David Maraga na majaji wa mahakama ya juu wamekosea kususia uzinduzi wa bunge

David Maraga na majaji wa mahakama ya juu wamekosea kususia uzinduzi wa bunge

Hilo bunge la kumi na mbili Rais nl awamu ya kumi na moja ipo shida.

Katiba inaeleza wazi kuwa Rais aliyeko madarakani ataendelea kuhudumu hadi pale Rais mpya anapoapishwa. Hivyo basi Uhuru Kenyatta bado ni rais halali hadi hapo rais mwingine Nataka picha hili wa na kuapishwa.

Kwa hiyo bunge ilikuwa lazima lizinduliwe ili lianze vikao vya awali kwa ajili ya kuangalia utekelezaji wa mipango mbalimbali ya serikali.

Lakini pia wenzetu wako juu sana na mambo yao. Kwa mfano serikali haiwezi kutoa hela kufanyia matumizi yoyote yale hadi yaidhinishwe na mabunge yote( lile la Kitaifa na la Senate). Tume ya Uchaguzi IEBC imewasilisha bajeti yake ya Uchaguzi wa marudio ambayo ni takribani Kshs. 14 Billions. Hivyo ili hiyo ipite lazima mabunge yote mawili yaihidhinishe. Kwa misingi hiyo lazima bunge lianze vikao vyake. Ndio maana Kenyatta amelizindua leo.
 
Unaongelea usichokijua, majaji Karibu wote nchini Kenya wako likizo Mara baada ya kutoa ile hukumu. Ni jaji wa zamu tu ndio yupo kazini na hii ni hadi mwisho wa mwezi huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzinduzi wa bunge ni hafla ya kitaifa iliyoratibiwa kikatiba, nchi hii bado tuna rais maana hajapokeza mamlaka kikatiba na yupo ndani ya muda unaokubalika kikatiba, sasa kwa hao majaji kususia hafla kisa wana tofauti zao za kibinafsi na rais wa sasa naona kama hatari sana kwa taifa.

Mihimili ikianza kususiana na kurushiana vijembe kihivi naona tutaishia pabaya.

Very dangerous for neutral Judges to be seen having reactionary activism regardless of the criticism they got from Uhuru..I've seen US judges get attacked by politicians but they keep mum to maintain their neutrality,professionalism and dignity.How in the world do these Kenyan judges boycott a constitutional function yet they ruled that the election didn't follow the constitution?
 
Uzinduzi wa bunge ni hafla ya kitaifa iliyoratibiwa kikatiba, nchi hii bado tuna rais maana hajapokeza mamlaka kikatiba na yupo ndani ya muda unaokubalika kikatiba, sasa kwa hao majaji kususia hafla kisa wana tofauti zao za kibinafsi na rais wa sasa naona kama hatari sana kwa taifa.

Mihimili ikianza kususiana na kurushiana vijembe kihivi naona tutaishia pabaya.
Kama Taasisi Wana haki ya kuonyesha disapproval towards Uhuruto misbehaving

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Constitution itabadilishwa na jubilee na Maraga na team yake next time watakuwa powerless
 
Nianze kwa kuwasalimu.

Kama kweli Jaji Mkuu David Maraga na Majaji wengine wa Mahakama ya juu wamesusia uzinduzi wa Bunge la 12, then ni makosa sana. Wamesusia kama ambavyo Wapinzani wa NASA walivyosusia.

Hii itapelekea zile tetesi kuwa Majaji hawa walikuwa njama na NASA ili kutengua matokeo ya urais uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta. Na hii inaweza wafanya watu waliodharau tuhuma hizo kuchukulia kuwa ni kweli.

Maraga pls don't do this again. Nyie hampaswi kuwa na upande kwenye mambo ya siasa.
Uchaguz ukisharudiwa,rais akipatikana wataenda,kwani Kenyatta ameenda hapo kama nani?Rais ambaye amechaguliwa juzi au siku za nyuma?

May Allah bless Me and You
 
Kama Taasisi Wana haki ya kuonyesha disapproval towards Uhuruto misbehaving

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio kwa kususia hafla ya mhimili wa bunge ambayo ipo kikatiba, ifahamike huo ni uzinduzi wa bunge na kwamba rais hapo amekwenda kutimiza wajibu wake. Hivyo rais na majaji wanakua kama waalikwa tu, hao majaji wa mahakama kuu wamejiingiza kwenye siasa, wamenasa kwenye mtego wa Uhuruto wa kutupiana matope ya kisiasa.
Sasa propaganda ndio zitaenea kote nchini na wafuasi wao ndio watapata mzuka hata zaidi wa kujiandaa kwenye mechi ya marudiano.
 
