Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,921
- 4,683
.Uchaguz ukisharudiwa,rais akipatikana wataenda,kwani Kenyatta ameenda hapo kama nani?Rais ambaye amechaguliwa juzi au siku za nyuma?
May Allah bless Me and You
Yaani unamaanisha bunge litazinduliwa kwa mara ya pili?
Hao majaji inaonekana wanaitumikia katiba bila kuielewa.
Labda tuambiwe katiba inaweka wazi kwamba kutakua na ufunguzi wa pili bada ya huu.
Sent using Jamii Forums mobile app