Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Nani alikuambia nchi yao imeendelea? Yani unavyoona video za kina p-square au davido unajua nigeria iko hivyo? Au unavyoangalia movie zao?

Nakuhakishia Tanzania mtu anakaa kwa amani kuliko Lagos. Waliowahi fika wanajua hilo.

Security is worst in nigeria, unatapeliwa au kuibiwa mchana kweupe kila mtu anaona. Uchafu ni zaidi ya manzese, corruption escrow ni cha mtoto.

Wewe hushangai wanigeria wako mataifa mengine wanahangaika hawataki kurudi kwao ata kusalimia??

Jombaa acha uwongo bwashee wewe umefika Nigeria ipi?

Je unajuwa population ya Wanigeri?

Je unajuwa maana ya maendeleo?

Je unajuwa wakati nchi yenu mnaota kuhusu flyover Nigeria hasa Abuja na Lagos zipo za kumwaga tu?

Je unajuwa kwamba Uingereza kuna njaa sasa hivi na raia matutusa kama wewe wanapewa chakula cha msaada?

Bandiko lako unapaswa kushare na wanywa kahawa watakuona genious kweli.
 
Jombaa acha uwongo bwashee wewe umefika Nigeria ipi?

Je unajuwa population ya Wanigeri?

Je unajuwa maana ya maendeleo?

Je unajuwa wakati nchi yenu mnaota kuhusu flyover Nigeria hasa Abuja na Lagos zipo za kumwaga tu?

Je unajuwa kwamba Uingereza kuna njaa sasa hivi na raia matutusa kama wewe wanapewa chakula cha msaada?

Bandiko lako unapaswa kushare na wanywa kahawa watakuona genious kweli.

hata ulaya wapo wanaolala nje,ombaomba wapo,nigeria pia ina vijiji lakini hata siku moja nigeria huwezi kufananisha na TZ,population tu zaidi 170 million,sehemu kama delta state mafuta yamejaa,matajiri wao huwezi kufananisha na kwetu
 
ENTERTAINMENT NEWS December 8, 2014 posted by Jordan Abiola
SHARE

Davido Learns To Accept Defeat; Buys Self New Automobile.


Sh
That saying goes, “Victory is sweet, but sometimes its hard to accept defeat”. This saying can be related to Davido’s loss during the recently held Channel O awards where he lost out in all five categories where he was nominated.


Okay, recently Tayo of the Big brother Africa lost in the grand finale and moments after that, Davido tweeted, “and they have cheated again”? He went on to say in the tweet that he was just observing. Was he implying that he got cheated at the Channel O awards?



Bro, we get it, but when you lose, learn to appreciate defeat, you don’t get to win all the time. After all, your ”frenemy” Wizkid was #1 before you came and stole his shine, of which we appreciated you. He posted a picture today, on his instagram page, of a Range Rover with caption EARLY CHRISTMAS PRESENT FOR MYSELF!! BEEN A GREAT YEAR THANKS FOR ALL THE SUPPORT WORLDWIDE! I WOULDNT HAVE GONE THIS FAR WITHOUT U GUYS!! 2015 GONNA BE MAD!! #OwoNiKoko .



Congrats man, but little advice? Learn to clap for winners. Good tidings!



Read more at Davido Learns To Accept Defeat; Buys Self New Automobile. | 360Nobs.com
 
Celebuzz AUTHOR: ANDREW SENO - DECEMBER 11, 2014Share Twitter Facebook

Davido-Pallaso.png

No comments

[h=1]Davido walked out of a club in Kampala after the DJ began playing NUMBER 1 rmx[/h]
Views: 24

Sources from Kampala reveal that Davido was having a good time eating duck meat at Laftaz lounge Kampala when the DJ started playing the song ‘Number one remix' . Sources say Uganda's Pallaso was heard saying that Davido left Laftaz lounge in a bad mood.
The song done by Tanzania's Diamond has a remix where he features Davido.
Apparently Diamond had to pay Davido for that remix which has catapulted him to the top. There is a beef building between the two former friends and most people think it began when Davido tweeted ‘And they cheat again'. after Tanzania's BBA bigshot rep Idris won piting Nigerian Tayo.


 
Jombaa acha uwongo bwashee wewe umefika Nigeria ipi?

Je unajuwa population ya Wanigeri?

Je unajuwa maana ya maendeleo?

Je unajuwa wakati nchi yenu mnaota kuhusu flyover Nigeria hasa Abuja na Lagos zipo za kumwaga tu?

