David Kafulila na Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaibeba CHADEMA katika Hoja zote za Masuala ya Uchumi.

David Kafulila na Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaibeba CHADEMA katika Hoja zote za Masuala ya Uchumi.

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii mtakubaliani nami kuwa Mheshimiwa David Kafulila pamoja na Mheshimiwa Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaubeba Upinzani hasa CHADEMA katika masuala na hoja zote zinazogusu na kuhusu Uchumi.Ndio maana CHADEMA mpaka sasa huwezi ukaona au kumuona mtu yeyote akizungumza masuala ya uchumi au sera za uchumi au mbadala wa sera fulani.

Ndio maana ilifika wakati CHADEMA ikawa inashindwa hata kuandaa tu bajeti mbadala Bungeni,na ikiandaa ilikuwa ni bajeti yenye vichekesho vingi sana.kwanini? Kwasababu ilikosa watu wenye uelewa , weledi na wasomi wa masuala ya uchumi.Ndio maana ikabidi wampe Mheshimiwa Halima Mdee kama waziri kimvuli wa Fedha ,Kiongozi ambaye alikuwa hana uelewa mpana wa masuala ya kiuchumi kwa kuwa yeye alikuwa amesomea masuala ya sheria.kwa hiyo mambo mengi ya kiuchumi kwake yalikuwa mageni na magumu kuyatengenezea sera na hoja na kuelezea kwa ufasaha na akaeleweka vyema kwa watu.

Ikumbukwe kuwa Uchumi ni kanuni na wala uchumi hauhitaji siasa siasa au blaa blaa au maneno maneno.ukiukosea uchumi katika kanuni zake ni lazima Ukuadhibu na kukuumbua. kwa sababu kuna mambo unaweza kuficha na kudanganya ,lakini huwezi kudanganya na kuficha matokeo ya sera zako za uchumi ,kwa sababu matokeo yake ya sera zako yataonekana katika maisha halisi ya watu. Ndio maana ya kusema uchumi una kanuni zake ambazo ukikosea tu ni lazima kilio kisikike kutoka katika vinywa na midomo ya watu hata kama hawajasomea Uchumi.

Hivyo basi kuondoka kwa watu aina ya Mheshimiwa David Kafulila na Zitto Kabwe, ndio maana Upinzani hasa CHADEMA umepwaya sana na umeshindwa kuwa na sera mbadala wala hoja zenye kumgusa mwananchi wala kuwa na uwezo hata tu wakumshawishi mwananchi wa kule kijini akawaelewa.ndio sababu unakuta CHADEMA inakuwa inakimbilia sana na kuendesha siasa zake kwa kufuata matukio na kuokoteza vihabari visivyo na mashiko .ndio maana unaweza ukakuta viongozi wa CHADEMA eti wapo Bize na hoja ya kujadili kwanini kiongozi fulani haonekani hadharani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Muwe na shukurani CHADEMA.kumbukeni kazi kubwa aliyoifanya Mheshimiwa Zitto kuijenga CHADEMA na kuwapeni wabunge wengi. Hoja zake bungeni ndio zilikuwa zinawabebeni.
Mimi sio Chadema na Wala Sina chama Ila Kama kaijenga Chadema Sasa hivi Yuko act mbona ameshindwa kujenga na kutegemea wanachama waliotoka Cuf
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii mtakubaliani nami kuwa Mheshimiwa David Kafulila pamoja na Mheshimiwa Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaubeba Upinzani hasa CHADEMA katika masuala na hoja zote zinazogusu na kuhusu Uchumi.Ndio maana CHADEMA mpaka sasa huwezi ukaona au kumuona mtu yeyote akizungumza masuala ya uchumi au sera za uchumi au mbadala wa sera fulani.

Ndio maana ilifika wakati CHADEMA ikawa inashindwa hata kuandaa tu bajeti mbadala Bungeni,na ikiandaa ilikuwa ni bajeti yenye vichekesho vingi sana.kwanini? Kwasababu ilikosa watu wenye uelewa , weledi na wasomi wa masuala ya uchumi.Ndio maana ikabidi wampe Mheshimiwa Halima Mdee kama waziri kimvuli wa Fedha ,Kiongozi ambaye alikuwa hana uelewa mpana wa masuala ya kiuchumi kwa kuwa yeye alikuwa amesomea masuala ya sheria.kwa hiyo mambo mengi ya kiuchumi kwake yalikuwa mageni na magumu kuyatengenezea sera na hoja na kuelezea kwa ufasaha na akaeleweka vyema kwa watu.

Ikumbukwe kuwa Uchumi ni kanuni na wala uchumi hauhitaji siasa siasa au blaa blaa au maneno maneno.ukiukosea uchumi katika kanuni zake ni lazima Ukuadhibu na kukuumbua. kwa sababu kuna mambo unaweza kuficha na kudanganya ,lakini huwezi kudanganya na kuficha matokeo ya sera zako za uchumi ,kwa sababu matokeo yake ya sera zako yataonekana katika maisha halisi ya watu. Ndio maana ya kusema uchumi una kanuni zake ambazo ukikosea tu ni lazima kilio kisikike kutoka katika vinywa na midomo ya watu hata kama hawajasomea Uchumi.

