Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Labda tungewaomba China watusaidie kutoa hukumu!Bosi wa zamani wa ATCL David Mataka amehukumiwa kwenda jela miaka minne ama kulipa faini ya Sh milioni 8 baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya ofisi na kusababishia shirika hasara ya Sh bilioni 100.