Davis Mosha, Seif Magari na Abdallah Kleb warudi Yanga


Unganeni Wanaume wote wa Utopolo,hamuiwezi Simba.
 
Mpira uwanjani,wanaume wazima unganeni hata mfike 100 lakini hamumuwezi Mwanaume wa shoka mmoja tu nae ni MO! Yeye anatenda kwa vitendo,waleteni wote na pesa zao za kuunga unga lakini bado watakalishwa chini.
Tuliza kinanii wewe jua huyu Simba huyu Uto... Uwe na dabu.
 
Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie vizuri, usije ukakatisha dozi, hii ndo kamati tendaji coz huwa kuna match za ligi kuu za Yanga huwa zinachezewa sana basi dawa yake tushaipata
 
Simba Ni Next Level
Imeshiriki Mashindano Makubwa Kwa Uwezo
Hao Wanataka Mafanikio Kwa Ujanjaujanja
ligi tu Simba waliiomba Azam wafanye lolote linalowezekana waifunge Yanga, jiulize Simba hutumia ushawishi gani kwa timu nyingine.
 
Mpira uwanjani,wanaume wazima unganeni hata mfike 100 lakini hamumuwezi Mwanaume wa shoka mmoja tu nae ni MO! Yeye anatenda kwa vitendo,waleteni wote na pesa zao za kuunga unga lakini bado watakalishwa chini.
Mmmh,wewe ni mwanaume kweli? Umejuaje Mo ni mwanaume wa shoka? Hatari kweli kweli
 
Mkuu FoS wengi wai ni wakurugenzi bodi ya simba sc .hivyo hawako mbali na timu .hans.kd.magori.try again.mulamu ng'ami nk
 
Huu ndo mfumo mpya uliopitishwa na wanachama juzi?
Uongozi msola umemshinda. Juzi manara kasema kaja kuwapa kombe hankumuanini mpaka muunde kamati tena? Na je CEO wenu mpya atakua na kazi gani?
Mbaya zaidi mnatangaza hadharani!? Kwa hiyo takukuru na tff itawaacha tu sio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…