Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Daaaaah, mnapenda kutoa sifa za uhongo kweli, PCM yake Tambaza ni ya div 3, sio 0
Acha kutoa tuhuma bila ushahidi! Muongo mkubwa weee! Fa hajawai kusoma TAMBAZA! Fa kasoma Tanga tech O lvl, A level kasoma Ununio Islamic High Sch, Bunju Bssihaya, kamaliza 2000 akapata 0!
Niache kidogo, bado nna hasira SITTA na SITTI!