Davido anunua Mercedes Maybach toleo maalumu la ‘Virgil Abloh’ kwa Tsh. Bilioni 1.41

Davido anunua Mercedes Maybach toleo maalumu la ‘Virgil Abloh’ kwa Tsh. Bilioni 1.41

Siku moja alikuwa anahojiwa na kina Charlamagne tha God akawaambia waende Lagos hakuna gari ipo marekan haipo nigeria, kwahiyo nikajua its more of a lifestyle kuliko watu wanavyofikiria, and Davido ni INTERNATIONAL ARTIST... MAMBO YAKUFLEX NA MAVITU OG NI LAZIMA KAMA ANATAKA KUENDELEA KUWA RELEVANT... Me nalendaga saa basi kuna siku nlimwona Jay Z amevaa saa kwenda kuichek ni one on one watch na bei ni dolla million 5 aisee kama huna hela utaona kama ni anasa, lakin kumbe sio

Lagos wana club ziko expensive hadi walaji bata kutoka ulaya na amerika hua wanapaogopa sana na zinakua na huduma zote masaa 24, mfano Quilox na cubana, na kila kitu unakiona ulaya wao wanacho pale na nigerians wanapenda kurudi kujenga kwao, yaani hata wale nigerians wenye maduka kariakoo hawezi kujenga bongo kabla ya kwao haiwezekani
 
Sorry kwa mapichamapicha nilikua najaribu kuweka mambo sawa ya wale waliokua wanasema black mind na ujinga ujinga wao, kujifanya wanajua uchumi kuliko wanaomiliki huo uchumi wenyewe, Davido na familia yake ni next level hawapo level zetu so tuendelee kuburudika na nyimbo zake bila makasiriko, 30 billion naira for the account, money follows you na blah blah kibao
We Jamaa bana naona umeweka mambo Sawa kweli 🤣🤣🤣.
 
Lagos wana club ziko expensive hadi walaji bata kutoka ulaya na amerika hua wanapaogopa sana na zinakua na huduma zote masaa 24, mfano Quilox na cubana, na kila kitu unakiona ulaya wao wanacho pale na nigerians wanapenda kurudi kujenga kwao, yaani hata wale nigerians wenye maduka kariakoo hawezi kujenga bongo kabla ya kwao haiwezekani
Daah kweliii, kuna lakujifunza hapo, wabongo wengi wapo ulaya akirud anarud na Jean's ya kuchanikachania na anakuwa na mizinga kinoma kisa ataleta vistory vya ulaya
 
More power to you. Ukitoa psquare I barely know who is who huko wala nyimbo. But again I have plenty on my plate as it is rn. Habari za tajiri muulize maskini.
Mkuu unachosema kweli, ila kumbuka sio kila mtu ni self driven kwenye haya maisha, sometimes hizi story zipo around ku motivate vijana wapambane sana and not otherwise, nyie matajiri hamuitaji stori kama hizo si tayari you're getting your daily bread as it is supposed to.. Kwahiyo kwa sisi maskini sio dhambi kujua flan ameachieve nini na ametoka wapi inatusaidia kwenye hustle zetu za kilasiku...you guys arleady have money you have nothing to worry, your stories become motivation to us so msitujudge sana man.
 
Mkuu umefika lagos au story tu mkuu......Mbona lagos kumechoka sana kimiundo mbinu 75% except those billionaire area,s na zile man made islands.....Au wewe mkuu unaisemea lagos ipi???????
Lagos wana club ziko expensive hadi walaji bata kutoka ulaya na amerika hua wanapaogopa sana na zinakua na huduma zote masaa 24, mfano Quilox na cubana, na kila kitu unakiona ulaya wao wanacho pale na nigerians wanapenda kurudi kujenga kwao, yaani hata wale nigerians wenye maduka kariakoo hawezi kujenga bongo kabla ya kwao haiwezekani
 
Wewe mtu kwao wana utajiri wa dollar karibu billion moja, halafu kajamba nani ambae ni maskini unataka kujifanya unaleta ushauri wakati kwenu hata panadol ni tatizo ukoo mzima,
Hii comment imenichekesha sana.....kweli jamaa kwao mambo safi acha afaidi vitu vizuri.
 
Daah kweliii, kuna lakujifunza hapo, wabongo wengi wapo ulaya akirud anarud na Jean's ya kuchanikachania na anakuwa na mizinga kinoma kisa ataleta vistory vya ulaya
Unajua mkuu wanachofanya ughaibuni kwa asilimia kubwa hao wanaijeria???????? Ukijua bas usiwalaumu akina Le mutuz mkuu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom