Watanzania hata wsilaumiwe kuhusu kura jamani yeye mziki wake au improve ufike level za ki na Davido anayejulikana Africa nzima na nyimbo zake nzuri tofauti na yeye aongeze bidii tuzo za BET hawana longolongo kama za kibongo
Ndio maana hawafanikiwi wamekalia majungu tu!
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Mbona Mimi simjui
Hapana bhana, hata kama unaona hapa nimeandika kishabiki, ni kusherehesha mjadala tu lakini ile siku niliumia sana... ingekuwa Jide yupo na wabongo wenzake wala nisinge-mind.kudhalilishwa kwa wasanii ni kawaida sana, ndomo mwenyew kashadhalilishwa sana hat uko majuu wakina rihanna wenyew wanadhalilishwaga so ni matokeo tu
Na hata wenye nazo, majority zinakaribia ku-expire hata kugongwa angalau Namanga hapo bado!nimecheka huko insta eti Watu wanaleta league na diamond hata passport za kusafiria hawana.....
Na hata wenye nazo, majority zinakaribia ku-expire hata kugongwa angalau Namanga hapo bado!
Mimi na wewe nani hajielewi??!! Awali umekana kwamba huna chuki na Diamond... yaani umeshasahau jinsi ulivyoandika kichuki chuki hapo juu ukifurahia Diamond kukosa tuzo!!! Ona ulichoandika:Haueleweki unachoongea kwasababu wemwenyewe haujielewi..
Kwanni unalazmisha mimi n shabiki wa ally k.?
Na ni nan kati yangu na wewe ameonesha huo mfano wako wa X na Y.?kwasababu hakuna sehemu kwenye hyo post nimemtaja kiba nakushangaa wewe.?
hivi jiulize kwann AY anaposhndania tuzo za kimataifa kila mTZ anamuunga mkono lakin kwa diamond tumejigawa.?¿
kma una akili ukishapata jibu ukae kimya,ukilikosa endlea na kelele za kutulazimisha tuwe [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=team]#team diamond[/URL]
Sasa kama sio chuki za hovyo hovyo tuite nini? Maajabu mengine una-mind hadi Diamond kusema amemtoa Davido... Davido mwenyewe haja-mind unakuja ku-mind wewe, MAAJABU HAYA!!!diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
Na hata wenye nazo, majority zinakaribia ku-expire hata kugongwa angalau Namanga hapo bado!
Lmao mtu passport mpk inaexpire kitabu cheupe hakina hata mhuri wa migration lol
Mmh sasa wanakata passport za nini wakat hawana uhakika wa safari
Yani acha tu kunawatu wana mashauzi ndio wanao zionyesha onyesha insta wkt hazina ht mihuri.. wenye mihuri zao wamepaki kwenye mabegi...
Na hata wenye nazo, majority zinakaribia ku-expire hata kugongwa angalau Namanga hapo bado!
binamu watu tunasafir nchi za nje kula bata tu na kufanya shopping, na tumeanza kusafir na ndege tena nchi za nje tukiwa bado wadogo na hata hatujielewi
Sasa huyo masanja na mwenzie ndomo hawakuwahi kuota maisha yao yote kama watakuja kupanda ndege achilia mbali kwenda ulaya, watu tumeanza kumiliki passport tukiwa wadogo hata hatujui nini maana ya passport
Halafu kitu kingine ni ushamba wa hali ya juu kujitapa na vi passport vyenu , watu wana passport na uraia wa nchi mbili mbili na hawajitapi wapo kimya, sasa wenzangu na mimi na vi passport vyao vya ukubwani wanaleta shida tu apa na ulimbukeni wa maisha
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
that's what we call from zero to hero...... uliishi ukiwa huna hopes za kutembea sehem mbali mbali lakin sasa hizo zinakuwa safari za kawaida.....hard work pays
halafu unasema ni ushamba wa hali ya juu kujitapa halafu hapo juu kwenye post yako unasema "watu tunasafiri nje ya nchi kula bata shopping" huoni huo ndio ushamba wenyewe.......
that's what we call from zero to hero...... uliishi ukiwa huna hopes za kutembea sehem mbali mbali lakin sasa hizo zinakuwa safari za kawaida.....hard work pays
halafu unasema ni ushamba wa hali ya juu kujitapa halafu hapo juu kwenye post yako unasema "watu tunasafiri nje ya nchi kula bata shopping" huoni huo ndio ushamba wenyewe.......
Tena kuna wabongo wamezaliwa ulaya na kukulia uko na kuendesha maisha yao uko na hawana uo ulimbukeni wa kujishau hivyo ,sasa mtu kwenda ulaya na visa ya wiki mbili fujo kibao wakati watu wana uraia kabisa wa uko majuu, na wenyewe wangepata uraia si ingekuwa shida apa mjini.