David Kafulila na Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaibeba CHADEMA katika Hoja zote za Masuala ya Uchumi.

Mimi sio Chadema na Wala Sina chama Ila Kama kaijenga Chadema Sasa hivi Yuko act mbona ameshindwa kujenga na kutegemea wanachama waliotoka Cuf
Kumbuka ACT-WAZALENDO ilijengwa na wahanga toka Chadema, hivyo CUF ni wahamiaji je angewazuia kuingia au kujiunga na ACT-WAZALENDO? Hacha kuwa na akili za maharage za kukalilishwa
 
Kwani lazima wote muwe viongozi.kwani ni dhambi kusema mtu fulani anafaa katika nafasi fulani ukiona mtu huyo kama Mheshimiwa David Kafulila anaweza nafasi fulani?
 
Kafurila hawezi kufanana na ZZK, ZZK ni born talent, Kafurila ni wakawaida sana aka wa kawaida na Kwa kiasi kikubwa anachoelezea ni kile ambacho kiko kwenye makaratasi tayari na hakuna input yake.

ZZK angalau ana kitu kipya kwenye Kila anachokizungumza au kuchambua, ZZK ana nguvu ya ushawishi inayomuwezesha kusimama peke yake kama jeshi la mtu mmoja.
 
Kwani lazima wote muwe viongozi.kwani ni dhambi kusema mtu fulani anafaa katika nafasi fulani ukiona mtu huyo kama Mheshimiwa David Kafulila anaweza nafasi fulani?
Nimekupa tu angalizo

Wanasiasa Wengi wanatumia ndumba hivyo akienda tu kwa Ngwezukulu Jilala akaambiwa Nyota yake na Yako zinaendana hapo bwashee Unaolewa bila kujali wewe ni wa kiume Ili umsifie Vizuri

Dunia hii ina mengi Dogo Lucas 🐼
 
Ameshindwa vipi kuijenga ACT wazalendo wakati unaona upande wa Zanzibar ipo katika serikali ya Umoja wa kitaifa?
Zanzibar waliokuwa na nguvu ni Cuf na baada ya kuhamia ACT wakaondoka na nguvu zao kuhamishia ACT hivyo Zitto hajaijenga ACT na tungeona nguvu yake bara.
 
Kumbuka ACT-WAZALENDO ilijengwa na wahanga toka Chadema, hivyo CUF ni wahamiaji je angewazuia kuingia au kujiunga na ACT-WAZALENDO? Hacha kuwa na akili za maharage za kukalilishwa
Wewe ndio una akili za kukalilishwa, hao wahanga wa Chadema walichukua Jimbo lolote zaidi ya kupata majimbo ya Zanzibar kwa nguvu za wanachama waliotoka Cuf
 
Zanzibar waliokuwa na nguvu ni Cuf na baada ya kuhamia ACT wakaondoka na nguvu zao kuhamishia ACT hivyo Zitto hajaijenga ACT na tungeona nguvu yake bara.
Ila mawazo yako ni mafupi sana .kwani wote waliopo CHADEMA na walioipa umaarufu walianzia hapo hapo CHADEMA? Unaelewa maana ya chama cha siasa? Unaelewa namna ya kujenga chama?
 
Ila mawazo yako ni mafupi sana .kwani wote waliopo CHADEMA na walioipa umaarufu walianzia hapo hapo CHADEMA? Unaelewa maana ya chama cha siasa? Unaelewa namna ya kujenga chama?
Ungekuwa unalelewa usingekuwa chawa, yanapokuja Mambo ya siasa wewe ni mtoto wa nursery kwangu.
 
Unamfahamu Kafulila au unamsikia? Unafahamu ya kuwa hata ukiitishwa mjadala na CHADEMA na Kafulila akawa peke yake hakuna anayeweza mshinda Mheshimiwa Kafulila kwa hoja? Kafulila ni kichwa kwelikweli.
 
Kwa hiyo Zitto na Kafulila walivyokuwa wanaibeba CHADEMA mlikuwa mnaumia sana mukaona mfanye kweli ili wawabebe CCM?.
 
Uwezo wa mtu hatupimi Kwa kujua kuongea na kutusomea data ambazo tayari zipo au kuelezea yale ambayo Kila mwenye taalum yake anaweza kuyaelezea/kuyahadithia.

Uwezo wa mtu tunaupima kupitia michango mipya yenye kuleta matokeo chanya mahala, mipango, mikakati, uthubutu na utekelezaji unaoleta matokeo ndio vinaonyesha uwezo wa mtu na si blah blah.

Leo hii ukimuita engineer akuelezee aliyosamoea na kuyafanyia kazi basi utamuona ana akili sana, ukimuita mganga wa kienyezi akuelezee matunguli yake na uganga wake utamuona genius sana, ukimuita Mwanasheria akuelezee Sheria yake kama TL utamuona genius kwelikweli.

Ugenius ni kuyatumia yale uliyosomea kuleta matokeo chanya na pia kuongeza ufanisi kwa kuleta ubunifu wako ambao wengine hawawezi.
 
Siyo lazima tukubaliane na wewe. Futa kauli ya mwanzo
 
Unamfahamu Kafulila au unamsikia? Unafahamu ya kuwa hata ukiitishwa mjadala na CHADEMA na Kafulila akawa peke yake hakuna anayeweza mshinda Mheshimiwa Kafulila kwa hoja? Kafulila ni kichwa kwelikweli.

Kushinda kwenye mjadala kubishana ndio kigezo chako kumbe na si uelewa mpana wa kiasi cha kutoa solution ya matatizo na hata kudesign structure na operations zinazotoa majibu ya matatizo?
 
Kushinda kwenye mjadala kubishana ndio kigezo chako kumbe na si uelewa mpana wa kiasi cha kutoa solution ya matatizo na hata kudesign structure na operations zinazotoa majibu ya matatizo?
Hicho unachokisema ndicho anachokifanya Mheshimiwa Kafulila kutoa hoja zenye suluhisho na majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…