Je unajuwa kwamba Uingereza kuna njaa sasa hivi na raia matutusa kama wewe wanapewa chakula cha msaada?

Bandiko lako unapaswa kushare na wanywa kahawa watakuona genious kweli.
Mi nimefika Tanzania ina afadhali
 
Nigerians think kwamba matokeo yamechakachuliwa, wanahisi South Africans na nchi zote za SADC zimeungana kuwa toa kwenye entertainment Industry.

Tokea tuzo za Channel O last weekend na leo BBA

attachment.php


Diamond's response:

attachment.php


B4R4skICUAI13iG.jpg:medium

Asante jf....and we gonna cheat again MAMA2015.
 
mmmhh! hii movie inakoelekea sio kuzuri hata kidogo, ila wanaijeria wana dharau sana aisee, kisa nchi yao ina maendeleo basi kila mambo mazuri wapate wao na tuwachekee tu.

jf never lie....thank u jf kwa kumbukumbu.
 
Tatizo anajiona best sana Wanaijeria ndo wanajua kila kitu akishinda asiye Mnaijeria wana cheat Davido na Wanaija wana mambo ya kipuuzi sana

najaribu kupitia pitia comments za miezi saba iliyo pita,asante jf kwa kutunza kumbukumbu.
 
All in all,mie siungi mkono matusi lakini nawashangaa watanzania kwa unafiki wenu!Wageni na watu wa mataifa wengine mnawaona bora kuliko nyie!!Davido hakufanya poa,mi sio shabiki wa dai ila dai ni mtz mwenzangu!Hell no we didn't cheat!so to speak alivo retweet dai ni sawa tu!!Matusi ya wanaija mmeyaona!wanavoponda mmeona?tukemee matusi sio kupindisha tweet ya davido!!Ha we can do better pia!!Go! Go! Tz...hata bila Davido Nassib angefanya poa!!Sipendi urafiki wao uishe ila rafiki yako akikuzingua kisa ni rafiki utakaa kimya kama kondoo?no unampa makavu na urafiki unasonga na adabu ndo inakuwepo sasa!

maandishi don' lie.....thank u jf.
 
Watu watamtetea sana Davido lakini ukweli unabaki kua tweet yake ya mwanzo kabisa ilikua na negativity na alikusudia kutunanga wa-TZ alichofanya ni kucheza na akili zetu.
Binafsi nawaunga mkono wa-TZ wenzangu wanaojitoa kwenye utumwa wa kiakili wa kutotaka kuburuzwa na hawa wa-Nigeria,kama mtu anafuatilia vizuri trend ya hii saga atagundua uyu Davido ana chuki za waziwazi mfano recently post ya IG
View attachment 209375
Kama uta-read btn the line utagundua kua toka mwanzo alikusudia nini hata comments za Nigeria ziko na mtazamo hasi waziwazi.
Naona wengi wanalalama kuhusu matusi,siungi mkono matusi ila nashangaa wa-Tz wanavyolaumu upande mmoja kua Davido katukaniwa mama ake mnasahau kuna wa-Nigeria wanatutukania mama zetu bila uwoga utadhani mama zetu wote wapo hai na wengine hata uko IG hatujawahi ku-comment,tumeitwa baboons,gays,maskini,hatujasoma,we from the jungle alafu unataka watu wakae kimya kuna ambao hawawezi kuvumilia dharau acha watusaidie kutujibia katika lugha ambayo wao wanaitumia(matusi).

aisee.....
 
daah kwa kweli hii ilikua balaa hata yeye leo akiona watz wanasema vote for davido atazidi kuwaona mapoyoyo.

halafu sio ajabu huyo alie toa matusi mazito ndio yko mstari wa mbele kusema vote for davido....ha ha ha this is insane.
 

Attachments

  • 1434430285678.jpg
    1434430285678.jpg
    36.1 KB · Views: 133
Ndugu yangu ChingaOne watanzania wenye akili timamu wanahesabika wengi wao "Utapiamlo" ume_weaken kabisa thinking capacity hawana kumbukumbu kabisa.

Na ndio maana ccm wataendelea kushinda kila mwaka mitanzania mingi akili hakuna,kumbukumbu ni 0.
 
Last edited by a moderator:
kuna mtu kamtukania davido mama yake nimefurahi davido alivyomjibu kistaarabu sana yaani mi ningelia kwa haya
sijui watu tukoje kitu kidogo tusi la mama pole we uliyetukana na ukajibiwa kistaarabu

uko poa lakini?
 
Back
Top Bottom