Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

- Ayo na Majizo ni media people Mosha ni mtu wa mafuta, vitu viwili tofauti unawezaje kuwalinganisha ni hadithi za abunuwas hahahahahaha!

le Mutuz Superbrand
Wewe ukijua mosha ni mtu wa mafuta iweje umshauri kufungua Radio na Tv? Huoni kuwa wewe ndiyo chanzo cha matatizo? Rushwa ya ngono ilikusukuma kuajiri michepuko? au kwenye posho ndipo ulipiga vicent?
 
Kumbe le kukubangaz .le mutuz mobimba ni mjanja hivi .

Anaingiza kingi ma super billionaire
Kunasiku watu walikuwa wanamsifia sana David Mosha hapa.

Mimi nikaja kum criticize, kuna maneno fulani alikosea.

Nikashambuliwa sana.

Lakini nikasimamia pangu.

Sasanaweza kuona. Mtu anayetapeliwa na Le Mutuz hawezi kuwa smart hivyo, na hili nilishaliona tangu mwanzo.
 
Hahahaaa..Mkuu,you cant believe,sina connection na hawa watu by any means whatsoever!

Mosha,natoka nae Tarafa jirani,na bakora zake Moshi enzi yupo juu nazifahamu,ndio maana nimekua interested kumfatilia...Sina any connection nae.

Mashauzi yake yalizidi,alitukana wapiga kura Moshi pale uwanja wa Mashujaa,everybody knows...Kuna resentment tunayo na huyu mtu....

- Angalau umeweka ukweli kwamba una chuki naye ila chuki na ukweli ni vitu tofauti, Mosha yupo mbali sana kimaisha ndugu yangu alipofikia anaweza hata kuacha kazi na kupumzika tu, maana kumiliki Roys Rolls Phantom 750s sio mchezo, pamoja na Lamboghin cause hesabu ya haraka haraka hapo ni USD $ 1M

le Mutuz Superbrand
 
- Kama ninavyosema siku zote uongo usipojibiwa na ukweli na mapema sana hugeuka kuwa ukweli, ukweli ni kwamba:-

1. Mimi na Davis Mosha bado ni wamiliki wa AST, tulifika mahali tukakubaliana kwamba ili kupata faida KUBWA kuliko tuliyokuwa tunapata ni bora kukodisha TV na Radio zetu kwa yoyote anayeweza kuiendesha na kutulipa kila mwisho wa mwezi.

2. Walitokea watu wengi waliotaka kukodisha, lakini kwa pamoja tukaamua kuwakodisha tunaowafahamua zaidi yaani DIZZM.

3. Mimi na my patner Mosha hatujawahi kugombana wala haitakuja kutokea kwa sababu tunazo biashara nyingi zaidi ya TV na Radio, infact kila jioni ya mwezi huu wa Ramadan Mosha ana tabia ya kuwaomba marafiki zake wote kufika nyumbani kwake kufuturu na huwa ninahudhuria sana.

- Hii chuki na wivu wa my lifstyle haikuanza leo najua kwamba haitaisha leo, kwa taarifa yako ni kwamba hata kwenye my Online TV & Radio Mosha yupo very much involved, poleni sana ndio mawazo ninayoyaita ya masikini ukiwazidi huwa kazi yao ni kuombea uanguke uwe kama wao....hahahahahahaha.....tafuteni lingine kwenye hili mmekosea sio ukweli kama mengine yote ambayo huwa mnahangaika nayo!

- Otheriwse, ninawashukuru sana kwa free media coverage maana siamini mpaka leo 2018 bado Brand yangu "Le Mutuz Superbrand" ina nguvu ya kupata page 11 hata bila mimi mwenyewe kuwepo, nilikua busy sana ndio maana sikuwepo.

- Nilisafiri Cape Town/SA nilialikwa na Cape Town International Jazz Festival kwenye maonyesho yao ya Dunia ya kila mwaka, niliporudi nilisaifiri kikazi Mbeya, Mwanza, Mbeya nikarudi Mwanza tena na majuzi nilikua Dodoma, ndio maana sikuwepo hapa muda mrefu sana ila sasa nipo Dar.

le Mutuz Superbrand

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe ukijua mosha ni mtu wa mafuta iweje umshauri kufungua Radio na Tv? Huoni kuwa wewe ndiyo chanzo cha matatizo? Rushwa ya ngono ilikusukuma kuajiri michepuko? au kwenye posho ndipo ulipiga vicent?

- Alikua kwenye mchakato wa media hata kabla sijarudi bongo, so take that back!

le Mutuz Superbrand
 
Mkuu,tuna-improve step by step..wazawa wanapanda..please angalia takwimu za CRB kwa 30 years period utanielewa vizuri tu!



