David Kafulila na Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaibeba CHADEMA katika Hoja zote za Masuala ya Uchumi.

Hicho ndicho anachokifanya Mheshimiwa Kafulila kutumia yale aliyosoma darasani kuleta matokeo chanya kwa jamii na katika nafasi anazokuwa amepewa na kuaminiwa .amefanya hivyo akiwa mbunge,Ras Songwe, RC Simiyu na Sasa mkurugenzi wa PPP
 
Ukweli ni kuwa ni Chadema ndiyo ilimjenga Zitto hadi CCM wakamtamani ndiyo wakaipa TISS kazi ya kum recruit ili aifanyie kazi CCM ndani ya Chadema.
 
Anajipigia sana promo na kwa serikali hii atapewa tu. Alafu inakuwaje Katibu Mkuu wa Chama anasema wabadhirifu na majizi yaombewe wakati kuna Mahakama na Magereza. Nchi imekuwa ya hovyo sana awamu hii
Tangu kuanzishwa CCM Nchimbi ndiye Katibu Mkuu wa ovyo kuliko wote.
 
Kama walikuwa na HOJA wasingeachwa na wake zao, halima bulembo kamuacha zitto, Jessica kishoa(COVID 19) kamuacha mume kafulila
 
Wewe ndiye wa hovyo.tena uwe na adabu kwa viongozi wetu.
MAISHA ni kama gwaride Kaka, mtu yeyote ana kibali mbele za Mungu anaweza akawa Kiongozi lakini sio Viongozi wa sasa hivi. Hawana sifa za uongozi ila wanachofanya ni kurithishana tu na nyinyi Machawa ndio mnaotoka mpaka jasho kuwatetea. Shame on you
 
MAISHA ni kama gwaride Kaka, mtu yeyote ana kibali mbele za Mungu anaweza akawa Kiongozi lakini sio Viongozi wa sasa hivi. Hawana sifa za uongozi ila wanachofanya ni kurithishana tu na nyinyi Machawa ndio mnaotoka mpaka jasho kuwatetea. Shame on you
Hatuwatetei bali tunazungumza ukweli juu ya uchapa kazi wao.
 
David Kafulila hajawahi kuwa mbunge wa CDM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…