Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Nakerwa mno na vijana kuwa na tabia za umbea umbea,

yaani mwanaume wa dar unamfungulia uzi mwanaume mwenzio wa kumsengenya,,

sijui tatizo ni hizi chips mayai wanakula ama nini,
shutuma humu ndani ni hopelless mno,
sijui ni chuki za kisiasa ama vipi,
lemutuz yuko right.
 
Nakerwa mno na vijana kuwa na tabia za umbea umbea,

yaani mwanaume wa dar unamfungulia uzi mwanaume mwenzio wa kumsengenya,,

sijui tatizo ni hizi chips mayai wanakula ama nini,
shutuma humu ndani ni hopelless mno,
sijui ni chuki za kisiasa ama vipi,
lemutuz yuko right.
Mkuu acha kusengenya hapa.
 
Na kuishi kote marekani Babu yangu unamiliki Noah ??'Hela ulipeleka wapi wee zee??.


[emoji1] [emoji1]
Le mutuz unajua wabongo ni wapumbavu sana; ndio maana Mkapa aliwaita wengine malofa; sasa kukaa marekani na aina ya gari kuna tatizo gani wewe kilaza?? Basi huku americano unaweza kuta billionnaire ila gari anayomiliki ni ya kawaida. Wabongo wajinga sana wanaona kumiliki gari ni kama kua peponi. Mungu ulieilaani hili li ngozi leusi lisamehe sana na haswa hawa wabongo huyo aliewaroga mrudishe awe akili hata kidogo. Mijitu inamshambulia mtu kumiliki gari as if lenyewe linamiliki Bugatti Veyron.. hovyoo kabisa wabongo akili kaa piriton.
 
- Sasa mkuu kama unayoyasema ni kweli ninalipaje kodi za nyumba yangu na ofisi? Ninbawalipaje wafanyakazi wangu? Nimelipiaje hizi leseni? Ongea kama umeendaa shule hata kama ni Chuki kubali kwamba wewe huwezi kupoteza muda na mtu unayemzidi, ninakuzidi kimaisha ndio maana unanifuatilia au? hahahahahahaha

le Mutuz Superbrand
Pesa za kula unapata kwenye Dili za kudhoofisha upinzani upinzani, kuwahujumu chadema, Blackmail za wauza unga na wewe kuchukua unga kwenda kuuza South Africa na China, kwenye hizo biashara zako huna wafanyakazi una vibarua wawili watatu hata kodi hulipi kwa wakati.
 
Le mutuz unajua wabongo ni wapumbavu sana; ndio maana Mkapa aliwaita wengine malofa; sasa kukaa marekani na aina ya gari kuna tatizo gani wewe kilaza?? Basi huku americano unaweza kuta billionnaire ila gari anayomiliki ni ya kawaida. Wabongo wajinga sana wanaona kumiliki gari ni kama kua peponi. Mungu ulieilaani hili li ngozi leusi lisamehe sana na haswa hawa wabongo huyo aliewaroga mrudishe awe akili hata kidogo. Mijitu inamshambulia mtu kumiliki gari as if lenyewe linamiliki Bugatti Veyron.. hovyoo kabisa wabongo akili kaa piriton.
Le mutuz ni kubwa jinga jinga ndiyo maana linakuwa lipambe kwa vijana wadogo wadogo kuliko rika yake, Dili zake haramu za kushirikiana na watu wasiojulikana kumpiga Risasi Tundu Lisu na kuwahujumu chadema ndizo zimemfanya kuchukiwa na watanzania wengi.
 
Hakua na mipango, wakaanza kubimbiana na le mutuz ,jamaa akawa anasema yy ni shemeji wa Mosha,Dada kaolewa na mchaga ,full vituko
Le mutuz ni shiiiiida, aliishi Gheto na House boy nyumbani kwao mpaka Mzee wake akamfukuza kwenda kupanga chumba huko mitaani.
 
Nakerwa mno na vijana kuwa na tabia za umbea umbea,

yaani mwanaume wa dar unamfungulia uzi mwanaume mwenzio wa kumsengenya,,

sijui tatizo ni hizi chips mayai wanakula ama nini,
shutuma humu ndani ni hopelless mno,
sijui ni chuki za kisiasa ama vipi,
lemutuz yuko right.
Wewe ndiyo fala namba moja hakuna mtu mbea kama Le mutuz nchini Tanzania, bar, club na vijiwe vyote wanamjua ni mbea na much know sana, kama wewe ni mshabiki wake utakuwa ni mbea kilaza mkubwa kwako Rafiki wa mwizi huwa ni mwizi zaidi.
 
