David Kafulila ni Mkuu wa Mkoa Pekee Nchini ambaye amewahi kumpa Amri Mkandarasi kurudia Barabara kwa gharama zake

Mkuu hongera kwa kupata shavu la ppp baina yako na Kufulila, sasa usilete kwa kupayuka, usimsifie mshirika mwenzio mpaka ukamharibia!!!
 
Mkuu umesahau unayemsifia naye alinunuliwa na Pole Pole kama anunuliwapo mbuzi kwenye mnada!!! Kafulila, Zito na Mkosamali, ni the trio of betrayal! Upepo ukibadilika utaona usaliti wao!!!
 
Mwijaku ni chawa Sugu
Baba Levo
Ali Kuna
Diamond
Zitto
Kafulila
Kaburu
Wote hawa ni machawa wa Taifa
βœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ‘πŸ€πŸ™πŸ›‘οΈ
 
Mkuu umesahau unayemsifia naye alinunuliwa na Pole Pole kama anunuliwapo mbuzi kwenye mnada!!! Kafulila, Zito na Mkosamali, ni the trio of betrayal! Upepo ukibadilika utaona usaliti wao!!!
Mheshimiwa Kafulila hajawahi kuwa na bei wala kuhongwa.
 
Yes,

Huo ndio uwajibikaji katika uongozi.

Lazma thamani ya miradi ya maendeleo isimamiwe vyema kwa weledi, kulingana na thamani ya jasho la walipa kodi waTanzania. wanaoleta mzaha na kazi za maendeleo wawajibishwe inavyostahili πŸ’
Lazima Viongozi wawe proactive ili kulifanya Taifa kuwa na miundo mbinu imara
 
Mkuu hongera kwa kupata shavu la ppp baina yako na Kufulila, sasa usilete kwa kupayuka, usimsifie mshirika mwenzio mpaka ukamharibia!!!
Kwani huyu Lucas Mwashambwa anatumwa kufanya hivyo?

Kama hatumwi Kafulila anahusikaje na Sifa hizi?

Huyu kada wa CHAMA anapoamua kuwajenga makada wenzake hatuwezi kuwa victimize kwa pleasure za mtu au interest za mtu.

Acha wivu Japa kazi utasifiwa.
 
Kafulila ni Mtu jasiri hicho ndicho naweza kusema kwa uwazi kabisa
watu wanapiga kelele sana wanataka kuona viongozi wakiwajibika kwa uwazi...

cha kushangaza wakifanya hivyo inakua nongwa tena dah...

sasa unajiuliza wanataka nini watu hawa?πŸ’
 
watu wanapiga kelele sana wanataka kuona viongozi wakiwajibika kwa uwazi...

cha kushangaza wakifanya hivyo inakua nongwa tena dah...

sasa unajiuliza wanataka nini watu hawa?πŸ’
Kinachowasumbua na kuwatesa watu ni wivu Uliopitiliza.
 
Mkuu umesahau unayemsifia naye alinunuliwa na Pole Pole kama anunuliwapo mbuzi kwenye mnada!!! Kafulila, Zito na Mkosamali, ni the trio of betrayal! Upepo ukibadilika utaona usaliti wao!!!
Nadhani kuna jambo mnashindwa kuliweka sawa,

Binafsi nimemuelewa mwandishi logic yake ya kwanini Kafulila,

Mwandishi anaona Uzalendo wa Kafulila haujawahi kuwa affected na cross Party yoyote.

Unaweza ukajiuluza mtu anayekataa 2.8bl 2014 anawezaje kununuliwa 2016? na kama amenunuliwa kapewa kiasi gani?

Mwandishi anajikita kwenye Uzalendo wa Kafulila na sio haki yake ya kuhama chama toka Cha B kwenda Chama A.

Hoja ya Kafulila kununuliwa haipo na hakuna mtu mmoja kwenye Taifa hili anaweza kukuunga mkono kwamba Kuna mtu alimnunua Kafulila.

Kafulila kama mwanasiasa mwenye malengo yake kisiasa anaangalia ni wapi anaweza kutimiza malengo yake ya kisiasa hasa kuwatete hawa wanyonge.

Tanzania haina chama zaidi ya CCM kwanini mtu mwenye akili timamu asiione CCM kama daraja lake sahihi na kufikia ndoto zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…