Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Mo asingemtumia bashite na wengineo waliokua matawi kipindi kile kuwazuia hao jamaa kuisaidia Yanga,hao walikua wanatishwa wakigusa Yanga yatawakuta ya manji,Yanga si ya kutembeza bakuli nchi hii lakini ilitembeza baada ya matajiri wote wanaoipenda Yanga kupigwa mkwara,mikia mkae kwa kutulia sana hao jamaa wana hasira kali,maji mtaita mma
Unganeni Wanaume wote wa Utopolo,hamuiwezi Simba.