Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

teh nimesoma hii thread ila uliposema kaenda na watu 100 south na kakosa tuzo nimecheka sana maana hii bet kaenda mwenyewe.. Wakati nikikumbuka madam kule ig siku ya kwanza kuweka picha ya diamond kuomba kura alisema "cant wait to see my sisters los angeles ... Bla bla blah blah usa nini nini hahaha nauli haikutosha ama???



naomba kama binamu atapita hapa aanzishe uzi wa mama ubaya. Alivyojitapa kuwa nae ataenda la kumbe ziki tupuuuu
 
Yanii kunamchiz apa kitaa anavyompenda domo bc kila kukicha anakuja n stail y domo...ss leo amesikia domo amekosa tuzo acha alie...ss ninajihuliza kwa mzik gani wa domo mpaka mtu ajiwekee 100% atashinda
 
Alikuwa anawakilisha mashabiki wake na si watanzania wote
 
Jamaa kinachowagawa mashabiki wake ni tabia ya kuji promote hata vtu vya kawaida,..

Ukisoma jarida la babkubwa sijui na la mwez wa4 Lile ambalo yeye ame cover,kuna sehem anasema "YEY NDO KAMTOA DAVIDO",nilishtuka,ila nkakumbuka alivosemaga ana Bilion1 benk,nkaona kawaida tu..
Samahi ndugu nina uhakikia hta wewe unafahamu kuwa umequote uongo,hakusema amemtoa davido wala hakumaanisha hivyo..alichomaanisha remix yake na davido ilifanya hta huku bongo watu waanze kumfatilia zaid tofauti na mwanzo,kumbuka wakati clouds wanatangaza kuwa ataperfome wengi waliponda kuwa wameishiwa,waanaleta wasanii gani wale hta ngoma zao hazfahamiki,..all in all hakumaanisha eti ndio kamtoa...najua umecoment kishabiki tu ndio mana umewekqa chumvi
 
Tafadhali!! Davido ampige na kofi huyu domo benzi no I mean domo msakumba......ahahaahahhah!!

Ajiandae kuimba na akina msaga sumu kwenye vigodoro ila international sio level zake janjajanja huyu. Unaleta usanii usanii kwenye kazi ya Uanamuziki. Mazafaka!!
 
Sasa domo mondi rudi tu nyumbani uendelee kukaza kwenye mchiriku
 
Diamond platnumz bado ni among the best in Africa we are proud of him, big up Diamond kaza next time uende tena

Aende tena wapi wakati tayari keshafubaa kimuziki!

Hapo hata msaga sumu ampi kolabo kwenye vigodoro! Dead n gone. kafulia mkali nature ije kuwa domo..mxiiiuuuuu!!
 
Teh nimesoma hii thread ila uliposema kaenda na watu 100 south na kakosa tuzo nimecheka sana maana hii BET kaenda mwenyewe.. wakati nikikumbuka madam kule IG siku ya kwanza kuweka picha ya Diamond kuomba kura alisema "Cant wait to see my sisters Los Angeles ... bla bla blah blah USA nini nini hahaha nauli haikutosha ama???

Samahani mbona mnapenda kupotosha ,hata kama mtu hamkubali si kiivyo mnafanya,si kweli kuwa alienda na idadi hiyo mnayoikuza hapa..Diamond aliondoka hapa na dancers coz alienda kuperfome,baby ake,mama na meneja baasi..wengine walienda kikakzi kama millard ,missago ..pia wpo walienda kwa mapenzi kabisa na kwa nauri zao kwenda kutoa sapoti..na mbona hiyo ni kawaida wasanii kwenda na wapambe wao kwenye tuzo..mbna kina davido na wasanii wengine walipokuwa wanaenda kuchukua tuzo walikua wanaenda na rundo la watu wao pale stejini hamkuona hayo??acheni bana hizo..
 
diamond anaimba vizuri east africa nzima anakimbiza kwa sabab anaimba lugha ambayo sote twaielewa ila nchi nyingine hawamwelewi anachoongea na kiukwel ana mashair mazur kuzid davido mwisho wa siku ni lazima tu yule anaeimba watu wengi wanachokielewa ndio atashinda so kiufup jamaa itabid akubaliane tu na hali kwamba davido kapewa maana anaimba lugha ya kiingereza lugha ambayo inajulikana sana ulimwenguni kuliko hiki kiswahil ambacho pengine mtu ataishia kupenda tu sauti na melody bila hata kujua neno moja lililoimbwa so kwa ushaur wangu mi kiingereza na kiswahil nakijua na kwangu diamond namkubal kuzid davido ila nchi nyingine watabak na davido tu
 
Nyimbo za kucheza kiduku ndio aende akamshinde Davido??amejulikana nchi za nje kwa ajili ya Davido

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hivi zile 75% za kura alizokua anaongoza diamond mapema last month ziko wapi vile?
 
