City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Mtoto wa Davido ndio wa kwanza kufa kifo cha kuzama majini ( drowning)? Mbona maskini kibao wanazama majini daily? Hebu ficha ujinga wako au hujui km kuna ajali duniani! Nchi hii ina wapuuzi wengi wanaoamini kila kifo kina mkono wa mtu
Tajiri akifiwa katoa kafara, maskini akifiwa mipango ya Mungu.