City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Mtoto wa Davido ndio wa kwanza kufa kifo cha kuzama majini ( drowning)? Mbona maskini kibao wanazama majini daily? Hebu ficha ujinga wako au hujui km kuna ajali duniani! Nchi hii ina wapuuzi wengi wanaoamini kila kifo kina mkono wa mtu
Hahahahahah...nashukuru umenijibia maana nilishindwa hata kuwajibuAcha ushamba wewe hiyo Mercedes Maybach ambayo kwa Marekani wanamiliki wasanii wadogo tu kama D Aye ndio inakutoa roho namna hiyo na kutoa kashfa ambazo huna uhakika nazo!?? Mindset ya muafrica imekaa kichawi chawi sana yaan hata aelimike uchawi upo tu damuni haya ndio matokeo ya Chale walizochanja mababu zetu mwilini mwao DNA za uchawi zinabaki mwilini kwetu tutafanya jitohada kuamini kila kitu kimetokea kwa namna ya kichawi vile..
Davido tangu 2019 anamiliki private Jet ukiachana na magari mengine ya kifahari,bei ya private jet ni mara tano ya hiyo gari ya sasa,je na hapa alimtoa kafara nani?! Babu yako!?,shangazi yako!? Acheni kuwa na roho za kichawi mtafanikiwa sana maishani
Nitakupa matairi manne halafu utamalizia vifaa vilivyobaki kupata gari kamili
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Usijali mkuu kwanza ntakupa tairi used sio mpyaUnataka kigezo cha kuninanga kwa watu kwamba niache kuringia gari maana tairi ulinichangia [emoji1441]
Usijali mkuu kwanza ntakupa tairi used sio mpya
Zawadi haikataliwi mkuu[emoji23][emoji23]Mkuu used tena [emoji23] bora uache tu maana sijasema nimeshindwa kununu new model!