diamond ndio chanzo ajifunze kupga kmya kama ally kiba alivyo.
Chinga One dharau na majivuno anayo Sana (km wanigeria almost wote walivyo)...
Hatakama unachuki na DIAMOND ila tetea taifa lako kwanza alafu huyo Chibu atafuata, na kama hukuelewa fuatilia comment ambazo zilifuata hapa chini ndio utajua wanigeria walimaanisha nn !!!!!
we ndo umeandka utumbo hv lol! eti anaposema again anamaansha na chanel 0.yeye katalk about bba karbu miaka 4 naija haishnd bba hata ilyopta walkarbia kushnda.
Sio kweli.....davido naona ameifuta ile post yake instragram ambayo alikuwa anampongeza diamond baada ya kushinda tuzo3
Huyu Idrissa kwann asiteuliwe kuwa waziri wa nishati na madini jamaniii?
Mimi ni shabiki damu wa Diamond na hapa nimemtetea mara kibao tu lakini lazima ukweli usemwe kwa kuwa mimi sio shabiki maandazi nisiyetaka kuangalia ukweli hata kama unaonekana... Davido hakumaanisha tuzo za Channel O bali alimaanisha BBA... fuatlia hata zile tweet za wana-Naija mara baada ya Davido ku-tweet... wote walikuwa wanam-dis Biggie na BBA kwa ujumla! Na hata yule tajiri wao kutoa $ 350,000 kunathibitisha kwamba bifu lao wao ni BBA!!wewe sio mtanzania, pia wewe ni cuma. hivi unajua naija wamechukua mara ngapi BBA? unajua ni nch gani inaongoza kuchukua BBA?!! kwahyo kila mnaija akishiriki lazima ashnde?! hivi BBA ingekuwa inafanyika naija ingekuwa wasouth wapo kimyaa na inafanyika kwao kila mwaka!
Soma zaidi: allAfrica.com: Nigeria: Lessons From BBAIt was unusually sober on the BBATheChase hash tag after Melvin and Beverly were evicted. The usually loud Nigerians went quiet or took the cheap route: claiming the results had been rigged. It was the turn of the East Africans who had been bullied throughout the season to jubilate and taunt Nigerians.
Haya ni baadhi ya maoni ya wa-Naija kuhusu matokeo ya juzi:Angry Nigerian fans vented their anger on social media especially at Denrele Edun who was believed to have paved the way for the sexy lingerie model Beverly Osu to contest in the game. Regardless of the incessant haul of insults on him, the Channel O presenter seemed to have developed a thick skin.
Okonkwo Chiedu December 9, 2014 at 11:14 am
What is Africa without Nigeria? pull Nigeria out of the show and see if it will still have a name……Idris was fake but Tayo showed his real self but am sure you did not notice that
tish December 8, 2014 at 10:36 am
I just wish Nigerians will pull out of the show. It's no longer a level playing ground. Regionalism has killed the show. Tayo will be fine, winning is not everything, contrary to what people want you to believe.
Miss_Flygerian December 8, 2014 at 12:46 pm
The voting system needs to be changed. This country vote thingy has brought about regionalism. East Africans are voting for themselves, SADC are voting for themselves, West Africans are equally voting their neighbors. No one is voting for entertainment any longer.
Miss_Flygerian December 8, 2014 at 4:04 pm
@Nayo, Please shut up. This isn't even about Tayo or Nigerians winning this so many times, because last year I was strictly for Sulu, Elikem and Bassey. But the truth must be said, regionalism has destroyed the show. Instead of it uniting Africa, it has done otherwise. People now throw hateful comments at other countries and think it's cool. It is sad that no one is voting for entertainment, everyone is now voting for their neighbors. I could give less fucks who won, all I care about is a deserving winner, not one decided based on regional factors.
lizzy December 8, 2014 at 4:46 pm
So true no fair play at all, from last year Oneal started this talk of region, nothing has been the same and it hurts to watch housemates always talking about the votes and regions, hating and conspiring. No use for Naija to enter they will be outnumbered, and 3 months of emotional turmoil for what???
Zaidi: Big Brother Hotshots: Nigeria's Tayo Comes in 2nd as Tanzania's Idris Wins the BBA TitleDiesel December 8, 2014 at 12:49 pm
No additional representative from other west African countries No More BBA for Naija & Ghana.. Nigeria and Ghana use your brain and wise up. Pre planned rigging . Don't waist your time BBA is not wort it. WAISTED TIME IS WORST THAN WAISTED MONEY
Nigerian Twitter cried foul…The word Ojoro rang out loud! But this is Big Brother Africa, not INEC. They had a reputable auditing firm count the votes.
