Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Na
Re
Mu
Tu
Z

Na
Ye
U
Na
Mu
We
Ka
Ku
Ndi
Hi
Lo
 
kumbe swahili africa tv ndio dizzim tv! ndo maana naona hata yule ceo wa swahili radio Emmanuel Likuda yupo radio nyingine ya Dodoma.
Hahaha huyu CEO alikua anajifanya shemeji wa Mosha,halafu yy na le mutuz wameua hy TV na Radio
 
Huyu Lemutuz kutokana alikuwa Baharia na kukaa nje kiani pia kuwa mtoto wa mzee wetu Malecela , pia ni mjuaji mjuaji sana kwahiyo watu wengi wanaingia KINGI , Pia ni Personal secretary wa Naibu RAIS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…