Sio kwa kususia hafla ya mhimili wa bunge ambayo ipo kikatiba, ifahamike huo ni uzinduzi wa bunge na kwamba rais hapo amekwenda kutimiza wajibu wake. Hivyo rais na majaji wanakua kama waalikwa tu, hao majaji wa mahakama kuu wamejiingiza kwenye siasa, wamenasa kwenye mtego wa Uhuruto wa kutupiana matope ya kisiasa.
Sasa propaganda ndio zitaenea kote nchini na wafuasi wao ndio watapata mzuka hata zaidi wa kujiandaa kwenye mechi ya marudiano.
Ur Judiciary needs to stay neutral till at least after a repeat of ur Presidental election n most important having received over 60 petitions from MPs Governors n Senators that have just won. His presence would have been their approval. My friend that CJ is very smart n works on principles. Pretty sure Jubilee representatives would have booed him.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very dangerous for neutral Judges to be seen having reactionary activism regardless of the criticism they got from Uhuru..I've seen US judges get attacked by politicians but they keep mum to maintain their neutrality,professionalism and dignity.How in the world do these Kenyan judges boycott a constitutional function yet they ruled that the election didn't follow the constitution?
What Maraga did is constutional safeguarded. In the US too federal Judges can choose to skip attending such an event if they r in a situation that their decisions at the bar might be compromised by or compromise the interests of a perceived rogue executive regime. Mind u Judiciary safeguards constitution n what Maraga n his team did is within that role.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kwa kuwasalimu.

Kama kweli Jaji Mkuu David Maraga na Majaji wengine wa Mahakama ya juu wamesusia uzinduzi wa Bunge la 12, then ni makosa sana. Wamesusia kama ambavyo Wapinzani wa NASA walivyosusia.

Hii itapelekea zile tetesi kuwa Majaji hawa walikuwa njama na NASA ili kutengua matokeo ya urais uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta. Na hii inaweza wafanya watu waliodharau tuhuma hizo kuchukulia kuwa ni kweli.

Maraga pls don't do this again. Nyie hampaswi kuwa na upande kwenye mambo ya siasa.

Ni bora uelewe kwa nini hawa hawakuudhulia kikao leo. kwa mujibu wa katiba mpya rais wa kenya kwa sasa anayo mamlaka ya temporal incumbency ambayo ni mamlaka finyu(soma katiba vipengele andamizi) lakini jubilee wanalazimisha ni rais kamili. Pili mbunge la kumi na mbili linapaswa kufunguliwa na rais wa awamu ya nne muhura wa pili kenya au rais mpya wa tano Kenya. Rais Uhuru ni rais wa muda hadi uchaguguzi ufanyike upya. kwa hovyo supreme court kasema elections were null and void, hawawezi tena kufika kwa ufunguzi ambao wametegua. itakua kinyume na uamuzi wao mahakamani juzi!!
 
Ni bora uelewe kwa nini hawa hawakuudhulia kikao leo. kwa mujibu wa katiba mpya rais wa kenya kwa sasa anayo mamlaka ya temporal incumbency ambayo ni mamlaka finyu(soma katiba vipengele andamizi) lakini jubilee wanalazimisha ni rais kamili. Pili mbunge la kumi na mbili linapaswa kufunguliwa na rais wa awamu ya nne muhura wa pili kenya au rais mpya wa tano Kenya. Rais Uhuru ni rais wa muda hadi uchaguguzi ufanyike upya. kwa hovyo supreme court kasema elections were null and void, hawawezi tena kufika kwa ufunguzi ambao wametegua. itakua kinyume na uamuzi wao mahakamani juzi!!
An Excellent answer suala hapa ni legitimacy of an incumbent that supposed to be called an Acting President..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kwa kuwasalimu.

Kama kweli Jaji Mkuu David Maraga na Majaji wengine wa Mahakama ya juu wamesusia uzinduzi wa Bunge la 12, then ni makosa sana. Wamesusia kama ambavyo Wapinzani wa NASA walivyosusia.

Hii itapelekea zile tetesi kuwa Majaji hawa walikuwa njama na NASA ili kutengua matokeo ya urais uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta. Na hii inaweza wafanya watu waliodharau tuhuma hizo kuchukulia kuwa ni kweli.

Maraga pls don't do this again. Nyie hampaswi kuwa na upande kwenye mambo ya siasa.
usiangalie upande mmoja tu,vipi kuhusu usalama wao,heshima yao bungeni and so forth ?!
Kumbuka wale jamaa sio njaanjaa kama wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenyata aliwaita majaji kuwa ni wahuni na ni wakora kwa kauli hizo majaji kuonesha hisia zao wamefanya hayo yakususia ufunguzi wa Bunge hiyo ndio Kenya iliyotuacha mile makumi elfu kwa demokrasia ss juzi kati mawakili walipopewa wito wa kugoma kwa siku mbili jaji mkuu alipiga mkwala....!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mh wee bwana kweli hopeless. So kwako unacompare na kucontrast bila hata reasonable arguments. Kweli mmerogwa.
 
Hakunaga hiyo kitu kama Acting president kwenye katiba ya Kenya na hakunaga vacuum kwenye presidency hata akifa, anapoapishwa mpya ndio huyu anaacha

Sent using Jamii Forums mobile app
Technically he is as he can't appoint or do big decisions right now. He is constitutional incapacitated! Boaay, read ur constitution...

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom