni Korea Kusini,China,Indonesia,Singapore,Malaysia nk na ndiko Tanznaia imeenda Kujifunza.
By the way nimechanganya madesa hiyo GDP niliyotaja ilikuwa ya robo moja ya mwaka kwa mwaka 2024 kwa dubai.
Lakini hebu turudi kwenye ukweli mkuu.
Yani turuke tu kutoka gdp ya btilioni 200 kwa mwaka hadi tilioni 1750 ndani ya miaka ishirini. Yani idouble mara 8 ndani ya miaka 25.
Nahisi hata kasi ya ukuaji wa uchumi wetu kwa mwaka haikubaliani na hili.
Hizo nchi ulizotaja mkuu uwekezaji wao ni tofauti kabisa na kwetu. These people were serious, watu wao waliwapeleka wakasoma wakaja kusimamia uchumi wao.
Hebu nipe sababu kwanini mpaka leo mradi mdogo tu wa mwendokasi umeshindwa kuwa efficient. Train ya umeme nayo mara isimame njiani karibu kila mwezi. Njoo umeme unakatika katika mimi hapa nilipo leo umeshakatika na kuwaka mara mbili, kimara nimeona thread humu kuwa hii week wanakata kwa saa 12 bila hata taarifa.
TTCL kampuni zote za simu zimeikuta ila mpaka leo nadhani ndiyo mtandao ambao si famous kuliko mtandao wowote.
Mifano ni mingi. Siwezi kukataa kuwa tutabadilika, ila sasa kwa miaka 20 kuweza kufika uchumi huo sio realistic bado tuna makando na shida nyingi na siasa nyingi kwenye nchi hii.
 
By the way nimechanganya madesa hiyo GDP niliyotaja ilikuwa ya robo moja ya mwaka kwa mwaka 2024 kwa dubai.
Lakini hebu turudi kwenye ukweli mkuu.
Yani turuke tu kutoka gdp ya btilioni 200 kwa mwaka hadi tilioni 1750 ndani ya miaka ishirini. Yani idouble mara 8 ndani ya miaka 25.
Nahisi hata kasi ya ukuaji wa uchumi wetu kwa mwaka haikubaliani na hili.
Hizo nchi ulizotaja mkuu uwekezaji wao ni tofauti kabisa na kwetu. These people were serious, watu wao waliwapeleka wakasoma wakaja kusimamia uchumi wao.
Hebu nipe sababu kwanini mpaka leo mradi mdogo tu wa mwendokasi umeshindwa kuwa efficient. Train ya umeme nayo mara isimame njiani karibu kila mwezi. Njoo umeme unakatika katika mimi hapa nilipo leo umeshakatika na kuwaka mara mbili, kimara nimeona thread humu kuwa hii week wanakata kwa saa 12 bila hata taarifa.
TTCL kampuni zote za simu zimeikuta ila mpaka leo nadhani ndiyo mtandao ambao si famous kuliko mtandao wowote.
Mifano ni mingi. Siwezi kukataa kuwa tutabadilika, ila sasa kwa miaka 20 kuweza kufika uchumi huo sio realistic bado tuna makando na shida nyingi na siasa nyingi kwenye nchi hii.
Yaani nakushangaa mbona simple sana tena waliotengeneza Dira wamekuja na realistic figures za makadirio .

Wametumia average economic growth ya Dira ya 2025 ambayo ni 6-7% ambapo kiuhalisia tutaivuka hapo baadae.

Tuje kwenye hesabu.Kwa Sasa Uchumi wa Tanzania(2024) ni Dola bil.85),,Kwa reference ya sekta Moja kutoka TIC ambapo wamesema walivutia uwekezaji wa $7bln ,Sasa zidisha hiyo kwa miaka 25 utapata 175,ukijumlosha na Sasa unapata $260bln Sasa hapo ni assumption ya miradi ya sekta binafsi lakini Bado uwekezaji wa Serikali.

Kama tuta miss hiyo target basi ujue tutafikia $600bln. Miradi michache iliyopo kwenye pipeline kama huu itatufanya tuwe namba 2 nyumba ya Ethiopia kabla ya 2030 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEwKv23owB8/?igsh=ejBkZjBqaW12bXRn
 
Yaani nakushangaa mbona simple sana tena waliotengeneza Dira wamekuja na realistic figures za makadirio .

Wametumia average economic growth ya Dira ya 2025 ambayo ni 6-7% ambapo kiuhalisia tutaivuka hapo baadae.

Tuje kwenye hesabu.Kwa Sasa Uchumi wa Tanzania(2024) ni Dola bil.85),,Kwa reference ya sekta Moja kutoka TIC ambapo wamesema walivutia uwekezaji wa $7bln ,Sasa zidisha hiyo kwa miaka 25 utapata 175,ukijumlosha na Sasa unapata $260bln Sasa hapo ni assumption ya miradi ya sekta binafsi lakini Bado uwekezaji wa Serikali.