Mkuu,hizo sectors zote tulikua chini na kila mwaka tunapanda tunapoendelea kufanya curation of the local talent na sera...technology sio lazima uvumbue kitu au uwe na patent,vitu kama maxmalipo,m-pawa ambayo ilianza mpesa wakaiba,apps mbalimbali,majiko sanifu,zana za kilimo ndogo ndogo,etc..ni hatua.

Hatuwezi shindana na EU,ila hatua zipo mkuu mwaka kwa mwaka!Na bank zinazomilikiwa na weusi ndio zinazofanya vizuri TZ,please kaangalie!



Mkuu,Mosha anaweza magari na malori,nothing wrong with that,IQ yake ndio inaweza vitu hivyo vya low mental work!Nothing to be ashamed of mzee.

Huwezi kumpa Mosha u-genius kwa kuajiri watu wengi,u-genius haupimwi kwa ajira.Ni wrong way ya kupima IQ ya mtu.Na pia mtu kuajiri watu haitoi sifa ya yeye kua mpumbavu kama wengine.

Makampuni ni ya aina tofauti,kuna ya low employment volume na high employment volume,waendesha makampuni hawa wawili hawapimwi IQ kwa idadi ya employees,labda complexities ya majukumu ya hao employees.

Mimi naona tusigombane sana,Mosha ka-prove failure,ni ukweli,na biashara anazozipenda ni za low-mental-work types,kauza Media house kaenda kufungua hoteli,you see the trend here?
Mkuu biashara ya hotel kumbe ni ya wenye low IQ? Are u serious? 50 yrs tangia uhuru bado wasomi wetu hamuwezi kujenga 50 km za rami na bado mnajiita wasomi? Wasomi ambao hamna succession plan hata aibu hamuoni?

Kuna Mzee mmoja (RIP) alikuwa ni rafiki yangu sana, miaka ya 50 alikuwa na plumber company akawa anapata mpaka tender za East Africa kipindi hicho muingereza ameikalia East Africa by 60's tayari kampuni yake ilikuwa kubwa kiasi kwamba miradi ya maji nchini pamoja na Kenya aliifanya yeye. Leo hii ile kampuni haipo na watoto wake wapo wapo tu hawana hata cha maana. Mara ya mwisho nilikutana nae Moshi 2009 akiwa anatoka zilikokuwa ofisi zake Majengo Moshi amechoka balaa. Sasa najiuliza pamoja na usomi wake alishindwaje kuweka succession plan, na hili si tatizo lake pekee, almost wasomi wetu wengi wanaomiliki vitu hapa kwetu wanachemka.. Leo hii nikikwambia unitajie kampuni yeyote ya msomi wa Tanzania iliyoexist zaidi ya miaka 20 itakuwa ngumu kwako kuitaja. Lakini Mzee Lema wa Elerai pamoja na darasa la 7 lake ambalo wewe unadharau ameweza kuiendesha Elerai Constructions kwa zaidi ya miaka 20 sasa na ni moja kati ya Kampuni kubwa za kandarasi hapa nchini..

Umeidharau Hotel business, lakini Donald Trump ndio kitu amekuwa akikifanya kwa zaidi ya miaka 50, hotels, real estates ndio zimempa mpaka jeuri ya kuwa Rais wa Marekani.. Umesema darasa la 7 ni mediocre kwenye biashara za kitaaluma lakini nimekupa mfano wa Mzee Lema ambaye ameweza run Elerai Construction kwa zaidi ya miaka 20 sasa wakati wasomi wetu biashara zinawapiga chini kila uchao
 
- Ayo na Majizo ni media people Mosha ni mtu wa mafuta, vitu viwili tofauti unawezaje kuwalinganisha ni hadithi za abunuwas hahahahahaha!

le Mutuz Superbrand

Sio mtu wa "mafuta",sema ni mbeba mafuta ya watu mkuu!

Tusipotoshe hapa!

Na visheli vyake viwili sijui,yeye ni mchuuzi,lowest tier kabisa!

Yeye ni bwana malori..msimfiche bana!Kueni wakweli tu!
 
- Angalau umeweka ukweli kwamba una chuki naye ila chuki na ukweli ni vitu tofauti, Mosha yupo mbali sana kimaisha ndugu yangu alipofikia anaweza hata kuacha kazi na kupumzika tu, maana kumiliki Roys Rolls Phantom 750s sio mchezo, pamoja na Lamboghin cause hesabu ya haraka haraka hapo ni USD $ 1M

le Mutuz Superbrand
***** bilgate na utajiri wake wote hajafikiria kuacha kazi, watu wenye jeuri ya kuacha kazi ni sisi wakulima wa mpunga ileje tu.



