Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Le mtumboz in action!! Isije ikawa na yale makontena ya DAB ye pia ndo alitoa ushauri!!
Kontena za Maliyamungu Bashite nyingi ni za watu lakini wamechomekea humo humo hizo ni Dili za Le mutuz anakula vingi kwa mgongo wa Maliyamungu Bashite.
 
Le mutuz ni shiiiiida ni jitu lisilotaka kufanya kazi ya kipato cha halali bali vipato haramu pekee.
 
Le mutuz ni shiiiiida ingawa kwa makonda Maliyamungu Bashite amedumu sana kutokana na kuwa na Siri za zile Blackmail za List ya wauza Unga ambapo walikuwa wakikamata Unga kimya kimya kisha Le mutuz kwenda kuuza China na South Africa , pia dili za kuwanunua wabunge, madiwani wa chadema kudhoofisha upinzani na kurejesha mfumo wa chama kimoja, hata Njama za kumuua Tundu lisu kuke Dodoma kwa kifupi Le mutuz ana siri nyingi za Uovu, Uonevu waliofanya na Maliyamungu idd Amin Bashite, hata Devis Moshi ameogopa kumchukulia Hatua kwa sababu ya Maliyamungu Bashite kwani anajua akiwachokoza watamwandama na kuifirisi mpaka ajutie zaidi na zaidi ni hatari kujuana na Le mutuz pia ni hatari kugombana nae kisha aende kukushitaki kwa Maliyamungu idd Amin Bashite.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti mali ya mungu
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti mali ya mungu
Nadhani unakumbuka enzi ya utawala wa idd Amin Dada wa uganda alikuwa na msaidizi wake katili aliitwa Colonel Maliyamungu, kwa sasa utawala wa Awamu ya Tano wanatumia katiba ya marehemu idd Amin Dada, kwa sasa Tanzania yupo Maliyamungu bashite ni Naibu Rais ni Boss wa kikundi cha wasiojulikana cha akina Lipumba mutuz, Cyprian Msiba, Heri Kisanduku makapero na wengineo wana zile zile Tabia za marehemu Colonel Maliyamungu wa uganda.
 
Lemutuz lilimdanganya Davis Mosha kuwa lenyew ni litaalamu sana la mambo ya media.
Le mutuz alikua partner wa african swahili tv,wachagga wakamuingia mosha kwa fitna kutaka kuwagombanisha,Lemutuz kuona hivyo akajiondoa mzima mzima na kusamehe kila kitu akahamishia nguvu kwenye le mutuz online tv
Mosha ni mfanyabiashara,si dhambi kuuza kitega uchumi chake kama kuna mtu amempa bei nzuri
 
Le mutuz alikua partner wa african swahili tv,wachagga wakamuingia mosha kwa fitna kutaka kuwagombanisha,Lemutuz kuona hivyo akajiondoa mzima mzima na kusamehe kila kitu akahamishia nguvu kwenye le mutuz online tv
Mosha ni mfanyabiashara,si dhambi kuuza kitega uchumi chake kama kuna mtu amempa bei nzuri
Mkuu, Lemutuz ni mtu wa mapicha picha, hakuwa na share yoyote pale Africa Swahili. Yeye ni kama chawa tu.
 
Le mutuz alikua partner wa african swahili tv,wachagga wakamuingia mosha kwa fitna kutaka kuwagombanisha,Lemutuz kuona hivyo akajiondoa mzima mzima na kusamehe kila kitu akahamishia nguvu kwenye le mutuz online tv
Mosha ni mfanyabiashara,si dhambi kuuza kitega uchumi chake kama kuna mtu amempa bei nzuri
Partner? Kwa hela ipi?[emoji13]
 
Le Mutuz ni mtu mwenye roho nzuri sana aliwahi kunipa lift kwenye Noah yake basi kaji safari kalikuwa murua sana
Full mijistori, full you know, nilivyokuona una roho nzuri bila longo longo lazima uje kujibu hizi pumba za wasiokupenda
 
Le Mutuz ni mtu mwenye roho nzuri sana aliwahi kunipa lift kwenye Noah yake basi kaji safari kalikuwa murua sana
Full mijistori, full you know, nilivyokuona una roho nzuri bila longo longo lazima uje kujibu hizi pumba za wasiokupenda
Du... yaani lift ya dk 5 tu umekufanya uwe muumini wa kubwa jinga kwa kiasi hicho? Je? Ungesafiri nae siku nzima ingekuwaje? Si ungeolewa nae kabsa ? Ni mtu mjinga mjinga pekee anaweza kukaa na Le mutuz akamuona ni mtu wa maana, lakini mtu mwenye weledi na hekima akikaa na le mutuz dakika moja pekee anajua kuwa Le mutuz ni shiiiiida na ni kilaza wa kutupwa.
 
Back
Top Bottom