Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa duing gre8 babuuu
poleni sana wamondi
jf never lie....thank u jf kwa kumbukumbu.
hongereni kwa tuzo aisee!
jf never lie....thank u jf kwa kumbukumbu.
maandishi don' lie.....thank u jf.
And what do you think yo trying to insinuate???? Yo under estimating me joh!!
Dah kwel Jf never lie nimeamka na hii nimecheka sana. Nimekuja kuona how ppl forget easily dah. Ndo hawa hawa wanakesha kumpigia kura Davido na kumsahau Diamond aliyemchana rafki yke wakaribu Davido kwa ajili ya heshima ya Watanzani duh" hii ndo Tz
Fyokooo hata katiba inabadilishwaaa!
Mmemtukana sana Kiba mmeniudhi....eti hastahili ni sawa na davido alivosema hatustahili nlikasirika
Sasa hapa mmenivurugaaaa nlivote for wizkid kura 160 jana leo navote for davido 240
Uzalendo my foot!
Namshangaa!
Mie mwenyewe kaniquote kisa nililaani matusi alomwagiwa Davido na nilipinga Davido alivosema tumecheat, nilijaribunkuwa mzalendo once. Chinga One, unajua michango yangu ilivokua, sikuwahi kumkashifu diamond katika hilo swala.Nilimuunga mkono.
Ila ninyi mashabiki viboga mmenibadili mtazamo wangu kabisaaa,
Mmejaa inda na shari, mna maneno machafu na mnapenda kujisifi sifu.Nmeitwa mchawi kisa namshabikia Kiba.
Leo hii mnasema Kiba hakuatahili, mbona Tuzo za Diamond sisi mashabiki wa kiba tuliunga mkono! Au kwa kuwa safari hii it involved diamond?
Hell nooo!
Mmeshatutukana sana na sasa tumebadili mtazamo...vote vote! Vote for Davidooo
Namshangaa!
Mie mwenyewe kaniquote kisa nililaani matusi alomwagiwa Davido na nilipinga Davido alivosema tumecheat, nilijaribunkuwa mzalendo once. Chinga One, unajua michango yangu ilivokua, sikuwahi kumkashifu diamond katika hilo swala.Nilimuunga mkono.
Ila ninyi mashabiki viboga mmenibadili mtazamo wangu kabisaaa,
Mmejaa inda na shari, mna maneno machafu na mnapenda kujisifi sifu.Nmeitwa mchawi kisa namshabikia Kiba.
Leo hii mnasema Kiba hakuatahili, mbona Tuzo za Diamond sisi mashabiki wa kiba tuliunga mkono! Au kwa kuwa safari hii it involved diamond?
Hell nooo!
Mmeshatutukana sana na sasa tumebadili mtazamo...vote vote! Vote for Davidooo
Namshangaa!
Mie mwenyewe kaniquote kisa nililaani matusi alomwagiwa Davido na nilipinga Davido alivosema tumecheat, nilijaribunkuwa mzalendo once. Chinga One, unajua michango yangu ilivokua, sikuwahi kumkashifu diamond katika hilo swala.Nilimuunga mkono.
Ila ninyi mashabiki viboga mmenibadili mtazamo wangu kabisaaa,
Mmejaa inda na shari, mna maneno machafu na mnapenda kujisifi sifu.Nmeitwa mchawi kisa namshabikia Kiba.
Leo hii mnasema Kiba hakuatahili, mbona Tuzo za Diamond sisi mashabiki wa kiba tuliunga mkono! Au kwa kuwa safari hii it involved diamond?
Hell nooo!
Mmeshatutukana sana na sasa tumebadili mtazamo...vote vote! Vote for Davidooo
najaribu kupitia pitia comments za miezi saba iliyo pita,asante jf kwa kutunza kumbukumbu.
Sasa ukipitia ndo unafikiri haitabadilishi uhalisia. Miandiko ya wengi sio sheria na ndo mana peopleeeee do change wako dynamic na mabadiliko kutokana na certain context.
Nao kila siku humu wanaimba kuwa wasanii wabadilike!! Eboo kumbe mabadiliko ni given!! Sasa mbona sisi tumefanya mabadiliko wanashangaa!!! Au mabadiliko yapi walikuwa wanayaongelea!