Le Tumbozi
 
Sio mtu wa "mafuta",sema ni mbeba mafuta ya watu mkuu!

Tusipotoshe hapa!

Na visheli vyake viwili sijui,yeye ni mchuuzi,lowest tier kabisa!

Yeye ni bwana malori..msimfiche bana!Kueni wakweli tu!

- hahahaha Kobil kenya, Tanzania, Uganda, RWanda na Congo pamoja na Zambia, labda anakubebea mafuta yako wewe hahahahaha!

le Mutuz Superbrand
 
- Sijawahi hata siku moja kuwa something I am not, ila nipo proud na mafanikio yangu ya miaka 7 tu toka nirudi Tanzania.

le Mutuz Superbrand
Mafanikio yapi? Biashara zako za kuzugia? Maana biashara yako kubwa kwa sasa ni kuwanunua wabunge, madiwani, uchakachuaji kurudia chaguzi, kuvuruga upinzani, kudhoofisha upinzani kuua CUF, chadema, kwa miaka 7 hiyo miaka 5 ya nyuma hukupata pesa lakini kupitia utawala huu wa Wasukuma wawili Naibu Rais Maliyamungu Bashite na Mtukufu malaika toka chato umepiga pesa nyingi na pengine ndiyo mafanikio yenyewe.
 
Mkuu hili ni swali tulilifanya chuo kikuu udsm kwenye somo la Entrepreneur 101,yule mwalimu nilimsahau jina...Nimemaliza miaka 10 iliyopia.

Another thing,kuna Google,plz google na utaona tofauti zilizoko...Hii ni Chapter kabisa mkuu...sio tunaongea tu hapa unadhani ni vi-common sense tu ndio tunatumia...plz kapitie utapata full definition...

Thanks man!
Initially Entrepreneur anaanza na biashara ndogo, from the roots na anakuwa nayo mpaka inakuwa kubwa. Davis ni Mjasiriamali mzuri sababu pamoja na darasa la 7 lake na background yake (hakutokea familia yenye uwezo na hajarithi chochote) sasahivi ni mtu aliyeajiri na anachangia kiasi kikubwa tu kwenye pato la taifa kuliko Prof wa Uchumi Lipumba.. Huwezi kuilinganisha Tija ya Mosha na Prof Lipumba pamoja na usomi wake..
 
- hahahaha Kobil kenya, Tanzania, Uganda, RWanda na Congo pamoja na Zambia, labda anakubebea mafuta yako wewe hahahahaha!

le Mutuz Superbrand
Umejitahidi kumtetea Devis mosha kuliko kujitetea mwenyewe lakini 9 na 10 ile Nissan nyeupe mliyokwenda nayo Dodoma na akina Cyprian msiba, Jerry muro na Heri Kisanduku kumtandika Tundu Lisu Risasi nasikia uliichoma moto? au umeirejesha kwa Waarabu wa GSM?
 
Mkuu biashara ya hotel kumbe ni ya wenye low IQ? Are u serious? 50 yrs tangia uhuru bado wasomi wetu hamuwezi kujenga 50 km za rami na bado mnajiita wasomi? Wasomi ambao hamna succession plan hata aibu hamuoni?

Kuna Mzee mmoja (RIP) alikuwa ni rafiki yangu sana, miaka ya 50 alikuwa na plumber company akawa anapata mpaka tender za East Africa kipindi hicho muingereza ameikalia East Africa by 60's tayari kampuni yake ilikuwa kubwa kiasi kwamba miradi ya maji nchini pamoja na Kenya aliifanya yeye. Leo hii ile kampuni haipo na watoto wake wapo wapo tu hawana hata cha maana. Mara ya mwisho nilikutana nae Moshi 2009 akiwa anatoka zilikokuwa ofisi zake Majengo Moshi amechoka balaa. Sasa najiuliza pamoja na usomi wake alishindwaje kuweka succession plan, na hili si tatizo lake pekee, almost wasomi wetu wengi wanaomiliki vitu hapa kwetu wanachemka.. Leo hii nikikwambia unitajie kampuni yeyote ya msomi wa Tanzania iliyoexist zaidi ya miaka 20 itakuwa ngumu kwako kuitaja. Lakini Mzee Lema wa Elerai pamoja na darasa la 7 lake ambalo wewe unadharau ameweza kuiendesha Elerai Constructions kwa zaidi ya miaka 20 sasa na ni moja kati ya Kampuni kubwa za kandarasi hapa nchini..