Kama tuta miss hiyo target basi ujue tutafikia $600bln. Miradi michache iliyopo kwenye pipeline kama huu itatufanya tuwe namba 2 nyumba ya Ethiopia kabla ya 2030 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEwKv23owB8/?igsh=ejBkZjBqaW12bXRn

Ngoja tuone we are good at talking kuliko implementation. Kwa sababu ukuaji wa uchumi wa Tanzania haureflect kwenye mifuko ya majority.
Mimi ntaona ukuaji huo tukiacha kuongelea vitu kama watu kukaa chini, sijui wagonjwa kushare vitanda maana hao unaowataja hapo wamepita siku nyingi.
Ngoja tuombe uhai tuone
 
Ngoja tuone we are good at talking kuliko implementation. Kwa sababu ukuaji wa uchumi wa Tanzania haureflect kwenye mifuko ya majority.
Mimi ntaona ukuaji huo tukiacha kuongelea vitu kama watu kukaa chini, sijui wagonjwa kushare vitanda maana hao unaowataja hapo wamepita siku nyingi.
Ngoja tuombe uhai tuone
Hakuna Cha talking,hata Dira iliyomalozika ya 2025 ulisema Tanzania iwe uchumi wa kati na tumefikia.

Dira imefaulu Kwa zaidi ya 90% na hii Mpya itafaulu Kwa sababu tuna uzoefu wa Ile ya awami.

Mwisho Kwa Nchi kama Tanzania ambayo 90% ya Barabara hazijafunguka manke inakupa fursa zaidi ya kukua maana tuna Kila Rasilimali,hatuna majangwa Wala hatuna majanga makubwa ya Kuharibu Nchi kama vimbunga.

Huwa nikiangalia takwimu nyingi tunakuwa top 10 licha ya kutokuwa na ule u serious sana,Sasa tutakapoanza.kuwa serious tutazidiwa na Nchi chache sana labda Nigeria,Algeria,Egypt,DR Congo labda na Ethiopia kama itakaza .
 
Hakuna Cha talking,hata Dira iliyomalozika ya 2025 ulisema Tanzania iwe uchumi wa kati na tumefikia.

Dira imefaulu Kwa zaidi ya 90% na hii Mpya itafaulu Kwa sababu tuna uzoefu wa Ile ya awami.

Mwisho Kwa Nchi kama Tanzania ambayo 90% ya Barabara hazijafunguka manke inakupa fursa zaidi ya kukua maana tuna Kila Rasilimali,hatuna majangwa Wala hatuna majanga makubwa ya Kuharibu Nchi kama vimbunga.

Huwa nikiangalia takwimu nyingi tunakuwa top 10 licha ya kutokuwa na ule u serious sana,Sasa tutakapoanza.kuwa serious tutazidiwa na Nchi chache sana labda Nigeria,Algeria,Egypt,DR Congo labda na Ethiopia kama itakaza .
Nigeria achana nayo iko corrupt to the core
 
Nigeria achana nayo iko corrupt to the core
Hata ingekuwa corrupt namna gani,hakuna namna Tanzania itakuja kushinda Nigeria Kwa sababu Ina watu na Ina utajiri wa Madini hasa Mafuta na gesi.

Ni aibu Kwa 🇹🇿 kuzidiwa na Vinchi vya hovyo kama Angola,Kenya,Ivory Coast,Morocco na Ethiopia
 
By the way nimechanganya madesa hiyo GDP niliyotaja ilikuwa ya robo moja ya mwaka kwa mwaka 2024 kwa dubai.
Lakini hebu turudi kwenye ukweli mkuu.
Yani turuke tu kutoka gdp ya btilioni 200 kwa mwaka hadi tilioni 1750 ndani ya miaka ishirini. Yani idouble mara 8 ndani ya miaka 25.
Nahisi hata kasi ya ukuaji wa uchumi wetu kwa mwaka haikubaliani na hili.
Hizo nchi ulizotaja mkuu uwekezaji wao ni tofauti kabisa na kwetu. These people were serious, watu wao waliwapeleka wakasoma wakaja kusimamia uchumi wao.
Hebu nipe sababu kwanini mpaka leo mradi mdogo tu wa mwendokasi umeshindwa kuwa efficient. Train ya umeme nayo mara isimame njiani karibu kila mwezi. Njoo umeme unakatika katika mimi hapa nilipo leo umeshakatika na kuwaka mara mbili, kimara nimeona thread humu kuwa hii week wanakata kwa saa 12 bila hata taarifa.
TTCL kampuni zote za simu zimeikuta ila mpaka leo nadhani ndiyo mtandao ambao si famous kuliko mtandao wowote.
Mifano ni mingi. Siwezi kukataa kuwa tutabadilika, ila sasa kwa miaka 20 kuweza kufika uchumi huo sio realistic bado tuna makando na shida nyingi na siasa nyingi kwenye nchi hii.
Hapo unashangaa Nini Mkuu?
Kama Vietnam mwaka 1990 walikuwa na GDP ya $6.4bn Leo Wana $460bn shida Iko wapi?
 
