Berlin storm
Member
- Feb 6, 2023
- 60
- 38
Et ndugu, kuna mtu aliyewahi kuugua fungas sugu akatumia izi sindano zikamsaidia gentamicin injection au seftriason injection kama yupo aseme.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umejibu sawa sawia!. Antibiotic tangu lini zikatibu fungus??!!!Hizo ni Antibiotic, zitatibu vipi fungus, sorry sijajibu swali.
Tafuta Antifungal na sio Antibiotic mkuuEt ndugu kuna MTU Alie wahi kuugua fungas sugu akatumia izi sindano zikamsaidia gentamicin injection au seftriason injection kama yupo aseme
Fungus ya wapi mkuu kwenye kucha za miguu au??Tambien bas dawa sahih nasi tutumie ndugu zangu
KorodanFungus ya wapi mkuu kwenye kucha za miguu au??
Kwenye korodan mkuufungus za wapi?
Bro antifungal nishataft xjuii ni IP amby xjatumiaTafuta Antifungal na sio Antibiotic mkuu
Et ndugu kuna MTU Alie wahi kuugua fungas sugu akatumia izi sindano zikamsaidia gentamicin injection au seftriason injection kama yupo aseme
Duh sizan kama ntapat tiba bro naangaika sanaWewe sema fungus tu wala usiweke neno "sugu" kwani kitu kikishakuwa sugu hicho kinakosa dawa.
Mimi niliwahi kuwa nazo miaka 4+nikasoma humu mahali matumizi ya ndimu na limao wiki moja Tu zikapotea more than 3+ nowKwenye korodan mkuu
Pole sanaa mkuu ila usikate tamaa...Nenda hospital ili upate ushauri wa kitabibuBro antifungal nishataft xjuii ni IP amby xjatumia
Tumia dawa za kumeza za fangs na zakupata eneo usika,afu usipende kutumia sabuni huko chini siyo nzuriDuh sizan kama ntapat tiba bro naangaika sana
Duh sizan kama ntapat tiba bro naangaika sana
Unaamini tibambadala??yapo majani yanaitwa mziwaziwa yapondeponde pakaa apo kwenye fangasi Tena ikibidi pakaa usiku weka mengi vaa na chupi Ili yasitoke alafu asubuhi angalia utaona fangasi sugu zimekauka.Tumia angalau siku 5,na vizuri zaidi mengine ukashemsha utumie kama chai inatibu mpka fangasi zoote na minyoo.Dozi yake kwakunywa ni ujazo wa kiganja Cha mkono tumia bila miziziDuh sizan kama ntapat tiba bro naangaika sana
Kama ni sugu kweli tafuta dawa hii Amphotericin B.Kwenye korodan mkuu
ni bora ukalala uchi kabisa tena hii itaimarisha ndoa yenu maana shemeji atakuwa hapati tabu kujihudumia.
relax hebu punguza shobo basi bibie. Katika comment yote umeona kwa shemeji tu?Yeye anasema anaugua fungus sugu sasa haya mambo ya "shemeji kijihudumia" (self service) yamekujaje??? -- au shemeji kujihudumia ni dawa ya fungus ??!!😏😏
Katika hali ya huo ugonjwa mimi nadhani hata hiyo huduma (kama ipo) ya tendo inabidi aisitishe kwa muda kwani yawezekana nayo ikawa inachangia pakubwa kwenye ugonjwa..