Umeidharau Hotel business, lakini Donald Trump ndio kitu amekuwa akikifanya kwa zaidi ya miaka 50, hotels, real estates ndio zimempa mpaka jeuri ya kuwa Rais wa Marekani.. Umesema darasa la 7 ni mediocre kwenye biashara za kitaaluma lakini nimekupa mfano wa Mzee Lema ambaye ameweza run Elerai Construction kwa zaidi ya miaka 20 sasa wakati wasomi wetu biashara zinawapiga chini kila uchao

Mkuu

Unajua kuna Hoteli na "Hotel"...

Nadhani ili unielewe kwa perspective ya hapa kwetu TZ nadhani hoteli zote unazoziona ni migahawa..hoteli serious sidhani kama zinazidi 20!

Mosha kafungua mgahawa mkuu..Hahahaaaa.....

Halafu usimuweke Trump na biashara za hoteli zake na huu ujinga hapa TZ!Please ona the difference!

Mkuu,Elerai ina miaka 20,na bado ipo vilevile,what a shame!

Elerai ni kakampuni kadogo sana,na kwa 20 years bado kapo vilevile!

Biashara za watu ambao hawajaenda shule utazijua tu!No growth beyond certain line,kuna limit ya growth zao,yaani ni controlled expansion,hawana uwezo wa ku-manage expansion,ndio mwisho wa akili zao!Kwenda mutli-national hawawezi,akili ni ndogo!Elerai ataishia Dar tu,TZ yote haiwezi sembuse international?Ubongo mdogo!

Haya mambo ni taaluma na talent mkuu!

Wasomi ndio wanamuweka Elerai walao hapo alipo,bila hao angekua even worse!
 
Initially Entrepreneur anaanza na biashara ndogo, from the roots na anakuwa nayo mpaka inakuwa kubwa. Davis ni Mjasiriamali mzuri sababu pamoja na darasa la 7 lake na background yake (hakutokea familia yenye uwezo na hajarithi chochote) sasahivi ni mtu aliyeajiri na anachangia kiasi kikubwa tu kwenye pato la taifa kuliko Prof wa Uchumi Lipumba.. Huwezi kuilinganisha Tija ya Mosha na Prof Lipumba pamoja na usomi wake..

Mkuu Steph!

Mosha ni mzuri,kaonesha anaweza biashara ya malori ya mafuta,thats it,nothing else!

Kajaribu media mkuu kachemsha vibaya sana,sababu ni nini?Low IQ alionayo imejidhihirisha!Aliingia maji marefu na yeye akili yake maji mafupi!

Tukubaliane kwanza hili moja,Mosha kafeli media company?Yes or No?
 
Initially Entrepreneur anaanza na biashara ndogo, from the roots na anakuwa nayo mpaka inakuwa kubwa. Davis ni Mjasiriamali mzuri sababu pamoja na darasa la 7 lake na background yake (hakutokea familia yenye uwezo na hajarithi chochote) sasahivi ni mtu aliyeajiri na anachangia kiasi kikubwa tu kwenye pato la taifa kuliko Prof wa Uchumi Lipumba.. Huwezi kuilinganisha Tija ya Mosha na Prof Lipumba pamoja na usomi wake..
Lipumba ni Profeselii kwa sasa Lipumba kichwani kasalia na Elimu ya darasa la 3 pekee keshasahau vyote alivyosomea, wapo wasomi feki wengi nchini wenye vioja kama akina Kapuya na wenzao ni vyema Le mutuz ajifunze kupitia uzi huu maana siri zake zote zimeanikwa live.
 
Anazalilisha wanaume wote dunian huyu lemutuz



Nothing new under the sun, le mutuz ni mwanamme wa Dar, hana tofauti yeyote na nduguze wanaume wa huo mkoa. Mwanamme wa Dar will never change, it's their DNA kuwa watata hata waishi nje miaka 100 tabia yao ya asili hawataacha kamwe.
 
Umejitahidi kumtetea Devis mosha kuliko kujitetea mwenyewe lakini 9 na 10 ile Nissan nyeupe mliyokwenda nayo Dodoma na akina Cyprian msiba, Jerry muro na Heri Kisanduku kumtandika Tundu Lisu Risasi nasikia uliichoma moto? au umeirejesha kwa Waarabu wa GSM?

Hahahaaaa

Hii nayo ina prove my theory about Mosha's capabilities,yeye badala ya kufanya biashara anageuka muscle guy wa CCM?

Such a waste!

He will always loose!

He is not focused!

Anategemea government iliyoko madarakani imsaidie kuendesha biashara zake..Hii ni mojawapo ya wafanyabiashara wenye akili ndogo!

The fun thing is,serikali haiwezi kukusaidia akili ya kuendesha biashara,ni ubongo wako na ubunifu,ndio maana akafeli..

Na kwa hulka kama hizi,atazidi kufeli tena na tena!
 
Back
Top Bottom