Hivyo basi kuondoka kwa watu aina ya Mheshimiwa David Kafulila na Zitto Kabwe, ndio maana Upinzani hasa CHADEMA umepwaya sana na umeshindwa kuwa na sera mbadala wala hoja zenye kumgusa mwananchi wala kuwa na uwezo hata tu wakumshawishi mwananchi wa kule kijini akawaelewa.ndio sababu unakuta CHADEMA inakuwa inakimbilia sana na kuendesha siasa zake kwa kufuata matukio na kuokoteza vihabari visivyo na mashiko .ndio maana unaweza ukakuta viongozi wa CHADEMA eti wapo Bize na hoja ya kujadili kwanini kiongozi fulani haonekani hadharani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mada zako bwana!!!. Sijui una wahonga JF moderators. Basi sema watu wa Kigoma wako vizuri katika Uchumi kwani hata Mhe. MPANGO na gavana Tutuba ni wachumi na ni waha. Japo mkoa wao upo mkiani kiuchumi.
 
Mimi sio Chadema na Wala Sina chama Ila Kama kaijenga Chadema Sasa hivi Yuko act mbona ameshindwa kujenga na kutegemea wanachama waliotoka Cuf
Ameshindwa vipi kuijenga ACT wazalendo wakati unaona upande wa Zanzibar ipo katika serikali ya Umoja wa kitaifa?
 
Mada zako bwana!!!. Sijui una wahonga JF moderators. Basi sema watu wa Kigoma wako vizuri katika Uchumi kwani hata Mhe. MPANGO na gavana Tutuba ni wachumi na ni waha. Japo mkoa wao upo mkiani kiuchumi.
Kwani wewe nani kakuzuia kuandika humu jukwaani ndugu yangu mtanzania uliyejaa chuki binafsi.
 
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bado hujasema Mama anatosha nini Wewe Jana kuna Mshikaji wangu Mke wake kajifungua Hospital ya Temeke tena ni ya rufaa kitanda wa nalala Wajawazito watatu mpaka wanne kwa kupokezana. Acha kuwa unasifia kiboya wewe. Halafu nataka niwe naenda na wewe jino kwa jino mpaka uache kuandika propaganda za kitoto kwenye Kizazi cha waelevu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii mtakubaliani nami kuwa Mheshimiwa David Kafulila pamoja na Mheshimiwa Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaubeba Upinzani hasa CHADEMA katika masuala na hoja zote zinazogusu na kuhusu Uchumi.Ndio maana CHADEMA mpaka sasa huwezi ukaona au kumuona mtu yeyote akizungumza masuala ya uchumi au sera za uchumi au mbadala wa sera fulani.

Ndio maana ilifika wakati CHADEMA ikawa inashindwa hata kuandaa tu bajeti mbadala Bungeni,na ikiandaa ilikuwa ni bajeti yenye vichekesho vingi sana.kwanini? Kwasababu ilikosa watu wenye uelewa , weledi na wasomi wa masuala ya uchumi.Ndio maana ikabidi wampe Mheshimiwa Halima Mdee kama waziri kimvuli wa Fedha ,Kiongozi ambaye alikuwa hana uelewa mpana wa masuala ya kiuchumi kwa kuwa yeye alikuwa amesomea masuala ya sheria.kwa hiyo mambo mengi ya kiuchumi kwake yalikuwa mageni na magumu kuyatengenezea sera na hoja na kuelezea kwa ufasaha na akaeleweka vyema kwa watu.

Ikumbukwe kuwa Uchumi ni kanuni na wala uchumi hauhitaji siasa siasa au blaa blaa au maneno maneno.ukiukosea uchumi katika kanuni zake ni lazima Ukuadhibu na kukuumbua. kwa sababu kuna mambo unaweza kuficha na kudanganya ,lakini huwezi kudanganya na kuficha matokeo ya sera zako za uchumi ,kwa sababu matokeo yake ya sera zako yataonekana katika maisha halisi ya watu. Ndio maana ya kusema uchumi una kanuni zake ambazo ukikosea tu ni lazima kilio kisikike kutoka katika vinywa na midomo ya watu hata kama hawajasomea Uchumi.

Hivyo basi kuondoka kwa watu aina ya Mheshimiwa David Kafulila na Zitto Kabwe, ndio maana Upinzani hasa CHADEMA umepwaya sana na umeshindwa kuwa na sera mbadala wala hoja zenye kumgusa mwananchi wala kuwa na uwezo hata tu wakumshawishi mwananchi wa kule kijini akawaelewa.ndio sababu unakuta CHADEMA inakuwa inakimbilia sana na kuendesha siasa zake kwa kufuata matukio na kuokoteza vihabari visivyo na mashiko .ndio maana unaweza ukakuta viongozi wa CHADEMA eti wapo Bize na hoja ya kujadili kwanini kiongozi fulani haonekani hadharani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ila kwa sasa konda boy anawabebeni ninyi nyote ikiwa ni pamoja na Lucas 🫠
 
Chadema bila Mbowe kuwa mbabaifu ilikuwa na watu wengi makini sana. Hivi Sasa mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi ni Mnyika tu. Naye sasa naambiwa kasusa.
 
Acha utoto wako mzee wangu. Wewe siyo wa kuandika vioja utafikiri watoto
😂😂😂

Hakunaga Bure hii Dunia hasa kwa Umri mdogo kama wako

Kwa namna unavyomfagilia Kafulila au Kijana mwenzako kwa majukumu ambayo hata Wewe unaweza kuyafanya kwa Elimu Yako ni Kujilaani na Kujilaanisha Wewe mwenyewe

Wasanii wanaelewa hii Kanuni ndio Sababu Diamond anajisifia yeye hamsifii Hamornize

Sifia sifia ndio anasemaga RC Chalamila unakuta Vijana wa kiume wanaolewa🐼
 
Back
Top Bottom