Naangaliana aina ya watu wa kujibu,kukujibu wewe amabaye tayri unaonesha unachuki na jamaa itasaidia nini kama si kupoteza mda tu
Hua zinabadilika kama saa mkubwa. Pia wabongo wengi kura hawapigi!Hivi zile 75% za kura alizokua anaongoza diamond mapema last month ziko wapi vile?
Naangaliana aina ya watu wa kujibu,kukujibu wewe amabaye tayri unaonesha unachuki na jamaa itasaidia nini kama si kupoteza mda tu
Chuki zako kwa Diamond zinatokana na mahaba yako kwa Ally Kiba na wala huna sababu za msingi. Kwani Davido alikuwa anashindanishwa na Diamond? Zile ni tuzo jombi... ni mmoja tu ndie anapata na wengine wote kukosa. Ngoja nikuulize... umeshapata kuona matangazo ya nafasi za kazi? Watasema hivi: Minimum Requirement: University Degree in so and so... Hapa mwenye Diploma hapaswi kuomba unless kama hana akili timamu. Wenye hizi minimum requirement wataomba makumi kwa mamia ni ikibidi hata maelfu... utafuata mchujo wa kuondoa makapi, kisha utafanyika mchujo ili kupata pure breed... hii pure breed ndio itaitwa kwenye oral interview... hawa wote wana sifa sawa lakini anatakiwa mmoja! Yule atakayepata kazi huwezi kusema kwamba ndo mkali kuliko wote coz' miongoni mwa wote wenye sifa, aliyetakiwa ni mmoja tu, PERIOD! Katika hili, Diamond alikuwa na sifa za ziada... alipita hadi kwenye kapu la kutenganishwa kati yake na makapi... akaingia kwenye kundi la pure breed... among all, alitakiwa mmoja tu! Huyo Ally KIba anayekufanya umchukue Diamond hakuwemo hata kwenye kundi la makapi, seuze pure breed???!!!davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
Hkuna miujiza kwenye kujua davido anjua mnoooo
Hao team mandazii cjui hata kama walipiga kura..au ndo mapovu yanawatoka tu!!
Asante Mungu kwa kusikia maombi yangu.
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi wacha weeeh kumbe kuna vita huko???Mzima wewe
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
Hahaha nimejikuta nacheka. Yaani hapo ndo ja improve?
Diamond platnumz bado ni among the best in Africa we are proud of him, big up Diamond kaza next time uende tena