Hata ingekuwa corrupt namna gani,hakuna namna Tanzania itakuja kushinda Nigeria Kwa sababu Ina watu na Ina utajiri wa Madini hasa Mafuta na gesi.

Ni aibu Kwa 🇹🇿 kuzidiwa na Vinchi vya hovyo kama Angola,Kenya,Ivory Coast,Morocco na Ethiopia
Sahihi Kabisa cde
 
Hapo unashangaa Nini Mkuu?
Kama Vietnam mwaka 1990 walikuwa na GDP ya $6.4bn Leo Wana $460bn shida Iko wapi?
Nchi za Asia zimeweza kufanya mapinduzi kwa sababu wako serious mimi sijaona kama sisi tuko serious kama wao.
Ukitaka kujua hilo we tazama miradi yetu, mwendo kasi, sgr na hii ni miradi midogo.
Tazama mitaara yetu ya elimu. Unajua maendeleo sio miracles, ni planning.
Mfano china ilisomesha vijana wengi nje waliorudi kusukuma uchumi.
Kuna vitu kibao tunakabiliana navyo vidogo kwa kuvitazama lakini vinaturudisha nyuma. Umeme unakatika katika bila sababu za msingi wakati ni engine ya uchumi.
Kodi zisizo na miguu wala mikono yani serikali inataka inyonye watu wale wale tu. Naanzisha biashara leo natakiwa kulipa kodi wakati hata faida sijaipata bado.
Tuombe uzima ila bado mimi sijaona userious wa hili jambo.
 
Nchi za Asia zimeweza kufanya mapinduzi kwa sababu wako serious mimi sijaona kama sisi tuko serious kama wao.
Ukitaka kujua hilo we tazama miradi yetu, mwendo kasi, sgr na hii ni miradi midogo.
Tazama mitaara yetu ya elimu. Unajua maendeleo sio miracles, ni planning.
Mfano china ilisomesha vijana wengi nje waliorudi kusukuma uchumi.
Kuna vitu kibao tunakabiliana navyo vidogo kwa kuvitazama lakini vinaturudisha nyuma. Umeme unakatika katika bila sababu za msingi wakati ni engine ya uchumi.
Kodi zisizo na miguu wala mikono yani serikali inataka inyonye watu wale wale tu. Naanzisha biashara leo natakiwa kulipa kodi wakati hata faida sijaipata bado.
Tuombe uzima ila bado mimi sijaona userious wa hili jambo.
Tuko serious labda wewe ndio hauko serious.

Hata hivyo Dira hii ya 2050 imewekwa mkazo kwenye u serious na ndio maana nayo italinda kisheria kabisa na itajadiliwa Bungeni kabla ya Rais kutia Saini sheria yake.

Aidha imeainisha vipaombele vya Nchi na ndivyo vitakavyokuwa binatekelezwa.

Swala.la.miradi kutosimamiwa.ipasavyo ndio maana Sasa ya ku engage private sector,haya mambo sio ya copy and paste Bali unatazaman Utamaduni wenu na mfanyaje Kwa vile mlivyo.

Elimu tayari rasimu ya Mageuzi ya mitaala mipya imeshaanza kutumika na mwisho wa mwezi huu Rais atazindua rasmi matumizi ya mitaala mipya,lengo ni kuhakikisha utekelezaji wa Dira ya 2050 unafanikiwa.

Mwisho kabisa juhudi zako ndio sehemu ya kutekeleza Dira.
 
Kama Bado Kuna sehemu Watoto wanakaa chini basi Dira inalenga pamoja na mambo mengine kuondoa hizo Changamoto ndogo ndogo.

By the way hakuna shule yeyote inayojengwa Sasa hivi bila madawati ,haipo.
Miaka 60 wameshindwa ndo waweze miaka 25
Chawa mkuu jifunze kutumia akili
 
Tuko serious labda wewe ndio hauko serious.

Hata hivyo Dira hii ya 2050 imewekwa mkazo kwenye u serious na ndio maana nayo italinda kisheria kabisa na itajadiliwa Bungeni kabla ya Rais kutia Saini sheria yake.

Aidha imeainisha vipaombele vya Nchi na ndivyo vitakavyokuwa binatekelezwa.

Swala.la.miradi kutosimamiwa.ipasavyo ndio maana Sasa ya ku engage private sector,haya mambo sio ya copy and paste Bali unatazaman Utamaduni wenu na mfanyaje Kwa vile mlivyo.

Elimu tayari rasimu ya Mageuzi ya mitaala mipya imeshaanza kutumika na mwisho wa mwezi huu Rais atazindua rasmi matumizi ya mitaala mipya,lengo ni kuhakikisha utekelezaji wa Dira ya 2050 unafanikiwa.

Mwisho kabisa juhudi zako ndio sehemu ya kutekeleza Dira.
Ambacho hakibadilishwi kirahis ni katiba na sio hizo sheria za kimangungu
 
Back
Top Bottom