Mosha ni kilaza....hizi biashara za kutumia akili kama hvyo media company hawezi,ni mweupe sana..anaweza kazi zisizotumia akili kama usafirishaji,shell au Bureau De Change....

Kwanza to begin with ,Mosha aliibuka kibiashara kama accident tu kipindi cha JK,tena akipata tafu la Riz Moko....Accident ingine kubwa ni kupata mkataba wa kusafirisha mafuta ya Kobil nadhani East Africa and Central,hapo tu!

Ni pure accident!

Mosha anatumia kujuana na watawala kufanya biashara,sio kinyume chake.Utawala wa JK umesepa na yeye kasepa!

Ukitaka kujua Mosha ni accident,alipata hela ya ghafla akageuka limbukeni,ulimbukeni ni ishara kua hiyo biashara ni accident na wala sio mipango thabiti ya kitaalamu.Aliwehuka moja kwa moja....Sasa hela imekata karudi ground state!

Kwa kifupi ni kua,Mosha hana business acumen kama alivyokua anajipromoti,na failure ya Swahili Media ni clear kabisa jamaa ni overrated na hana uwezo.Majay wa EFM tuseme kampita mbali mno.

Mosha is a looser...mfanyabiashara wa kweli hawi mwanasiasa,sasa anawatumia kama dummies....eti anaenda kugombea ubunge Moshi,what a looser!....Unafungua media company inakufa,wakati ni a small thing you run it 100% perfect kwa kupiga simu!

Aliishia la 7,low IQ yake ultimately imejiidhihirisha!....

Kuna reason kwanini mtu ana IQ kubwa au msomi,there is a reason for that!

Jitu jingine bure kabisa ni Musukuma....

Musukuma akijigeuza afungue kampuni ya media au engineering,etc...ubovu wa akili yake utakua exposed!
Huu Uandishi ni wa Le mutuz mwenyewe ina maana kaamua kumkandia Devis mosha kiaina nina imani Devis mosha akisoma huu mtiririko atajua jinsi Le mutuz anavyomsengenya sasa na kumkandia kila kona , Uandishi wa Le mutuz unajulikana hata akija kivingine.
 
Na wewe unajua mimi nimeajiri watu wangapi?

Kumbuka,Mosha kuajiri watu hakumuondolei sifa ya kua stupid!

Nipe possible failures za Swahili Media?Ni 100% on Mosha's idiocy!

Amekua exposed,hana akili ya ku-run abit technical enterprises!Its true!

Biashara za wasio na akili hua ni zile zile,malori,mabasi,sheli,Bureau De Change na real estate za kishamba...Hizo hizo,nothing else!

Chuki na Mosha kuna mtu ananilipa?
Hoja ni le mutuz kuharibu biashara ya tv Radio lakini biashara za mafuta sidhani kama huendeshwa na wasio na Akili kwa sababu kuwa na pesa pia ni Akili hata wazungu wanapata pesa nyingi kwenye mafuta, ni vyema kumsurubu le mutuz pekee kuliko kuangalia biashara zingine ambazo Hazina uhusiano na le mutuz.
 
Huu Uandishi ni wa Le mutuz mwenyewe ina maana kaamua kumkandia Devis mosha kiaina nina imani Devis mosha akisoma huu mtiririko atajua jinsi Le mutuz anavyomsengenya sasa na kumkandia kila kona , Uandishi wa Le mutuz unajulikana hata akija kivingine.

Mkuu

Hujaangalia vizuri...Kama mimi Wyatt ni Lemutuz pia,iweje nianze kubishana na Lemutuz kama tulivyobishana above?

Lemutuz ni Lemutuz mkuu,na Wyatt ni Wyatt....I wish ungekua sahihi ila umekosea!
 
Hoja ni le mutuz kuharibu biashara ya tv Radio lakini biashara za mafuta sidhani kama huendeshwa na wasio na Akili kwa sababu kuwa na pesa pia ni Akili hata wazungu wanapata pesa nyingi kwenye mafuta, ni vyema kumsurubu le mutuz pekee kuliko kuangalia biashara zingine ambazo Hazina uhusiano na le mutuz.

Mkuu usibishe,katika nchi zetu.

