Dawa hizi zinaponesha fangasi?

Dawa hizi zinaponesha fangasi?

Tumia dawa za kumeza za fangs na zakupata eneo usika,afu usipende kutumia sabuni huko chini siyo nzuri
Daah, mwambie tu asitumie sabuni ya kipande kama ya magadi n.k. unakwepa vipi matumizi ya sabuni sehemu za siri?, muhimu ajioshe kwa maji ya moto na baridi kwa wingi akishapaka sabuni.
 
Mimi huu ni mwaka wa kumi kila nikioga huwa mwili wote unawasha sana kama dakika 10 mzima nimejaribu kutumia dawa siponi naomba munisaidie
 
Tafuta dawa inaitwa fungifine kidonge kimoja buku Kwa jumla ni 800 kama Hali ni mbaya sana meza vidonge 2 Kwa wiki pisha Nisha j3 labda na j5 kimoja kimoja na yakupaka tafuta cani-maks(clotrimazole) paka Kila siku sehemu zinazo washa
 
Tafuta dawa inaitwa fungifine kidonge kimoja buku Kwa jumla ni 800 kama Hali ni mbaya sana meza vidonge 2 Kwa wiki pisha Nisha j3 labda na j5 kimoja kimoja na yakupaka tafuta cani-maks(clotrimazole) paka Kila siku sehemu zinazo washa
Saw
 
Back
Top Bottom