Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake




- Sio kwamba kelele zao za mlango zinazuia mtu kulala hapana, jana hapo Serena kama kawaida yaani wanapiga kelele maisha yanaendelea so worry not!

le Mutuz Superbrand
Hivi miwani ya jua unavaa usiku si ushamba huo
 
Kwani mkuu Le mutuz huko ulipokuwa unasafiri hakuna mtandao?Au ulisahau gadget nyumbani?
 
Ha haha haha
 
Le mutuz ni kubwa jinga jinga hata akipewa 0.00% hisa angetamba kutokana na kumiliki Ubongo wenye IQ ndogo Tanzania nzima.
Aiseee hahahaa ....mamaee huu Uzi hivi kauona ""?
 
Ha hahaha
 
- hahahahahahaha mkibanwa na ukweli huwa mnageuza gia angani na maneno ya kitoto kama haya, unasema kuna umri wa kutafuta pesa? hahahahahahahhaa poleni sana mnatia huruma sana hahahahahhaa

le Mutuz Superbrand
Hahaaa hivi ulikuja kweli ..duuuuhh nili miss hii show aiseee
 
- hahahahaha umesahau Le KAzi Kazi BAmpa to BAmpa, ila kwa mamen kama wewe kulilia vibamia ina maana unapenda mizinga sana hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
hahahaa wewe mzee unashida sana "" Aiseee
 
- Hujaona zile picha za Zitto anaongelea Bajeti na mike 2 tu, kule Diamond anaongelea wanawake wake ana mike 50, hahahaha Wabongo tunapenda Udaku na Utoto kama huu hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
Ha hahaha jinga kabisa
 
sometimes unaongeaga fact sana wewe ..MZee""
 
Huu Uandishi ni wa Le mutuz mwenyewe ina maana kaamua kumkandia Devis mosha kiaina nina imani Devis mosha akisoma huu mtiririko atajua jinsi Le mutuz anavyomsengenya sasa na kumkandia kila kona , Uandishi wa Le mutuz unajulikana hata akija kivingine.
Haha hahaha
 
exactly indeed ""...
 
Ha hahhaaa
 
Hahahaha hiii ndio inaitwaje vileeeeee"" Fact ...umetisha jamaaa"" umeongea kwa reference kabisaaa
 
Hahaha
 
Hahhaaha nawafuatilia vizuri sana ...kupitia mabandiko yenu " napata kumjua anaye jitambua na asiye jitambua....mwaga nondo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…