Samahi ndugu nina uhakikia hta wewe unafahamu kuwa umequote uongo,hakusema amemtoa davido wala hakumaanisha hivyo..alichomaanisha remix yake na davido ilifanya hta huku bongo watu waanze kumfatilia zaid tofauti na mwanzo,kumbuka wakati clouds wanatangaza kuwa ataperfome wengi waliponda kuwa wameishiwa,waanaleta wasanii gani wale hta ngoma zao hazfahamiki,..all in all hakumaanisha eti ndio kamtoa...najua umecoment kishabiki tu ndio mana umewekqa chumvi

Mbna hakutoa maelezo yote hayo.?
ye alisema "nmemtoa davido",hakuelezea hayo yote unayoelezea wewe..
Kama alikua na maana hyo basi ka show weakness kuwa hawdz mahojiano,angeelezea kunhekuwa na tatzo gan.?
sasa kwa sisi waTZ alsmea kwa kauli moja tu "nimemtoa davdo" kwako wewd kifesi akatoa maelezo ana akili kweli huyo boss wako.?NO WONDER ANAVAA SKETI.
heaven on desert
 
Last edited by a moderator:
diamond anaimba vizuri east africa nzima anakimbiza kwa sabab anaimba lugha ambayo sote twaielewa ila nchi nyingine hawamwelewi anachoongea na kiukwel ana mashair mazur kuzid davido mwisho wa siku ni lazima tu yule anaeimba watu wengi wanachokielewa ndio atashinda so kiufup jamaa itabid akubaliane tu na hali kwamba davido kapewa maana anaimba lugha ya kiingereza lugha ambayo inajulikana sana ulimwenguni kuliko hiki kiswahil ambacho pengine mtu ataishia kupenda tu sauti na melody bila hata kujua neno moja lililoimbwa so kwa ushaur wangu mi kiingereza na kiswahil nakijua na kwangu diamond namkubal kuzid davido ila nchi nyingine watabak na davido tu

Radio na weasle wanaimba kiGanda,tena ni kigumu na kibaya kuliko kiswahili,na mbna walichukuaga tuzo za MTV mbele ya wa nigeria..
 
Ajiongeze,arekebishe sauti,asiibane sana,nyimbo nyingi azielekeze kimataifa,apige show zenye hadhi,sio bei tuu.Akaze atatoka home boy.
 
Samahani mbona mnapenda kupotosha ,hata kama mtu hamkubali si kiivyo mnafanya,si kweli kuwa alienda na idadi hiyo mnayoikuza hapa..Diamond aliondoka hapa na dancers coz alienda kuperfome,baby ake,mama na meneja baasi..wengine walienda kikakzi kama millard ,missago ..pia wpo walienda kwa mapenzi kabisa na kwa nauri zao kwenda kutoa sapoti..na mbona hiyo ni kawaida wasanii kwenda na wapambe wao kwenye tuzo..mbna kina davido na wasanii wengine walipokuwa wanaenda kuchukua tuzo walikua wanaenda na rundo la watu wao pale stejini hamkuona hayo??acheni bana hizo..

Bwana KIFESI samahani kidogo..
Mda ule una post thread ya Diamond kuwekwa kwenye Hollywood walk of fame ulikua umevuta bange au umelewa au ulikua na akili zako timamu.?tafadhari majibu yako ni faraja kwangu..
heaven on desert
 
Last edited by a moderator:
Bwana KIFESI samahani kidogo..
Mda ule una post thread ya Diamond kuwekwa kwenye Hollywood walk of fame ulikua umevuta bange au umelewa au ulikua na akili zako timamu.?tafadhari majibu yako ni faraja kwangu..
heaven on desert
Naangaliana aina ya watu wa kujibu,kukujibu wewe amabaye tayri unaonesha unachuki na jamaa itasaidia nini kama si kupoteza mda tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom