Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kweli msukuma ni msukuma tu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli msukuma ni msukuma tu!!
Kweli msukuma ni msukuma tu!!
[emoji2][emoji2][emoji2] aiseehMwanae aliyefia kwenye swimingpool apumzike kwa amani
SureDavido kwao matajiri, wala hutakiwi kujifanya unashauri lolote maana kati ya familia 20 tajiri nigeria na familia ya akina davido imo, wale ni dollar billionaires, amezaliwa anakuta visima vya mafuta, viwanda, mabenki, vyuo vyote vipo hatumii pesa kwa showoff bali anatumia zilizopo kwao tayari na kwa bongo wasanii wenye pesa kumshinda hawapo na hawajatokea na hawatotokea,
Davido kwao matajiri, wala hutakiwi kujifanya unashauri lolote maana kati ya familia 20 tajiri nigeria na familia ya akina davido imo, wale ni dollar billionaires, amezaliwa anakuta visima vya mafuta, viwanda, mabenki, vyuo vyote vipo hatumii pesa kwa showoff bali anatumia zilizopo kwao tayari na kwa bongo wasanii wenye pesa kumshinda hawapo na hawajatokea na hawatotokea,
Sawa.
Unalipwa kufuatilia maisha ya mtu hivi au you just have lots of time in your hand?
music industry, hasa progress za wasanii wa west, asia, egypt, America,congo na europe kuanzia wa hiphop, carribean, country, rnb, pop, anzia vizazi vya akina jim reeves, ken rodgers, Ray price, hank williums, dolly parton na hadi vizazi vya sasa au vile vya rhumba vya akina franco, madilu, tabuley, tshala muana, zaiko Langa langa, mbilia bel, simaro lutumba, mose fan fan na hadi leo akina fally au ferre na innos binafsi nawafuatilia kuanzia kazi zao, maisha yao na mengine mengi, na hua nafahamu nani alipiga paris akajaza na nani hakujaza, nani alifanya tour yenye mafanikio mabara mbalimbali au nani Alibuma, hivo kama unajifunza jifunze, ukikereka dogo pita kushoto
Dr. MsukumaView attachment 2601816
Wananchiiiiiii na mwakilishi wao
Davido kwao matajiri, wala hutakiwi kujifanya unashauri lolote maana kati ya familia 20 tajiri nigeria na familia ya akina davido imo, wale ni dollar billionaires, amezaliwa anakuta visima vya mafuta, viwanda, mabenki, vyuo vyote vipo hatumii pesa kwa showoff bali anatumia zilizopo kwao tayari na kwa bongo wasanii wenye pesa kumshinda hawapo na hawajatokea na hawatotokea,
asake wa tandale anasemaje?
Dah wabongo acheni wivu aisee hakuna asiyetamani kisukuma hiyo gari,Sasa mnadiss Nini?Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Mkuu,Davido ni msanii na wasanii show off ni moja ya njia yakujibrand,kuna tofauti ya tajiri msanii na mtoto wa tajiri kama huyo uliyesema mtoto wa BillgetUmeshawahi kumuona mtoto wa Bilgert and the like wakiwa na show off za aina hiyoo.
Ndio maana ya black mind aliyoizungumza.
NB: Mtafuta pesa hapangiwi jinsi ya kutumia
Yaani they're bitter.....hapo wivu kibaoBlack mind ni pamoja na hii ya kuwa salty kwenye lifestyle ya wengine😀😀
Wewe wenye white mind ukute huna hata baiskeli,jifunzeni kuappriciate wenzenu walifanya jambo zuriHaving a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...
Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele