Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Angalia style ya kuimba,kuvaa,kucheza na shooting ya video davido kamuacha mbali ndomo.Ebu mwambieni aanze kuimba nyimbo za kizungu
Mkuu ndio wengi tulikuwa hatumjui kabisa, hata hao Mafikizolo tumewajua baada ya kuskia wamepambanishwa na mkali wetu Dangote kwenye tuzo za MTV. Over
Nadhani vigezo vya kumpata mshindi vitakuwa ni Kura, na sisi wote tunajua Nigerians ni wengi sana ( takribani 200m), na wana muamko sana kimaisha kuliko nchi yeyote kwa afrika, so you can easily predict the results.
But kama ni ukali wa muziki kati ya diamond, Davido na mafikizolo, I would bet for mafikizolo, diamond and last huyu kanjanja wa ki Nigeria.
kule hakuna ruge mutahaba ili ulijuwe vyema
Hahahahahahah
Diamond pole kaka kama watz wenzako ndio hawa.
Mi nampongeza tu Diamond kwa hatu aliyofikia ni hatua kubwa sana kuwa tu nominated ni ushindi tosha kwa kawaida katika mengi mshindi anatakiwa awe mmoja tu ndivyo ilivyotokea kwa Diamond na Davido. kuna wasanii wameanza gemu pengine Diamond bado Chekechea Tandale lakini hawajawahi hata kuchukua hata tuzo za KTMA sasa leo uje ubeze Diamond kupata nafasi ya kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kama MTV na BET humtendei haki kabisa sio shabiki wa Diamond lakini kwa hili nampongeza sana
Anasema sijui mimi penny,mara jokate mara wolper , humu binamu watu wana vichaa kiama
Kama ni hivyo, wengi wenu mtakua mmeanza kufuatilia muziki baada ya Diamond kutoka. Jamaa ni wakari na walitoka kabla minanawe hawajamtoa Lady Jaydee hivyo kama umewasikia mafikizolo mwaka huu basi fahamu kua hauna hadhi ya kubishana ktk mambo ya Muziki.
Mi watu mnaniachaga hoi eti kwa alipofikia kajitahid , kwa nini asiweze sasa, maana tumewachoka kila siku alipofika kajitahid, mlianza hivyo hivyo kweny tuzo za mtv na bet tena ooh kajitahid , sasa lini atafanya kwel?
Tatizo ndomo ana mawazo mgando akili zake zote kuwa akifanya collabo na wasanii wakubwa ndo atafanikiwa ina maana yeye kusimama mwenyew hajiamin kabisaa kama ataweza
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
wamemchakachua si alikuwa anaongoza kwenye kura tena aliwaacha mbali sana hao akina davidodavido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
Anae weza anaweza tu kudadadeki jamaa kaishajichukulia tunzo yake kilaini,View attachment 167888
Ashindwe binam akuwacheeeer
Acha chuki.. Pale alipokanyaga utatamani nawe ukanyage
wamemchakachua si alikuwa anaongoza kwenye kura tena aliwaacha mbali sana hao akina davido
Watataman wanamuziki wenzie kwan sisi tumekuwa wanamuzik had tumtamani?
Wataniwezea wapi? Mi nawaangalia tu jins wanavyohangaika apa
Mkuu ndio wengi tulikuwa hatumjui kabisa, hata hao Mafikizolo tumewajua baada ya kuskia wamepambanishwa na mkali wetu Dangote kwenye tuzo za MTV. Over