Davido anunua Mercedes Maybach toleo maalumu la ‘Virgil Abloh’ kwa Tsh. Bilioni 1.41

Davido anunua Mercedes Maybach toleo maalumu la ‘Virgil Abloh’ kwa Tsh. Bilioni 1.41

Siasa inalipa

Ova

Hako kajamaa kajanja kajanja hata kabla ya kupata ubunge cash kanayo, anzia tenda za miaka ile ya kukodisha set za mitambo migodini, mabasi, dhahabu, jumlisha mserereko wa misamaha ya kodi za kibunge hua kako vizuri sema kapigaji sana kakinyimwa tenda huko halmashauri lazima kamuwashie moto mkurugenzi hadi aondoke
 
Mkuu,Davido ni msanii na wasanii show off ni moja ya njia yakujibrand,kuna tofauti ya tajiri msanii na mtoto wa tajiri kama huyo uliyesema mtoto wa Billget

Afadhali umemjibu, show off kwa wasanii ni utamaduni sema show off za nigerian artist hua hawafake maisha huko walishatoka, wanaishi kwenye uhalisia na sio janja janja kama wasanii wetu wapendwa,
 
Having a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...

Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
What do you mean mboni unakua km Panya ? Ukimwekea pale sinia 2 moja lina damu ya binadamu na pale sinia jingine lina vitu vitamu vitamu, ataliacha sinia la vitu vitamu na kwenda kwenye damu ya binadamu na kuanza kuila
 
2023 utajiri wa Adedeji Adeleke Baba mzazi wa Davido unafikia dollar 900 million wakati utajiri wa Davido binafsi kwa 2023 unafikia dollar 50million, hapo haujataja utajiri wa Baba zake wadogo akina Ademola ambao unafika dollar 400 million
Watu wamekasirika
 
Unalipwa kufuatilia maisha ya mtu hivi au you just have lots of time in your hand?
Yes ana muda mwingi amesha accomplish vyote alivyotaka kuacomplish kwenye maisha yake, and to add insult to injury kamanda anasema ukweli... Putting facts right ni mpango wa Mungu.. Like right now i won't be yip yapin on why the kid is making it rain, cause i arleady know he comes from a rich family..
 
Afadhali umemjibu, show off kwa wasanii ni utamaduni sema show off za nigerian artist hua hawafake maisha huko walishatoka, wanaishi kwenye uhalisia na sio janja janja kama wasanii wetu wapendwa,
Siku moja alikuwa anahojiwa na kina Charlamagne tha God akawaambia waende Lagos hakuna gari ipo marekan haipo nigeria, kwahiyo nikajua its more of a lifestyle kuliko watu wanavyofikiria, and Davido ni INTERNATIONAL ARTIST... MAMBO YAKUFLEX NA MAVITU OG NI LAZIMA KAMA ANATAKA KUENDELEA KUWA RELEVANT... Me nalendaga saa basi kuna siku nlimwona Jay Z amevaa saa kwenda kuichek ni one on one watch na bei ni dolla million 5 aisee kama huna hela utaona kama ni anasa, lakin kumbe sio
 
Yes ana muda mwingi amesha accomplish vyote alivyotaka kuacomplish kwenye maisha yake, and to add insult to injury kamanda anasema ukweli... Putting facts right ni mpango wa Mungu.. Like right now i won't be yip yapin on why the kid is making it rain, cause i arleady know he comes from a rich family..

More power to you. Ukitoa psquare I barely know who is who huko wala nyimbo. But again I have plenty on my plate as it is rn. Habari za tajiri muulize maskini.
 
Back
Top Bottom