Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Sijaiona mkuu amenipga block miezi 2 sasa,aaah Le fitoz anasema wamedit?
Le tamko kuhusu le super ulegiz
Screenshot_20180521-202530.jpg
Screenshot_20180526-181527.jpg
 
Ndio mwenye mabasi ya Swahili pia au??

Hapana ,Mosha hana mabasi isipokuwa ana malori ya kusafirishia mafuta ,vituo vya mafuta,Bureau de change, real estate na miradi mingine ikiwemo hiyo tv inayosemekana kuwa ameuza kwa sallam wa Diamond.
 
watu wajue kutofautisha kati ya uzito wa mwili na uzito wa akili
waangalie hata mtu anavyo pangua hoja zake kazi kwelii
 
Back
Top Bottom