Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Aiseeee "" Jamaa una AKILI
 
Hahaha chuki tu imemkaba....hakuna jengine
 
Kam humjui vizuri le mutuz utasema ni genious hata kina albert einsten wanasingiziwa u genious

Mara ya kwanza kumuona le mutuz nilimuona kwenye mboni show alitapiga ma fact tupu huku anasugua pua
Hahaha "" kwani Jamaa hana akili kihivyo basiii Jamaa anazo bwana kichwani ..."" ila kinacho wakera watu ni jinsi anavyoish
 
Huyu Mosha naye yukoje , Unamuaminije mtu kama Le Mutuz ?
 
Noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…