Mimi ni shabiki damu wa Diamond na hapa nimemtetea mara kibao tu lakini lazima ukweli usemwe kwa kuwa mimi sio shabiki maandazi nisiyetaka kuangalia ukweli hata kama unaonekana... Davido hakumaanisha tuzo za Channel O bali alimaanisha BBA... fuatlia hata zile tweet za wana-Naija mara baada ya Davido ku-tweet... wote walikuwa wanam-dis Biggie na BBA kwa ujumla! Na hata yule tajiri wao kutoa $ 350,000 kunathibitisha kwamba bifu lao wao ni BBA!!
Tatizo la wa-Naija ni ile kujiona wapo on top of everything na ndio maana hata matokeo ya mwaka jana ya BBA waliyalalamikia vile vile pamoja na kwamba wameshawahi kushinda mara kibao. Haya ni maoni ya wana-Naija mwaka jana:
Soma zaidi: allAfrica.com: Nigeria: Lessons From BBA
Nyingine hii hapa:
Haya ni baadhi ya maoni ya wa-Naija kuhusu matokeo ya juzi: Zaidi: Big Brother Hotshots: Nigeria's Tayo Comes in 2nd as Tanzania's Idris Wins the BBA Title
Maoni ya media nyingine, mchambuzi anaanza:
Kwahiyo maoni ya Davido hayakuwa na uhusiano wowote na tuzo za Channel O... sawa na wenzake, Davido nae anaona ni kama vile wa-Naija wanahujumiwa na wengine kusikilizia regionalism. Lakini the way Diamond alivyojibu, na Watanzania walio wengi, tukaamini Davido ana-dis hadi ChO Awards ingawaje maoni ya wa-Naija kwenye tweet ya Davido yalionesha wazi kwamba walikuwa wanazungumzia BBA!
So, hata kama wa-Tanzania ku-react, kwanza Diamond alitakiwa kujiridhisha kwamba Davido alimaanisha nini hasa na baada ya kufahamu, asingelichukulia hili suala too personal to the point anaonekana mashabiki wake ndio wanamtusi Davido!Lingebaki kuwa ni suala la Watanzania against Davido na wenzake wanaomaini Mtanzania hawezi kushinda na sio kulifanya ni suala la Diamond na mashabiki wake!!
diamond ndio chanzo ajifunze kupga kmya kama ally kiba alivyo.
Sa' nimekupa hapo mifano ya mwaka jana walivyokuwa wanasema kwamba BBA wame-cheat? Hii ni quote baada ya BBA 2013 kutangazwa mshindi:chige davido anasema...they cheated again.....Unaelewa maana ya again? Again kwa kiswahili ni Tena....kama ni tena kwa hio hio mara nyingine waliyocheat ni ipi?
Quote hii walikuwa wanaonesha kwamba wandaaji walikuwa wameshasafisha njia:It was unusually sober on the BBATheChase hash tag after Melvin and Beverly were evicted. The usually loud Nigerians went quiet or took the cheap route: claiming the results had been rigged. It was the turn of the East Africans who had been bullied throughout the season to jubilate and taunt Nigerians.
Hayo yote ni mwaka jana..... mwaka huu wakadhani mambo yatakuwa tofauti lakini matokeo yake, mtu wao akapigwa chini kwa mara nyingine! Sina haja ya ku-quote hayo maoni ya Wanaija hapo juu lakini wote wanalalamika kwamba kwa mara nyingine, BBA wame-cheat huku wengine wakilalamikia regionalism! Aidha, soma maoni ya hao wan-Naija waliochangia tweet ya Davido hapo juu... out of five, wawili wameitaja BBA/Biggie moja kwa moja na mmoja amesema "they don't want to give it to a Nigerian....!" Haya sasa, "it" nini? Kwanini tu-assume ni tuzo za Channel O wakati topic under discussion ipo open kwamba ni BBA na wengine wametaja moja kwa moja?Angry Nigerian fans vented their anger on social media especially at Denrele Edun who was believed to have paved the way for the sexy lingerie model Beverly Osu to contest in the game. Regardless of the incessant haul of insults on him, the Channel O presenter seemed to have developed a thick skin.
Ni kutokana na upoyoyo wako ndio maana umeshindwa kuelewa na hutakaa uelewe kwavile huonekani kama una uwezo wa kuelewa.Post ndefu ila umeandika upoyoyo mtupu.. They cheat again, ina maana tulicheat lini tena?? try to connect the dots
Ni kutokana na upoyoyo wako ndio maana umeshindwa kuelewa na hutakaa uelewe kwavile huonekani kama una uwezo wa kuelewa.
I doubt if you worth even a minute of my time, ready spent 50 seconds... 5 left for "Like" clicking so as you can't exceed you're real worthy of less than a minute!wewe poyoyo hakuna aliyekuelewa..