Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnasafiaga ata ujinga, kama angekuwa msanii bora africa si angepat tuzo? Ndomo wenu huyo bado sana atahangaika sana na collabo za mastaa wa juu
hizi awards za best international Act na zinginezo ndogo ndogo huwa zinatolewa awali kabisa, kabla ya kilele chenyewe..
So haziwez kuonyeshwa, hizo ni sherehe za awali tu, Ambapo ndo wanatoa Tuzo kama hizo ili, kupunguza mzigo katika siku kamili ya utoaji tuzo wenyewe, ambapo ni mostly kuwa tuzo za native artists (amercans), ndo zinatolewa rasmi.
so just tune in BET channel siku ya j4, utaona kila kitu LIVE..trh 1 july.
unaweza kuwa na miak 15 ila muonekano wako ukawa kama bibi
Hivi alikuwepo au?
Alifanya pafomansi?
Wapambe wake vipi?
Naona leo kimya sana zile za KwaZulu waliongea sana
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
Diamond pia kiingereza kinamuangusha nimeangalia interview yake pale dah... maana inabidi akatishe mazungumzo no kujieleza
Hivi alikuwepo au?
Alifanya pafomansi?
Wapambe wake vipi?
Naona leo kimya sana zile za KwaZulu waliongea sana
Kwa uandishi wako nina wasiwasi na jinsia yako.
Hata kama ni chuki dhidi ya diamond yako imezidi.
Wewe kama sio penny basi ni jokate kama sio basi utakua wolper au miongoni mwa madem za diamond alowahi kuwalamba kisha akawatosa.
Ukikosakosa huko pote basi utakua mfuasi wa alshabaab au boko haram wale wenye misimamo mikali ya kiimani kama sipo basi we sio mtanzania.
Utakua jirani kutoka Rwanda au Malawi.
We ni zaidi ya mchawi.
Yanii kunamchiz apa kitaa anavyompenda domo bc kila kukicha anakuja n stail y domo...ss leo amesikia domo amekosa tuzo acha alie...ss ninajihuliza kwa mzik gani wa domo mpaka mtu ajiwekee 100% atashinda
Wewe una kichaa sio mzima kabisaa
Hivi ukimpa sifa mtanzania mwenzio utakatika mahali...??? Watanzania tuna wivu sana na chuki binafsi zilizopitiliza. Yaani umekaa kabisa na kuanzisha uzi kwa ajili ya kumponda Mtanzania mwenzio na kurusha sifa kwa Mnigeria. Umeshindwa kuelewa kua Davido kafika pale alipo kwa sababu ya wa Nigeria wenzie na sio sababu ya Watanzania. Mpe Mtanzania mwenzio sifa pale anapostahili, acha roho ya wivu....Big Up Diamond, kuna siku utafikia malengo yako wa ajili ya Watanzania...!!!!
Sio siri mi usingizi haujapita kabisa baada ya mnafiki na hater mmoja kunipigia simu usiku usiku eti Dangote kakosa tuzo, Binafsi naamini sana uwezo wa Diamond lakini najua dogo wamemuhujum bure maana hata kwa wenzetu wanajua fitina lakini hii haindoi ukweli kuwa Diamond ndio star wa kwanza anayekimbiza Africa.
Kumbuka kua Kiingereza sio Lugha yake na sio lazima aijue ili afike mbali. La muhimu analotakiwa kufanya kwa sasa vile ana pesa atafute mkalimani. Wako wangapi wenye mafanikio na hata yes/no hawaijui...?? Fagilia lugha yako, acheni lugha za kuiga. Namkubali Diamond, atafika tu bila hata hicho kiingereza.
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..
Mi naona afadhari,kwasababu angechukua Diamond,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood walk of fame,je angechukua.?
Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..
Sio siri mi usingizi haujapita kabisa baada ya mnafiki na hater mmoja kunipigia simu usiku usiku eti Dangote kakosa tuzo, Binafsi naamini sana uwezo wa Diamond lakini najua dogo wamemuhujum bure maana hata kwa wenzetu wanajua fitina lakini hii haindoi ukweli kuwa Diamond ndio star wa kwanza anayekimbiza Africa.
Anasemajee huyo binam/?????