Wafalme 18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2023
- 209
- 180
Anastahili pongezi kwa mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hata wenye wivu na chuki binafsi na Mheshimiwa Kafulila bado mioyoni mwao na wakati mwingine hadharani wanakili kabisa kuwa Mheshimiwa Kafulila ni jembe na mzalendo wa kweli Kwa Taifa letu.
Kwa hakika anastahili sana pongezi na kuungwa mkono.Anastahili pongezi kwa mengi
Tuendelee kumuunga mkono.Huyu hakika ni Mzalendo wa kweli Asante sana Lucas Mwashambwa
Kama unamfahamu usisite kumuelezea ili na sisi tumfahamu zaidi
Mimi huwa naongea ukweli na siyo kukuza tu jambo au kumkuza mtu pasipo na sababu ya msingi.He is good and smart. Tatizo ni hizo sifa za Lukas ambazo ziko too exaggerated.
Nakuelewa vizuri sana comradeMimi huwa naongea ukweli na siyo kukuza tu jambo au kumkuza mtu pasipo na sababu ya msingi.
Nashukuru sana na naomba tuendelee kuwaunga mkono na kuwatia moyo wazalendo aina ya Mheshimiwa David Kafulila. Watu aina yake walionyooka kama rula hawazaliwi kila siku na hawapatikani kila sehemu.Nakuelewa vizuri sana comrade
Upo Lumumba SEMA unajifanya hushindi hapo wakati tunakujua vilivyo fanya kazi ACHA kutegemea wanaume wa mjini ona walivyokuhalibu maumbole umekua legelege kama mtoto njiti.😃😃😃Hujawahi kuwa na akili hata siku moja wewe. Nani kakwambia nipo Lumumba kushindia kahawa😃😃. Hivi bado mnabugia viroba
Nakusamehe bure kabisa .maana natambua kuwa wengine kama wewe mnaingia humu jukwaani mkiwa na msongo wa mawazo.Upo Lumumba SEMA unajifanya hushindi hapo wakati tunakujua vilivyo fanya kazi ACHA kutegemea wanaume wa mjini ona walivyokuhalibu maumbole umekua legelege kama mtoto njiti.
Mida hii ndio namaliza kula chakula Cha usiku Sina masongo wowoteNakusamehe bure kabisa .maana natambua kuwa wengine kama wewe mnaingia humu jukwaani mkiwa na msongo wa mawazo.
Mambo ni mengi magumu kapitia ndg huyu ndio maana tunasema hii ni hazina kwa Taifa la Tanzania.Mheshimiwa Kafulila amepitia Mambo magumu sana na majaribu makubwa sana . lakini cha kutia moyo ni kuwa bado Mheshimiwa Kafulila ameendelea kusimama imara na kwa uzalendo wake mkubwa pasipo kusaliti misingi yake ya kusimamia ukweli.
Unajua tatizo kubwa la Tanzania Watu hawana historia za viongozi wengi na ndio maana hawawapi heshima zao ila kama wangejua mipito wamepitia wangewaheshimu sana.Mambo ni mengi magumu kapitia ndg huyu ndio maana tunasema hii ni hazina kwa Taifa la Tanzania.
🤣🤣🤣 Lucas Mwashambwa ni kijana wa Sifa muda wote hata mama Samia anamfahamu.He is good and smart. Tatizo ni hizo sifa za Lukas ambazo ziko too exaggerated.
Ila Lucas Mwashambwa ni kijana wa CCM kindaki Ndaki ukiona anamsifia mtu jua kabisa nyota ya huyo mtu ni hakika., 😆🤣🤣🤣 Lucas Mwashambwa ni kijana wa Sifa muda wote hata mama Samia anamfahamu.
Anapambana sana na anatakiwa kupewa nguvu ,kutiwa moyo na kuungwa mkono. Ikumbukwe siyo wote wanaofurahia kazi nzuri na ya kizalendo anayoifanya kuisemea serikali ya Rais Samia. Wengine wanapenda sana kuona serikali yetu na Rais wetu wakishambuliwa kwa nguvu bila kupata watetezi. Kwa hiyo wanapojitokeza watetezi aina ya David Kafulila wanakuwa wanaonekana kama maadui na wakwamishaji wa ajenda mbaya za siri Kwa Rais Samia na Serikali yake.
Rais wetu ni mzalendo na anayependa na kuwapenda sana wachapa kazi na WAZALENDO aina ya Mheshimiwa David Kafulila.kwa hiyo naamini hata Mheshimiwa Rais anaona kazi nzuri anayoendelea kuifanya Mheshimiwa Mheshimiwa Kafulila na atajuwa amuweke wapi ili atumike vyema zaidi kwa maslahi ya Taifa letu.
Lakini naona itapendeza sana ikiwa mwakani akiungwa mkono ili aingie Bungeni na kupewa nafasi yakuwa ndani ya Baraza la Mawaziri. Naamini atapiga kazi mpaka Dunia itashangaa. Na wala Mheshimiwa Rais hatajuta kumpa nafasi ya kutumika katika baraza lake la Mawaziri.
Ndio naelewa vyema sana na ndio maana najiiita Mzalendo ambaye nipo tayari kufa kwa ajili ya Taifa langu. Huwa nacheka sana nikikumbuka biti zako ulizokuwa ukinipiga humu na kunitishia kuwa nisiandike😃😃😃. Vipi uliishia wapi au bado upo kwenye mipango bado?Hivi Lucas uwa unaelewa maana ya uzalendo?
Naona kama unachanganya mambo
Mimi nikikusifia ujuwe kweli wewe ni mchapa kazi na mzalendo kwelikweli wa Taifa letu.🤣🤣🤣 Lucas Mwashambwa ni kijana wa Sifa muda wote hata mama Samia anamfahamu.
Nadhani hakuna nguvu yoyote ila Jf Kila mtu anasema matamanio yake so lazima kuheshimu Kila tamanio la mtu hata kama ni Lucas MwashambwaKama vitu vinafanyika si vinaonekana?
Why itumike nguvu kubwa kuonesha watu kuwa kuna Jambo linafanyika?
Mfano mradi wa mwendokasi, Lete magari mengi, tengeneza mfumo mzuri wa ticket uone kama kutakuwa na nguvu nyingi ya kupiga kelele
Au wizi wa Halmashauri zetu, ni kitu kinajulikana na kipo miaka yote,
So mnataka kuweka nguvu nyingi Kwa mtu ambae anapambana kutetea mambo ya kusadikika kuliko kufanya kusadikika kuwa ukweli