King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huyu si ndiyo alisema anasikiliza sana ushauri wa Aliko Dangote kuhusu matumizi mabaya ya pesa? Maana aliko nasikia ndani ya miaka 10 maenunua magari mawili tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanigombanisha na mzee waBOMA YEE ahahaha sijataja mtu 😂😂😂😂Unajua mkuu wanachofanya ughaibuni kwa asilimia kubwa hao wanaijeria???????? Ukijua bas usiwalaumu akina Le mutuz mkuu🤣🤣🤣
Dunia ina mamboGari hizo zimetengenezwa 150 tu na sasa Davido atakuwa kati ya Watu 150 wenye gari hizo dunia nzima.
Braza wetu yule🤣🤣🤣🤣🤣Naona vijana mnamdisss kaka mkubwa🤣🤣🤣Unanigombanisha na mzee waBOMA YEE ahahaha sijataja mtu 😂😂😂😂
Ahahaha braza ana mambo mengi sana yule...Braza wetu yule🤣🤣🤣🤣🤣Naona vijana mnamdisss kaka mkubwa🤣🤣🤣
Anaishi bila stress na ndio maisha yalivyo......🤣🤣🤣🤣Ahahaha braza ana mambo mengi sana yule...
Mkuu naomba uishie hapa,View attachment 2601732
Familia rafiki ya davido ni pamoja na dangote ambae anaelezea dogo anamfahamu toka akiwa mtoto
[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mtu kwao wana utajiri wa dollar karibu billion moja, halafu kajamba nani ambae ni maskini unataka kujifanya unaleta ushauri wakati kwenu hata panadol ni tatizo ukoo mzima,
Coz I'm in luv with you babeTuimbe tu money follow you banana follow you paparazi follow you........[emoji445][emoji445][emoji445]
are u done talking tell me bby are you done talking 🎶🎶🎶 😁
Bado nakazia having a black mind ni umasikini wa milele,Davido kwao matajiri, wala hutakiwi kujifanya unashauri lolote maana kati ya familia 20 tajiri nigeria na familia ya akina davido imo, wale ni dollar billionaires, amezaliwa anakuta visima vya mafuta, viwanda, mabenki, vyuo vyote vipo hatumii pesa kwa showoff bali anatumia zilizopo kwao tayari na kwa bongo wasanii wenye pesa kumshinda hawapo na hawajatokea na hawatotokea,
I don wanna be a player no mooreare u done talking tell me bby are you done talking [emoji445][emoji445][emoji445] [emoji16]
Ikabidi nirudi googl kumtazama davido nkakuta miongoni mwa 30 familia za Nigeria tajiri yumo na baba Ake nadhak yumo ndani ya hyo club 30 Wana km kaumojwa waoDavido kwao matajiri, wala hutakiwi kujifanya unashauri lolote maana kati ya familia 20 tajiri nigeria na familia ya akina davido imo, wale ni dollar billionaires, amezaliwa anakuta visima vya mafuta, viwanda, mabenki, vyuo vyote vipo hatumii pesa kwa showoff bali anatumia zilizopo kwao tayari na kwa bongo wasanii wenye pesa kumshinda hawapo na hawajatokea na hawatotokea,
dey call me cristiano mr ronaldo weeee 🎶🎶🎶 🤣😂 reymage umetisha sanaa 🔥I don wanna be a player no moore
I don wanna be a player no moore!!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app