Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!


Jombaa acha uwongo bwashee wewe umefika Nigeria ipi?

Je unajuwa population ya Wanigeri?

Je unajuwa maana ya maendeleo?

Je unajuwa wakati nchi yenu mnaota kuhusu flyover Nigeria hasa Abuja na Lagos zipo za kumwaga tu?

Je unajuwa kwamba Uingereza kuna njaa sasa hivi na raia matutusa kama wewe wanapewa chakula cha msaada?

Bandiko lako unapaswa kushare na wanywa kahawa watakuona genious kweli.
 

hata ulaya wapo wanaolala nje,ombaomba wapo,nigeria pia ina vijiji lakini hata siku moja nigeria huwezi kufananisha na TZ,population tu zaidi 170 million,sehemu kama delta state mafuta yamejaa,matajiri wao huwezi kufananisha na kwetu
 
ENTERTAINMENT NEWS December 8, 2014 posted by Jordan Abiola
SHARE

Davido Learns To Accept Defeat; Buys Self New Automobile.


Sh
That saying goes, “Victory is sweet, but sometimes its hard to accept defeat”. This saying can be related to Davido’s loss during the recently held Channel O awards where he lost out in all five categories where he was nominated.


Okay, recently Tayo of the Big brother Africa lost in the grand finale and moments after that, Davido tweeted, “and they have cheated again”? He went on to say in the tweet that he was just observing. Was he implying that he got cheated at the Channel O awards?



Bro, we get it, but when you lose, learn to appreciate defeat, you don’t get to win all the time. After all, your ”frenemy” Wizkid was #1 before you came and stole his shine, of which we appreciated you. He posted a picture today, on his instagram page, of a Range Rover with caption EARLY CHRISTMAS PRESENT FOR MYSELF!! BEEN A GREAT YEAR THANKS FOR ALL THE SUPPORT WORLDWIDE! I WOULDNT HAVE GONE THIS FAR WITHOUT U GUYS!! 2015 GONNA BE MAD!! #OwoNiKoko .



Congrats man, but little advice? Learn to clap for winners. Good tidings!



Read more at Davido Learns To Accept Defeat; Buys Self New Automobile. | 360Nobs.com
 
Celebuzz AUTHOR: ANDREW SENO - DECEMBER 11, 2014Share Twitter Facebook


No comments

[h=1]Davido walked out of a club in Kampala after the DJ began playing NUMBER 1 rmx[/h]
Views: 24

Sources from Kampala reveal that Davido was having a good time eating duck meat at Laftaz lounge Kampala when the DJ started playing the song ‘Number one remix' . Sources say Uganda's Pallaso was heard saying that Davido left Laftaz lounge in a bad mood.
The song done by Tanzania's Diamond has a remix where he features Davido.
Apparently Diamond had to pay Davido for that remix which has catapulted him to the top. There is a beef building between the two former friends and most people think it began when Davido tweeted ‘And they cheat again'. after Tanzania's BBA bigshot rep Idris won piting Nigerian Tayo.


 
Mi nimefika Tanzania ina afadhali
 
Nigerians think kwamba matokeo yamechakachuliwa, wanahisi South Africans na nchi zote za SADC zimeungana kuwa toa kwenye entertainment Industry.

Tokea tuzo za Channel O last weekend na leo BBA



Diamond's response:




Asante jf....and we gonna cheat again MAMA2015.
 
mmmhh! hii movie inakoelekea sio kuzuri hata kidogo, ila wanaijeria wana dharau sana aisee, kisa nchi yao ina maendeleo basi kila mambo mazuri wapate wao na tuwachekee tu.

jf never lie....thank u jf kwa kumbukumbu.
 
Tatizo anajiona best sana Wanaijeria ndo wanajua kila kitu akishinda asiye Mnaijeria wana cheat Davido na Wanaija wana mambo ya kipuuzi sana

najaribu kupitia pitia comments za miezi saba iliyo pita,asante jf kwa kutunza kumbukumbu.
 

maandishi don' lie.....thank u jf.
 

aisee.....
 
daah kwa kweli hii ilikua balaa hata yeye leo akiona watz wanasema vote for davido atazidi kuwaona mapoyoyo.

halafu sio ajabu huyo alie toa matusi mazito ndio yko mstari wa mbele kusema vote for davido....ha ha ha this is insane.
 

Attachments

  • 1434430285678.jpg
    36.1 KB · Views: 133
Ndugu yangu ChingaOne watanzania wenye akili timamu wanahesabika wengi wao "Utapiamlo" ume_weaken kabisa thinking capacity hawana kumbukumbu kabisa.

Na ndio maana ccm wataendelea kushinda kila mwaka mitanzania mingi akili hakuna,kumbukumbu ni 0.
 
Last edited by a moderator:
kuna mtu kamtukania davido mama yake nimefurahi davido alivyomjibu kistaarabu sana yaani mi ningelia kwa haya
sijui watu tukoje kitu kidogo tusi la mama pole we uliyetukana na ukajibiwa kistaarabu

uko poa lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…