witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Haaahaaa....eti IG anadanga 😀 😀 😀 😀Le Mutuz hana akili.
Ndio maana humu hasogei..ni kulekule IG ndio anadanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaaa....eti IG anadanga 😀 😀 😀 😀Le Mutuz hana akili.
Ndio maana humu hasogei..ni kulekule IG ndio anadanga.
Le tamko kuhusu le super ulegizSijaiona mkuu amenipga block miezi 2 sasa,aaah Le fitoz anasema wamedit?
Ahhha hhaaa aiseee ,Hizo fito ni noma sanaa ahhha haaa,halafu lembebazz anapenda ligi sana naona kaamua kuingia maktaba kutafuta picha yenye nafuuLe tamko kuhusu le super ulegizView attachment 786860View attachment 786861
Sky hata Mimi hizi habari zimenishtua,lkn Mosha angekuwa mjanja kidogo maana hamna kitu Lemutuz amewahi kufanikiwa hata kipindi fulani aliwahi kujaribu kufunga ndoa nako akafeliWewe ulitueleza mada ya vifaa vya TV station na machine za kupumzikia kwa jina la kitaam vitu.
Mkuu nimecheka sanaSky hata Mimi hizi habari zimenishtua,lkn Mosha angekuwa mjanja kidogo maana hamna kitu Lemutuz amewahi kufanikiwa hata kipindi fulani aliwahi kujaribu kufunga ndoa nako akafeli
jina halija kaa kibiashara""ASTV ( Africa Swahili Television )
ha hahaa yaani"" watu wengine sijui wamerogwaNi mpumbavu pekee ndo anatapeliwa na le Mutuzi
Sasa huwezi kuona hata mambo yake tu mtandaoni ukaona hapa hamnazo?
Ha hahaa haha haha haha hahaSky hata Mimi hizi habari zimenishtua,lkn Mosha angekuwa mjanja kidogo maana hamna kitu Lemutuz amewahi kufanikiwa hata kipindi fulani aliwahi kujaribu kufunga ndoa nako akafeli
Le tamko kuhusu le super ulegizView attachment 786860View attachment 786861
Msaga Sumu katika ubora wakeMkuu nimecheka sana
A hahahaha... Umesahau ubunge Africa masharikiSky hata Mimi hizi habari zimenishtua,lkn Mosha angekuwa mjanja kidogo maana hamna kitu Lemutuz amewahi kufanikiwa hata kipindi fulani aliwahi kujaribu kufunga ndoa nako akafeli
Eti yupo dodoma kikazi..kazi yake ni nini haswa??..hili zee sijui linafunza kichwani!!Le tamko kuhusu le super ulegizView attachment 786860View attachment 786861
Alafu kwanini ametafuta picha ya zamani kuonyesha miguu iko sawa badala ya kupiga sasa hivi akiwa na hiyo super kanzu?Nimecheka, eti watu wanamuandikia SMS kumuuliza kama amepata ugonjwa wa miguu. Aisee, I'm dead.
Ndio mwenye mabasi ya Swahili pia au??
Wewe ulitueleza mada ya vifaa vya TV station na machine za kupumzikia kwa jina la kitaam viti
Mwanaume mashine,ebu pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha LemutuzWewe ulitueleza mada ya vifaa vya TV station na machine za kupumzikia kwa jina la kitaam viti
Uganjwa wa miguu aisee Lemutuz ana vituko huyu jamaaAlafu kwanini ametafuta picha ya zamani kuonyesha miguu iko sawa badala ya kupiga sasa hivi akiwa na hiyo super kanzu?