Watu wote ambao hawajaenda shule hua wanapenda kuuza mafuta ya uchuuzi kwenye sheli,malori,bureau de change,hoteli,real estate za kishamba,etc..Hiyo ndio trend yao!

Kuhusu Lemutuz kumuharibia biashara,kuna mtu alitoa hoja nzuri hapo juu,kua,Mtu mmoja kama Lemutuz hawezi vuruga kampuni kiasi hicho kwa mfanyabiashara "shupavu" (supposedly) kama Mosha eti ashindwe kuiendesha?Ni uongo!...Nilichosikia,Lemutuz alipewa share 0.0001% which is so small hata kwenye board meetings hawezi kuwepo.

Tukubaliane,Mosha hili limemshinda maana ni technical enterprise,yeye amezoea biashara zisizotumia akili kama malori ambayo infact ndio yupo huko!

Mosha has been exposed kua ni very mediocre businessman for real!

Yaani Swahili Media of which u can run by phone from home,imemshinda?

Halafu eti lawama anatupiwa kilaza kama Lemutuz eti amesababisha biashara ikafa,is Lemutuz this powerful?No wayyyyy!
 
Wewe ndiyo fala namba moja hakuna mtu mbea kama Le mutuz nchini Tanzania, bar, club na vijiwe vyote wanamjua ni mbea na much know sana, kama wewe ni mshabiki wake utakuwa ni mbea kilaza mkubwa kwako Rafiki wa mwizi huwa ni mwizi zaidi.
kwanza kitendo cha kuniita fala kinaonyesha wazi wewe utakuwa ni mtoto usie na mtoyto wa single maza,waarabu wanaita mwanaharamu,
cause inaonekana hukupata malezi mazuri ndo maana hata jina lako lina akisi malezi ya mtaani uliokulia,
mtu mwenye akili timamu hawezi kujiita ushuzi hata siku moja,
so unajitetea kuwa lmtuz nii mbeya so hata wewe kuwa mbea si ajabu,

bado kijana unaonyesha una matatizo ya homoni,
usikute homoni za kike ndo zimezidi ndo maana unaona kijana kama wewe kuwa mbeya sio ishu,
 
Wewe ndiyo fala namba moja hakuna mtu mbea kama Le mutuz nchini Tanzania, bar, club na vijiwe vyote wanamjua ni mbea na much know sana, kama wewe ni mshabiki wake utakuwa ni mbea kilaza mkubwa kwako Rafiki wa mwizi huwa ni mwizi zaidi.
kwanza kitendo cha kuniita fala kinaonyesha wazi wewe utakuwa ni mtoto usie na mtoyto wa single maza,waarabu wanaita mwanaharamu,
cause inaonekana hukupata malezi mazuri ndo maana hata jina lako lina akisi malezi ya mtaani uliokulia,
mtu mwenye akili timamu hawezi kujiita ushuzi hata siku moja,
so unajitetea kuwa lmtuz nii mbeya so hata wewe kuwa mbea si ajabu,

bado kijana unaonyesha una matatizo ya homoni,
usikute homoni za kike ndo zimezidi ndo maana unaona kijana kama wewe kuwa mbeya sio ishu,
 
Business ni strategy,
ndo maana leo unaweza sikia microsoft imekuwa taken over na facebook,
Ama puma imekuwa taken over na adidas,
haina maana kuwa bill gate hajui biashara,
kuna watu kazi zao ni kuanzisha starterup,
anaweza anzisha biashara kwa milioni 10,akaja uza kwa milioni 50 na akamoveon kufanya ishu zingine,

mtu anaweza kuwa na kampuni,akawa busy,akaoutsource management,
haina maana kuwa ni mjinga bali ni strategy zake,
mtu anaweza kuwa katika Transportation business,akauza biashara na kwenda kulima njugumawe,
it doesnt concern you,as long as hukumsaidia mtaji,
 
Nakerwa mno na vijana kuwa na tabia za umbea umbea,

yaani mwanaume wa dar unamfungulia uzi mwanaume mwenzio wa kumsengenya,,

sijui tatizo ni hizi chips mayai wanakula ama nini,
shutuma humu ndani ni hopelless mno,
sijui ni chuki za kisiasa ama vipi,
lemutuz yuko right.
33867859_947806938735038_4802079393218297856_n.jpg



- Sio kwamba kelele zao za mlango zinazuia mtu kulala hapana, jana hapo Serena kama kawaida yaani wanapiga kelele maisha yanaendelea so worry not!

le Mutuz Superbrand
 
Back
Top Bottom