mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami narudiaBlack mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Nakazia hapa 📌🔨Wewe mtu kwao wana utajiri wa dollar karibu billion moja, halafu kajamba nani ambae ni maskini unataka kujifanya unaleta ushauri wakati kwenu hata panadol ni tatizo ukoo mzima,
Siasa inalipa
Ova
Mkuu,Davido ni msanii na wasanii show off ni moja ya njia yakujibrand,kuna tofauti ya tajiri msanii na mtoto wa tajiri kama huyo uliyesema mtoto wa Billget
Angenunua EQS 2023.
What do you mean mboni unakua km Panya ? Ukimwekea pale sinia 2 moja lina damu ya binadamu na pale sinia jingine lina vitu vitamu vitamu, ataliacha sinia la vitu vitamu na kwenda kwenye damu ya binadamu na kuanza kuilaHaving a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...
Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Ndio jamàa akamzushia kua wakati wanarekodi alikua kikojozi, shutuma mbaya sana ileView attachment 2601720
Davido na kaka yake mbele ya chuo kikuu chao adeleke university ambacho kina kampasi kama nne kwa sasa nchini nigeria
Watu wamekasirika2023 utajiri wa Adedeji Adeleke Baba mzazi wa Davido unafikia dollar 900 million wakati utajiri wa Davido binafsi kwa 2023 unafikia dollar 50million, hapo haujataja utajiri wa Baba zake wadogo akina Ademola ambao unafika dollar 400 million
Don't be salty man, this kid comes from a wealthy family...they have money and thats the less he can spend....Having a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...
Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Wanasema kesi iko mahakamani, kuwa walilipa bima kabisaSisi huku ile private jet yetu bado haijafika.
Watu wamekasirika
Aisee maktaba tu ni kama chuo cha ifm chote alafu cha serikali, elimu inataniwa sana TanzaniaView attachment 2601721
Maktaba ya chuo kikuu cha akina davido
Wanasema kesi iko mahakamani, kuwa walilipa bima kabisa
Story za wasaniiKwahiyo mnasubiri jet na wasafi tower au kuna kingine?
Yes ana muda mwingi amesha accomplish vyote alivyotaka kuacomplish kwenye maisha yake, and to add insult to injury kamanda anasema ukweli... Putting facts right ni mpango wa Mungu.. Like right now i won't be yip yapin on why the kid is making it rain, cause i arleady know he comes from a rich family..Unalipwa kufuatilia maisha ya mtu hivi au you just have lots of time in your hand?
Siku moja alikuwa anahojiwa na kina Charlamagne tha God akawaambia waende Lagos hakuna gari ipo marekan haipo nigeria, kwahiyo nikajua its more of a lifestyle kuliko watu wanavyofikiria, and Davido ni INTERNATIONAL ARTIST... MAMBO YAKUFLEX NA MAVITU OG NI LAZIMA KAMA ANATAKA KUENDELEA KUWA RELEVANT... Me nalendaga saa basi kuna siku nlimwona Jay Z amevaa saa kwenda kuichek ni one on one watch na bei ni dolla million 5 aisee kama huna hela utaona kama ni anasa, lakin kumbe sioAfadhali umemjibu, show off kwa wasanii ni utamaduni sema show off za nigerian artist hua hawafake maisha huko walishatoka, wanaishi kwenye uhalisia na sio janja janja kama wasanii wetu wapendwa,
Yes ana muda mwingi amesha accomplish vyote alivyotaka kuacomplish kwenye maisha yake, and to add insult to injury kamanda anasema ukweli... Putting facts right ni mpango wa Mungu.. Like right now i won't be yip yapin on why the kid is making it rain, cause i arleady know he comes from a rich family..