Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

ulishaenda ulaya mara ngapi mkuu

Sipo apa kwa ajili ya kujinadi, hata nikikwambia nimeenda mara mia itasaidia nini? Ivi watu wanaona kwenda ulaya nauli mil 50 eeh? Tena USA visa yake inapatikana ki urais kama njugu, kuna nchi mtu ukigusa hadi watu wanakuogopa ila sio USA uko mpaka akina riyama wanaenda halafu watu wanajifanya wajuaji
 
Duh mseng... umenifurahisha wewe
 
Huyo mdada mbeaaa sie cha mtotoo nakuambiaaaaa

Mwenzangu tunaitwa wachawi uku kisa hatumpendi ndomo, yani niache kumuabudu mungu aliyeniumba na anayenipa uhai nianze tu kumuabudu huyo mcheza ngololo mwenye miguu kama ufito wa genge ebu watupe break apa, davido ndo habar ya mujini
 

TEAMKajala utawajua tu kwa jinis povu linavyowatoka.
 
Last edited by a moderator:
Mwenzangu tunaitwa wachawi uku kisa hatumpendi ndomo, yani niache kumuabudu mungu aliyeniumba na anayenipa uhai nianze tu kumuabudu huyo mcheza ngololo mwenye miguu kama ufito wa genge ebu watupe break apa, davido ndo habar ya mujini

wakaoge walale kimpango waoooo....!km simpendi wema na hawara yake siwapendi tu!
 
Tatizo nilirusha jiwe wakati natoka kupata futari... yaani wala sikutarajia kwamba lingekupata kichogoni wakati unakatiza!!!!!!!! Samahani bhana, mie nilikuwa najibu post ya Heaven on Earth ... kumbe nilijitanua enhee!!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha labda watu walikwazika na ile shera yake na sidiria...
Ila bongo bana kweli kila mtu ni star kumsifia mwenzie anaonashida.
Yaani Bongo sio eneo rafiki kabisa kwa kuwa staa, manake utaishia kupiga picha tu na watoto wa shule, tena videkenshee vya form one na form two... umevuka sana vya form three majority vikiwa vya shule za kata!
 
Tatizo nilirusha jiwe wakati natoka kupata futari... yaani wala sikutarajia kwamba lingekupata kichogoni wakati unakatiza!!!!!!!! Samahani bhana, mie nilikuwa najibu post ya Heaven on Earth ... kumbe nilijitanua enhee!!

Eeh maana tumeshawachoka na ulimbuken wa kumilik passoport ukubwan na kusafir nje, wakajitambie uko uko insta kwa wapuuzi wenzao

Hao akina masanja na ndomo asiowajua kama wametok uswazi nani? So mambo ya passport na safar za ulaya lazima waone big deal, wakafie instagram uko
 
Last edited by a moderator:
Nani alikudanganya Uswazi hatusafiri au tunasafiri ukubwani? Unatutisha na safari za watoto wa kishua za Zimbabwe hadi Angola kwavile Baba ni Afisa Ubalozi??!! Huyo Masanja unayemtaja ni mshamba tu, mtu mwenyewe hata Dar kaja ukubwani...
 
Nani alikudanganya Uswazi hatusafiri au tunasafiri ukubwani? Unatutisha na safari za watoto wa kishua za Zimbabwe hadi Angola kwavile Baba ni Afisa Ubalozi??!! Huyo Masanja unayemtaja ni mshamba tu, mtu mwenyewe hata Dar kaja ukubwani...

Masanja kaja dar ukubwani lakini katupiga bao hata tuliozaliwa mjin, mwenzetu mambo safi sasa ivi, ana mkwanja na miradi ya kueleweka, sema tu ulimbukeni wake.

Yaani masanja ana maneno machafu, ana dharau na majivuno ya hali ya juu, sijui ndo izo pesa zinampa jeuri, maana sura hana na anavyotembeaga kama katoka kutailiwa halafu sasa ivi mchungaji mara muimbaji, na hao anaowahubiria wokovu kazi wanayo, maana yeye u comedy ana u apply kila sehemu kwenye maisha yake, sijawah kumuona masanja akiwa serious ye mda wote anajifanya chizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…