Hivi kazi ya Rais unayoijua wewe ni ku appoint tu jirani yetu Magufuli kawaharibu pia nyie maana ndio kazi yake inayojulikana kuteua na wewe unadhani kazi ya Rais ni kuteuaTechnically he is as he can't appoint or do big decisions right now. He is constitutional incapacitated! Boaay, read ur constitution...
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
It will be a stupidity of highest order for anyone to argue the day to day functions of a government are not limited. Only a man of Mumbi in his tribal cancuun will refute that.Hivi kazi ya Rais unayoijua wewe ni ku appoint tu jirani yetu Magufuli kawaharibu pia nyie maana ndio kazi yake inayojulikana kuteua na wewe unadhani kazi ya Rais ni kuteua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hapo majaji wamejikuta wamenasa kwenye nyavu bila wao kujua! Hata kama hawakupewa mwaliko kama wanavyodai lakini hakuna mtu elewa kuwa hawakualikwa badala yake taswira itakayojengeka ni kuwa walisusia!Sio kwa kususia hafla ya mhimili wa bunge ambayo ipo kikatiba, ifahamike huo ni uzinduzi wa bunge na kwamba rais hapo amekwenda kutimiza wajibu wake. Hivyo rais na majaji wanakua kama waalikwa tu, hao majaji wa mahakama kuu wamejiingiza kwenye siasa, wamenasa kwenye mtego wa Uhuruto wa kutupiana matope ya kisiasa.
Sasa propaganda ndio zitaenea kote nchini na wafuasi wao ndio watapata mzuka hata zaidi wa kujiandaa kwenye mechi ya marudiano.
Geza there's nothing you know about the Kenyan constitution..Uhuru is still the president till when he will hand over instrument of powers to the next president..... And furthermore why are people reasoning with their feets instead of head, how will iebc get funds to run another election without the Parliament???
Nadhani hiyo ndiyo sababu. Hawakufurahi kuitwa "wakora." Kwa Kenya mkora si sifa nzuri kupewa mtu.....Yaani uniite mkora in public halafu utegemee nije ukihutubia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Then u don't know ur constitution the Parliament for this case is overpassed by court decision as one could tell how Jubilee MPs would have behaved if were to pass the IEBC budget.Geza there's nothing you know about the Kenyan constitution..Uhuru is still the president till when he will hand over instrument of powers to the next president..... And furthermore why are people reasoning with their feets instead of head, how will iebc get funds to run another election without the Parliament???
Sent using Jamii Forums mobile app
Then u don't know ur constitution the Parliament for this case is overpassed by court decision as one could tell how Jubilee MPs would have behaved if were to pass the IEBC budget.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba ya Kenya inasemaje kuhusu Jaji Mkuu au majaji kuhudhuria uzinduzi wa Bunge? Je ni lazima wahudhurie kwa mujibu wa sharia au iko silent na hivyo majaji wana option ya kuhudhuria au la? Halafu sidhani kuwa wanasiasa wana uhuru wa kuropoka na hata kuwatukana watu wa mihimili mingine kwa kisingizio kuwa ni siasa na utamaduni huo haifai kuendelezwa.
Katiba iko silent kwa hivyo si lazima majaji kuattend. Lakini hata hivyo washika dau hapa wanasema si vizuri majaji kususia unless ni kweli kwamba hawakuwa invitedKatiba ya Kenya inasemaje kuhusu Jaji Mkuu au majaji kuhudhuria uzinduzi wa Bunge? Je ni lazima wahudhurie kwa mujibu wa sharia au iko silent na hivyo majaji wana option ya kuhudhuria au la? Halafu sidhani kuwa wanasiasa wana uhuru wa kuropoka na hata kuwatukana watu wa mihimili mingine kwa kisingizio kuwa ni siasa na utamaduni huo haifai kuendelezwa.
Congratulations you used the term correctly this time! Yes, its Nyuba ya Mumbi in Kikuyu. House of Mumbi, not the way you use it, calling even men Mumbis and yet Mumbi is a Kikuyu name for Eve.