Daah, mwambie tu asitumie sabuni ya kipande kama ya magadi n.k. unakwepa vipi matumizi ya sabuni sehemu za siri?, muhimu ajioshe kwa maji ya moto na baridi kwa wingi akishapaka sabuni.Tumia dawa za kumeza za fangs na zakupata eneo usika,afu usipende kutumia sabuni huko chini siyo nzuri
Ndiyo utoe shule sasa hayo matumizi yakojeMimi niliwahi kuwa nazo miaka 4+nikasoma humu mahali matumizi ya ndimu na limao wiki moja Tu zikapotea more than 3+ now
SawTafuta dawa inaitwa fungifine kidonge kimoja buku Kwa jumla ni 800 kama Hali ni mbaya sana meza vidonge 2 Kwa wiki pisha Nisha j3 labda na j5 kimoja kimoja na yakupaka tafuta cani-maks(clotrimazole) paka Kila siku sehemu zinazo washa
XjapinaMtoa mada tunaomba mrejesho.